Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,030
- 40,082
Goli gani sasa? kama anapangusa mpira kwa chini na mpira upo slow kabisa.😅😅Hii hali si kawaida.
Confidence imepotea
Goli gani sasa? kama anapangusa mpira kwa chini na mpira upo slow kabisa.😅😅Hii hali si kawaida.
Confidence imepotea
Mkuu kwa maneno nipe tatizo la man yuu na mengine mawili weka suluhisho.Mwanetu confidence inazidi kushuka siku baada ya siku
Pakua yaccine tv, nilikuwa nikitumia zamani kidogo, iko bomba saana.App gan nzuri ya live mkuu ,,,,niko vijjn huku hakuna bar kubwa wala kibanda umiza ,,,,,



Msimu uliopita amecheza mechi 12 za Uefa akiwa na clean sheet 8Onana hamna kipa wakuu.
Saa hizi ni muda wa kucheki game kakaMkuu kwa maneno nipe tatizo la man yuu na mengine mawili weka suluhisho.
Huyu aje hata arsenal ampe changamoto saka..Sancho watching the U18s today!
View attachment 2774484
Nahisi anakamia mechi yaani hayupo comfortable ila huko nyuma alikuwa kipa mzuri tu.Sielewi jamaa anapitia hali gani
Anapendelea kucheza namba 11 kuliko namba 7Huyu aje hata arsenal ampe changamoto saka..
Hata 7 namuona anafanya vizuri, hata Dortmund nilikuwa namuona anafanya vizuri pia akitokea kulia.Anapendelea kucheza namba 11 kuliko namba 7
Varane ni liability kwa Man UnitedVarane is out with a minor issue for Manchester United
Rashford uingereza unambeba ila dogo anazingua sanaRashford kafanya uchoyo wa wazi pale kama kawaida yake.
😂Hawa Nyumbu wanatamani Howard Webb arudi kwenye kazi yake ya Urefaree 😂😂