Jasusi lipo jobMNADANGANYIKA NA HAKO KAGOLI KAMOJA WAKATI BURNLEY HAS BEEN THE BEST TEAM SO FAR
NAWASHANGAA MNAOJIPA MOYO CHINI YA KIPARA NGOTO TEN HAG.
MSISINGIZIE INJURIES
MSINGIZIE GLAZERS
TANGIA MECHI YA KWANZA. TUNACHEZA KAMA HATUJUI NINI TUNAFANYA.
NO IDENTITY, NO STRUCTURE, NO SYSTEM.
#TENHAGOUT
Bado yupoyupo sanaaa7hag hajafukuzwa tu
Hapo ndipo ninapowadharaugi makocha aisee ningekuwa kocha wa man u Rashford siwenzi muanzisha yaani angekuwa anatokea bench aje kubahatisha bahati yake.
Lilikuwa ni swala la kumtoa kipindi cha pili hata ile dakika ya 46 asiianze yani mtu anakimbiza mwizi akiona wametokea wananchi kusaidia anaanza kutembea, yani dogo anajiona kamaliza kabisa yani Daah.Hapo ndipo ninapowadharaugi makocha aisee ningekuwa kocha wa man u Rashford siwenzi muanzisha yaani angekuwa anatokea bench aje kubahatisha bahati yake.
Kwa mpira wa ujanjaujanja atawapeleka shimonBado yupoyupo sanaaa
Kwa mpira wa ujanjaujanja atawapeleka shimon


Kama Kai na Jojinyo wanavyowapeleka Asenyo shimoni? Bro tuambie arsenal mna malengo gani mwaka huuA Dutch malale hamsini
Baada ya mimi kupiga kelele humu hatimaye ushauri wangu imezingatiwa. Nyumbu wanaingia sokoni kutafuta kipa mpyaView attachment 2761877
Mechi watakayoshinda ni dhidi ya Chelsick tu.Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kwamba Familia ya Glazer hairidhishwi na mwenendo wa klabu yao kufuatia vipigo back to back
Na mechi ambazo zitaamua hatima yake ni hiziView attachment 2758303