
nilianisha toka mwaka Jana manjesta kwa huu mpira wa janjajanja una mwisho wake
7hag katembea na mpira wa ujanjaujanja kachukua had Carabao Ifike mahala mchambuzi Nguli niheshimiwe
nilianisha toka mwaka Jana manjesta kwa huu mpira wa janjajanja una mwisho wake
Nikaweka mfano wa Conte pale Spurs alisajili na akawa na timu nzuri tu akatembea na mpira wa ujanjaujanja akaingia had top 4 , tukasema mpira wa ujanjaujanja huwa hauna maisha marefu,msimu uliofata wachambuzi uchwara wakasema atagombea EPL , kufika October akatupa taulo
7hag katembea na mpira wa ujanjaujanja kachukua had Carabao
Wachambuzi uchwara wale wale wakasema msimu huu atagombea EPL na UCL, Lakini wachambuzi nguli tulionya mapema ,mpira wa ujanjaujanja haunaga maisha marefu
Ole gunar anasema alichokosa man u ilikuwa kombe tu lakin alikuwa anajenga timu ya kuja kushindana mataji kwa muda mrefu ila kuja kwa Ronaldo na kusalitiwa kulimfanya afukuzwe
Huyu 7hag anataka kutembea na ngekewa ya Carabao energy drink cup
Kwasasa mpira wa ujanjaujanja hauna nafasi ,
Wahafidhina wa soka wanasema huenda x mass akala kwao uholanzi .
Kroenke ana biashara nyingi ataigeuza iwe timu ya NBA , Arsenal yenyewe kamuachia Joshhamis77 hii manjesta tuongee na Stan Kreonke ainunue tuiunganishe na Arsenal women kuongeza title push kwa dada zetu.
Watu wengi wanamlaum Sana kipa lakini hata ukiangalia hata kiungo chetu kimechoka Sana na beki yetu yani tumefungwa goal nyingi Sana za style hii moja.View attachment 2758106
Hawa wachezaji miaka yote ndio shida pale Man U. Mkuu umefatilia hata interview ya Ole kidogo na alichosema kwa baadhi ya wachezaji japo hajataja majina?Ninaposema 7hag Ni jipu niwe naeleweka
Kutoka ndani ya gazeti la Manchester Evening News
Baadhi ya wachezaji wa United wanahisi wamewekwa katika nafasi mbaya ya kutekeleza maagizo ya mbinu za Ten Hag kwani kuna hisia kwenye kikosi kwamba mbinu zake zimevurugika kwa kutokuwepo kwa Antony
[@samuelluckhurst]
🤣🤣🤣😂😂Msianze huko mkataka kumfukuza kipara wa watu..
Mnataka akale wapi na ndo kwanza kafungua kampuni juzi tu! Familia yake yote inafanya kazi humo..
Katoka uholanzi hana kitu, hebu muacheni ale maokoto kwa Maguire anavyokula nyam nyam!😅