Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hilo swali ndilo nilikuwa najiuliza yani kam ulikuwepo kwenye kichwa changu

Hivi hawa watu wanaendaga kupiga picha au maana wanawanyima ma fans motivation ya kutamba aisee
Wanacheza wanachofundishwa

Ni lini mtakubali kuwa 7hag Hana uwezo wakufundisha modern football

Vicent Company mtoto wa juzi tu anampigia mpira wa kitabuni
 
Tuache utani, Huyu 10hag huenda timu imemshinda

Haiwezekani tupelekewe moto na bunley kiasi hiki.
 
Mwishoni ni individual Brilance and individual quality zinaamua mechi kama hizi na kufunika madhaifu yaliyomo
Swali mtaishi kwenye kivuli hicho Hadi lini?

Football Ni structure,sio kutegemea janja janja
 
Sawa but kumbuka mpira wa ujanjaujanja haunaga maisha marefu

Najua mnaweza kuokota points 3 sababu Burney hawana quality players wakuamua mechi but mpira wa ujanjaujanja Ni sawa na umeme wa luku
At the end individual quality ita decided the fate

3 points its all we need to focus on


1-0 ggmun
 
Wanacheza wanachofundishwa

Ni lini mtakubali kuwa 7hag Hana uwezo wakufundisha modern football

Vicent Company mtoto wa juzi tu anampigia mpira wa kitabuni
Acha uchoko sawa wew boya huna unachojua kwenye mpira hata uwe wa sembo, tunaoipenda hii club ndio tunajua wamiliki ndio tatizo kubwa la kwanza.
 
Tuache utani, Huyu 10hag huenda timu imemshinda

Haiwezekani tupelekewe moto na bunley kiasi hiki.
Lini mtakubali kuwa 7hag Ni kocha wa kawaida anayesubiria miujiza kupata matokeo
 
At the end individual quality ita decided the fate

3 points its all we need to focus on


1-0 ggmun
Kwa staili hii hutaweza kuokota point kwa kina Fulham ,wolves convincingly

7hag Ni kocha Mwenye uwezo mdogo ambaye hastahili hata kuifundisha fulham
 
Back
Top Bottom