D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Inawezekana mabeki wetu wa kati ndio wanaongoza kurudishiwa mpira
SureMwishoni ni individual Brilance and individual quality zinaamua mechi kama hizi na kufunika madhaifu yaliyomo
Wanacheza wanachofundishwaHilo swali ndilo nilikuwa najiuliza yani kam ulikuwepo kwenye kichwa changu
Hivi hawa watu wanaendaga kupiga picha au maana wanawanyima ma fans motivation ya kutamba aisee
hivi kuifunga Bunley yenye point Moja nako unafurahia??hizi akili nyingine sijui za wapiGooooooooooal
Swali mtaishi kwenye kivuli hicho Hadi lini?Mwishoni ni individual Brilance and individual quality zinaamua mechi kama hizi na kufunika madhaifu yaliyomo
At the end individual quality ita decided the fateSawa but kumbuka mpira wa ujanjaujanja haunaga maisha marefu
Najua mnaweza kuokota points 3 sababu Burney hawana quality players wakuamua mechi but mpira wa ujanjaujanja Ni sawa na umeme wa luku

hivi kuifunga Bunley yenye point Moja nako unafurahia??hizi akili nyingine sijui za wapi






imebdi nicheke tuAcha uchoko sawa wew boya huna unachojua kwenye mpira hata uwe wa sembo, tunaoipenda hii club ndio tunajua wamiliki ndio tatizo kubwa la kwanza.Wanacheza wanachofundishwa
Ni lini mtakubali kuwa 7hag Hana uwezo wakufundisha modern football
Vicent Company mtoto wa juzi tu anampigia mpira wa kitabuni
Am not a Man U fan, am just here for fun.. Don't take it personal boss.hivi kuifunga Bunley yenye point Moja nako unafurahia??hizi akili nyingine sijui za wapi
Lini mtakubali kuwa 7hag Ni kocha wa kawaida anayesubiria miujiza kupata matokeoTuache utani, Huyu 10hag huenda timu imemshinda
Haiwezekani tupelekewe moto na bunley kiasi hiki.
Kwa staili hii hutaweza kuokota point kwa kina Fulham ,wolves convincinglyAt the end individual quality ita decided the fate
3 points its all we need to focus on
1-0 ggmun![]()
Swali la msingi Sana hiliSwali mtaishi kwenye kivuli hicho Hadi lini?
Football Ni structure,sio kutegemea janja janja
