Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenally, manshitty msijali tunawawakilisha waingereza wenzenu. Nyie huku si mlishalaliwa!
 
Naona man u wanaanza kupunguza kas hiinihatar na huleta plessure kubwa
 
huyu dominguez wa olimpaikos ni mchezaji mzuri sana,kuna viungo wazuri wa bei rahisi tunaweza kununua lakini sijui hatuwaonagi!huyu siajabu analipwa just buku 7 tu kwa wiki huko ugiriki!
 
United needs to increase the tempo here or they might end up screwing this up.
 
huyu dominguez wa olimpaikos ni mchezaji mzuri sana,kuna viungo wazuri wa bei rahisi tunaweza kununua lakini sijui hatuwaonagi!huyu siajabu analipwa just buku 7 tu kwa wiki huko ugiriki!

Buku 7? Acha bana, buku 7, si hata mimi naweza kumsajili kwenye timu yetu ya mtaani...tena nitaongeza marudufu hadi buku 50...
 
moyes hajui maamuzi sahihi!welbeck anafanya nini mpaka muda huu?

Hapa ndipo mashabiki wengi wa United wanamwona Moyes mzinguaji...uwa anachelewa sana kufanya subs...

Hata SAF kuna games alikuwa akichelewa sana kufanya subs, ila Moyes kazidi...
 
Moyes atakuwa anaimba wimbo wa Biggie kimoyomoyo, Fergie Fergie gimme one more chance, fergie fergie gimme one more chance LOL.
 
Duh! Moyes bana...vijamaa vinaingiza nguvu mpya, siye tumezubaa tu...
 
Toa Giggs aingie Fletcher,Fellaini yuko slow sana
 
Back
Top Bottom