Sijui nani ni mbadala wa valencia..labda ataponeshwa kwa muda.mi muhimu sana anakimbia sana.anakaba sana/kwa nguvu.anaingiza mipira mingi katikati kwenye kushambulia.anampumzisha kiasi rafael.
Man u anatakiwa apate goli 4,hapo usalama
upo,maana 3-1,Man u nje,olypic watakuwa na goli la ugenini,hivyo Man wahakikishe Olypiac hawapati goli la ugenini.kila la kheri Man u
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.