Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijui nani ni mbadala wa valencia..labda ataponeshwa kwa muda.mi muhimu sana anakimbia sana.anakaba sana/kwa nguvu.anaingiza mipira mingi katikati kwenye kushambulia.anampumzisha kiasi rafael.
 
.... Belo bana,....
Eat your words now,
Temea pembeni kisha useme
Afadhali Moyes hakusikiliza ushauri wako!


#MosKwito !

RVP kiwango kimeshuka now hana confidence,ile penati labda Ozil ndio anaweza kosa hata mi nafunga
 
Last edited by a moderator:
Man u anatakiwa apate goli 4,hapo usalama
upo,maana 3-1,Man u nje,olypic watakuwa na goli la ugenini,hivyo Man wahakikishe Olypiac hawapati goli la ugenini.kila la kheri Man u
 
Namna hii...timu ingekuwa inacheza kwa morali kama hivi, hakika tungekuwa top 4...
 
Back
Top Bottom