Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi hili goli mlilopigwa na Brighton,passi 30 hamjagusa mpira sio record kwa EPL ?

Timu gani iliwahi kufunga goli la hivi

Nakumbuka Arsenal tulikuwa tunashikiria record ya pass 26 Hadi goli bila mpinzani kugusa mpira
 
Manjesta top 4 lazima
20230918_110846.jpg
 
Huyu kocha kashapagawa, na Mara nyingi kocha akifikia hatua hii ujue jahazi linazama

Anasema amefungwa na Brighton sababu nao wanatumia Pesa


Thaman ya kikos Cha Brighton Ni £15m tu

Yeye kashatumia £400m Hadi Sasa
20230918_113714.jpg
 
Hii timu bila kuuzwa asee tutaoigwa kama ngoma .
Kumfunga convincingly wolves , Grazzer family wanahusika vipi

Timu haiwez kupiga pass 10 kwa usahihi, Grazzer family wanahusika vipi

Timu inapigiwa pass 30 bila kugusa Hadi goli , Grazzer wanahusika vipi

Ifike mahali muelewe mna kocha wakawaida

Di zerbi alitumia dakika 15-20 kumsoma mbinu yake na kumpika left right and center

Hili nalo wakulaumiwa Ni Grazzer family
20230916_230409.jpg
 
7hag : kila timu zimetumia hela , Brighton pia wametumia hela


Brighton's starting XI against Manchester United includes:

Steele: £0
Dunk: £0
Dahoud: £0
Lallana: £0
Welbeck: £0
Veltman: £0.9m
Mitoma: £2.4m
Gross: £3.1m
Lamptey: £1.5m

£7.9m for nine players.
 
Kitu nmeshindwa kuelewa ni kwamba kocha kashindwa kulimaliza tatizo la ubinafsi kwenye safu yetu ya ushambuliaji??
Hili tatizo na mm nimeliona, yan nashindwa kuelewa kwanini hamkemei Rashford na ule ubinafsi wake?
Mana pale ilikuwa unamuita, unamuelekeza, asipoelewa anakula bench match tatu, akirudi anatoa mpira mwenyewe
 
Back
Top Bottom