Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Hawawezi kufanya pressing hata kwa first half tu
7Hag alivokua anakuja alitaka aje na Alessandro schoenmaker ambae alikua anafanya nae kazi kama head of performance and physical condition pale ajax Glazers wakakataa na kuamua kubaki na akina Charlie Owen & paul Gaudino ambao wapo kwenye timu toka enzi za nyerere yote hiyo ni ku avoid cost na matokeo yake ndio haya.








Casemiro: "The Champions League? It's one of the most beautiful competitions that exists in football. Every player dreams of playing there and winning it. It's always a great opportunity to be there. These are entertaining matches against the best teams."

Walimwakilisha Rasmus Hojlund wakati wa uhamisho wake wa £72m(€85m) kutoka Atalanta, huku mshambuliaji huyo wa Denmark akijiunga na kampuni hiyo mwezi mmoja kabla ya kusaini United.