Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakati Guardiola anawanao akina Robben, Ribbery na the likes of Philip Lahm , Eliki 7+3Hag alikuwa anafundisha timu ya under 10 ya Bayern 😆😆😆😆😆

We mpaka hapo haustuki tuuuu.
Hahahaha 🤣🤣🤣 9+1 Hug.
 
Yule ndio mtapigika vibaya Sana

Kocha wenu baada ya baryen presha itakuwa juu, Kuna mech Kama 5 hivi ,za kawaida ,asipopata WWWW ,huyu mwez wa 11 hafiki
Nyumbu hawana mechi ya kawaida kwa team ile bali wao ndo wakawaida kushinda hao hadi mwenzi wa 11
 
Nilikua naangalia marudio ya mechi yenu.

Ule mteso wa Brighton sio poa. Dunk anapiga pasi kama hana macho.

Groß nae hachoki kuwanyoosha.

Kituo kinachofuata.. Allianz! Onana anakutana na Kane/Sane/Musiala, smh..
Mashuti 10, ma 5 anaenda kuokota kambani.

Mpaka mtafute mchawi nani.

Huku kwetu ni furaha tu!😂😂
 
Back
Top Bottom