Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu Kuna mtu anawatupia lawama Grazzer family

The Manchester United recruitment team don’t think Sofyan Amrabat will succeed in England. He is an Erik ten Hag target.

[@Muppetiers]
 
Halafu Kuna mtu anawatupia lawama Grazzer family

The Manchester United recruitment team don’t think Sofyan Amrabat will succeed in England. He is an Erik ten Hag target.

[@Muppetiers]
Kinachotokea uwanjani ni reflection ya kinacho endelea nyuma ya pazia, Glazers wame na wanazidi ku play part sana kwenye hii downfall ya utd. Kutoa pesa ya usajili pekee haitoshi kufanya timu iwe competitive, kuna vitu vingi vinahitajika ukitaka timu i perform na kupata matokeo, management na infrastructures ni miongoni wa factor zinazopelekea performance na consistency ya timu.

Zlatan, Mourinho, Pogba, LvG, Cr7, Rangnick na utd legends wengi wamekua wakilia kuhusu wamiliki, hawa wanajua nini kinacho endelea nyuma ya pazia hawawezi kuwa wrong wote.
 
Aaron Wan-Bissaka out for up to two months after sustaining hamstring injury in final minutes after coming on against Brighton.


[Athletic]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2753789
7Hag alivokua anakuja alitaka aje na Alessandro schoenmaker ambae alikua anafanya nae kazi kama head of performance and physical condition pale ajax Glazers wakakataa na kuamua kubaki na akina Charlie Owen & paul Gaudino ambao wapo kwenye timu toka enzi za nyerere yote hiyo ni ku avoid cost na matokeo yake ndio haya.
 
7Hag alivokua anakuja alitaka aje na Alessandro schoenmaker ambae alikua anafanya nae kazi kama head of performance and physical condition pale ajax Glazers wakakataa na kuamua kubaki na akina Charlie Owen & paul Gaudino ambao wapo kwenye timu toka enzi za nyerere yote hiyo ni ku avoid cost na matokeo yake ndio haya.
Man United walikuwa wakistruggle na suala la fitness kwa misimu mitano sasa.

Imefikia hatua wanacheza kwa intensity ndogo wakati EPL intensity inaongezeka kwa vilabu vingi United intesity inapungua.

Ndiyo maana hawawezi kushambulia kwa haraka na kudefend transition kwa haraka.

Ukiangalia mechi za msimu uliopita au mbili za mwanzo ambazo niliziona walikuwa wanafanya shambulizi angalau moja katika interval ya dakika 7-10.

Walikuwa wanafika final third ya timu pinzani kwa long balls tu siyo kupiga pass angalau tatu mfululizo kwenda kwenye eneo la mpinzani.

Yote hayo yanasababishwa na fitness ndogo.
 
Hawawezi kufanya pressing hata kwa first half tu
7Hag alivokua anakuja alitaka aje na Alessandro schoenmaker ambae alikua anafanya nae kazi kama head of performance and physical condition pale ajax Glazers wakakataa na kuamua kubaki na akina Charlie Owen & paul Gaudino ambao wapo kwenye timu toka enzi za nyerere yote hiyo ni ku avoid cost na matokeo yake ndio haya.
 
Inueni migongo hiyo
IMG-20230918-WA0012.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
One of the three women to accuse Antony of violent behaviour has 𝗗𝗥𝗢𝗣𝗣𝗘𝗗 their case.



#MailSport
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2753788
20230917_171045.jpg
 
Casemiro: "The Champions League? It's one of the most beautiful competitions that exists in football. Every player dreams of playing there and winning it. It's always a great opportunity to be there. These are entertaining matches against the best teams."


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230918_203406_927.jpg
 
Facundo Pellistri on The Champions League: "It's one of the best competitions in the world. #mufc deserve to be there and, as we are United, we have to give everything."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230919_000015_171.jpg
 
Facundo Pellistri: "The matches against Barcelona [in last season's Europa League] were extraordinary and we can't wait to play these kinds of matches in the Champions League. We are ready to play against everyone."


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230919_000028_435.jpg
 
Facundo Pellistri: "The best [at entertaining] are Messi, Neymar, Ronaldo. I really enjoy watching them because they make things happen and make football what it is."


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230919_000039_930.jpg
 
Gabriele Biancheri has penned his first professional contract with Manchester United 󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230919_002647_959.jpg
 
NILIWAHI KUSEMA HUMU 7HAG SAJILI ZAKE ZA EREVEDISE NA ZA KUTUMIA WAKALA WAKE ,

Daily Mail wanaripoti


Wasiwasi umeibuka ndani ya klabu kutokana na kuongezeka kwa ushiriki wa wakala wa Erik ten Hag Kees Vos katika shughuli za uhamisho wa klabu hiyo.

[@MattHughesDM]


TARATIBU MTAJIONEA ,GRAZZER FAMILY HAWAWEZI KUKUBALI WATUPIWE LAWAMA WAO TU,
 
NILIONGEA HAYA KIPINDI CHA NYUMA ,HATA USAJILI WA HOJLUND KWA €85m GRAZZER WAMETAPELIWA ,

Kuna mkono wa wakala wa Ten hag , Ni Kama Ten hag ameamua kufanya biashara ndani ya man utd ....LAWAMA wanapewa Grazzer Family yeye ametulia ,Grazzer family hawawezi kukubali mzigo wa LAWAMA


Daily Mail wanazidi kuripoti wanasema

Kampuni ya Sport Kees Vos imekuwa chombo muhimu katika mazungumzo ya usajili wa wachezaji na mauzo kwa #mufc , pamoja na kutoa ushauri usio rasmi kuhusu soko la uhamisho - Nigel mtoto wa Ten Hag pia anafanya kazi katika kampuni hiyo ya uwakala kama mchambuzi.

[@MattHughesDM]
 
Daily Mail wanazidi kufichua ,7hag it's like anafanya biashara ndani ya man utd akitumia kampuni za uwakala kununua na kuuza wachezaji

Thus why anapenda Sana wachezaji wa kiholanzi, au waliopita uholanzi sababu Ni rahisi kukuunganisha na kampuni zake za Siri za uwakala.


MattHughes mwandishi wa Daily Mail anafichua



SEG ilifanya kazi ya mauzo na usajili wa wachezaji wakati wa dirisha lenye shughuli nyingi ambalo liliifanya United kutumia pauni milioni 178 kununua wachezaji wapya wanne, huku Vos akiwa mgeni wa kawaida Old Trafford na uwanja wa mazoezi wa klabu ya Carrington. Kazi zao zilijumuisha:

Walimwakilisha Rasmus Hojlund wakati wa uhamisho wake wa £72m(€85m) kutoka Atalanta, huku mshambuliaji huyo wa Denmark akijiunga na kampuni hiyo mwezi mmoja kabla ya kusaini United.

Walikaimu katika mazungumzo ya kumsajili kwa mkopo Sofyan Amrabat kutoka Fiorentina katika makubaliano ambayo yanawapa fursa ya kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Morocco kabisa mwishoni mwa msimu.

Walihusika Kumuuza Zidane Iqbal kwa Utrecht mnamo Juni miezi miwili tu baada ya kijana huyo mwenye umri wa miaka 20 kujiunga na wakala kutoka kwa wapinzani wa CAA Base.

[@MattHughesDM]-Tier 1
 
Back
Top Bottom