Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Aisee Grazzer family nao jipu lakin watu wa management Kwanini wamekuwa hawashinikizi Hadi wanaonekana wao na Grazzer Ni wamoja.
Mfano Swala la Sancho na kocha ndiye mwenye maamuzi ,CEO Richard Mourtogh anaingiliaje kuwa mtu wa Kati?
Vipi ikitokea CEO anamtaka abaki ,kocha hamtaki



Mkuu Masingeli Glazer ni jipu kivipi wakati wao kila msimu wanamwaga noti za usajili? Wewe tunakuomba uendelee tu kumlaumu Mayai7 kwa sajili zake halafu watetee hao kina Glazers na Management yao.
Chini ya Glazer na management ya Utd Mourinho mwenyewe alikiri kabisa









