Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Tatizo ni Social Media, zamani ukitaka kum-bully mtu lazima mkutane face-to-face na kama hujiwezi maana yake unaweza kuchezea kichapo.Ila wanangu tuacheni utani wa kumkandia sana Maguire ,he is really going though a lots ..
Jamani tuacheni huyu jamaa kuna kitu kinampoteza ni ishu ya kisaikolojia,Zaidi anavyoandamwa na kujiona mtu ambaye hana bahati basi ndio anazidi kufanya mistakes.
Enough ! Enough !! Enough!!! Tumuaveni huyu jamaa hayupo mentally active na pia tufikirie ubinadamu zaidi nje ya mpira kuna ule utu wa kufeel sympathy hafanyi makusudi🥲
Mimi kama shabiki nguli wa Arsenal naona huruma sana huyu ni binadamu ana familia ,jaalia mpaka mama ake amejitokeza kuzungumzia ishu ya mwanae...Wanaumi zaidi ya makosa anayogharimu timu..
Sasa Social Media imerahisisha mtu anaweza kukutukana na usiwe na chochote cha kumfanya.
Hii generation kiujumla IMEFELI! Siyo wachezaji tu wanaopitia haya ni mpaka watu wa kawaida kabisa wasio na umaarufu.
Maguire alipofikia angejitoa kwenye Social Media kwa muda na akubali kuondoka United. United ndiyo timu inaongoza kuuza habari. Hivyo media zikipata habari mbaya inakuwa kubwa, hapo ndiyo na mashabiki wanaunga tela kufanya cyber-bullying.
Mike Tyson aliwahi kusema "Social media made y'all way too comfortable with disrespecting people and not getting punched in the face for it."
“The focus and noise that’s been around him has sadly probably been created by his own clubs supporters.” 
BREAKING:







