Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila wanangu tuacheni utani wa kumkandia sana Maguire ,he is really going though a lots ..

Jamani tuacheni huyu jamaa kuna kitu kinampoteza ni ishu ya kisaikolojia,Zaidi anavyoandamwa na kujiona mtu ambaye hana bahati basi ndio anazidi kufanya mistakes.

Enough ! Enough !! Enough!!! Tumuaveni huyu jamaa hayupo mentally active na pia tufikirie ubinadamu zaidi nje ya mpira kuna ule utu wa kufeel sympathy hafanyi makusudi🥲

Mimi kama shabiki nguli wa Arsenal naona huruma sana huyu ni binadamu ana familia ,jaalia mpaka mama ake amejitokeza kuzungumzia ishu ya mwanae...Wanaumi zaidi ya makosa anayogharimu timu..
Tatizo ni Social Media, zamani ukitaka kum-bully mtu lazima mkutane face-to-face na kama hujiwezi maana yake unaweza kuchezea kichapo.

Sasa Social Media imerahisisha mtu anaweza kukutukana na usiwe na chochote cha kumfanya.

Hii generation kiujumla IMEFELI! Siyo wachezaji tu wanaopitia haya ni mpaka watu wa kawaida kabisa wasio na umaarufu.

Maguire alipofikia angejitoa kwenye Social Media kwa muda na akubali kuondoka United. United ndiyo timu inaongoza kuuza habari. Hivyo media zikipata habari mbaya inakuwa kubwa, hapo ndiyo na mashabiki wanaunga tela kufanya cyber-bullying.

Mike Tyson aliwahi kusema "Social media made y'all way too comfortable with disrespecting people and not getting punched in the face for it."
 
Ila wanangu tuacheni utani wa kumkandia sana Maguire ,he is really going though a lots ..

Jamani tuacheni huyu jamaa kuna kitu kinampoteza ni ishu ya kisaikolojia,Zaidi anavyoandamwa na kujiona mtu ambaye hana bahati basi ndio anazidi kufanya mistakes.

Enough ! Enough !! Enough!!! Tumuaveni huyu jamaa hayupo mentally active na pia tufikirie ubinadamu zaidi nje ya mpira kuna ule utu wa kufeel sympathy hafanyi makusudi🥲

Mimi kama shabiki nguli wa Arsenal naona huruma sana huyu ni binadamu ana familia ,jaalia mpaka mama ake amejitokeza kuzungumzia ishu ya mwanae...Wanaumi zaidi ya makosa anayogharimu timu..
Mama yake kaongea kwa hisia Sana ,Mimi Kama mzazi mwenye mtoto ile meseji yake imenigusa Sana
 
Kuna page ya Troll football hawa jamaa wamekuwa wajinga sana wala hwaangalii ishu za muhimu zaid ya ujinga..
Ipo siku watakuja kushtakiwa tu.!!
Brendan Rodger kazungumza kasema ilianza kwa man u fans wenyewe , hii kitu mchezaji Kama sio strong anapotea moja kwa moja , man u ina make Sana headline kwenye social media, hivo mchezaji asipo deriver haraka anaweza kupotea mazima

Ukiangalia Kai kwa Arsenal anakutana na hii Hali ,thus why napingana na wengi, mchezaji anakosa Hadi goli la wazi,


“The focus and noise that’s been around him has sadly probably been created by his own clubs supporters.”

Brendan Rodgers believes Manchester United fans are the original source that has led to the abuse of Harry Maguire.
 
Screenshot_20230914-211118_Chrome.jpg


Wavulana wawili chali,
Narejea tena...wavulana wawili chali.

Mwanaume mmoja hajui ashike upande upi.

Mwanaume mmoja atabaki kuwa neutral

Mechi iendelee
 
Jamani tuacheni huyu jamaa kuna kitu kinampoteza ni ishu ya kisaikolojia,Zaidi anavyoandamwa na kujiona mtu ambaye hana bahati basi ndio anazidi kufanya mistakes
Maguire alipofikia angejitoa kwenye Social Media kwa muda na akubali kuondoka United. United ndiyo timu inaongoza kuuza habari. Hivyo media zikipata habari mbaya inakuwa kubwa, hapo ndiyo na mashabiki wanaunga tela kufanya cyber-bullying
Upo sawa But Wachezaji wa Kiingereza wanayatafuta wakati Mwingine haya kwa sababu ya EGO's zao. Kwa Mfano Maguire alikuwa na nafasi ya Kujitoa kwenye Spotlight na kuanza Upya akiwa W/Ham ila kafikiria zaidi Fungu zaidi, so mda Mwingine unaona kama wanayajitakia, Kiuhalisia ni Mchezaji mzuri ila Sio wa Timu kubwa kariba ya UTD!

Angalia Mda huu sakata la SANCHO, Media za Uingereza zinapenda attention na timu kubwa zenye Fan Base kubwa, na ndo mana UTD habari zake zinakuwaga na Uzito. Players wengi kipindi hiki mapato Nje ya Soka hasa kwenye mitandao ya kijamii yanawaharibia. Messi na CR7 Umaarufu umewafa baada ya kuwa Serious na Kazi zao. Rodri among the Best DM's kwa sasa jamaa Uuzaji kakataa kabisa mana wanadai hana Akaunti Social networks {I stand corrected} Ni moja ya Old School Players ila Jamaa uwanjani ana Muendelezo mzuri sana wa Performance.

Wachezaji wa Kiingereza kwa sasa ni Bellingham tu naye tunampa muda, kwa Hawa walio na asili ya Ki-Black wanatatizo sana asee, Delle, Sterling, Rashy, Sancho, Sturridge, Odoi, list inazidi kwenda, ni aina ya wachezaji wasio na Consistency wamepata mikataba mikubwa wakiwa wadogo na imewaharibu sana. Kuna na mfano mkubwa Pogba {ile kukulia Uingereza}
Fergie na Pep angalia aina ya Blacks unawakuta katika timu zao, wanajielewa haswa na wafuata maelekezo, ikitokea wakijitoa ufahamu hata wawe na uwezo wa aina gani wataondoka tu!
 
View attachment 2749300

Wavulana wawili chali,
Narejea tena...wavulana wawili chali.

Mwanaume mmoja hajui ashike upande upi.

Mwanaume mmoja atabaki kuwa neutral

Mechi iendelee
Sancho akiondoka itamsaidia Erik Ten Hag kufikiria upya namna ya kufanya recruitment.

His squad is full of stupid lazy boys.
 
Upo sawa But Wachezaji wa Kiingereza wanayatafuta wakati Mwingine haya kwa sababu ya EGO's zao. Kwa Mfano Maguire alikuwa na nafasi ya Kujitoa kwenye Spotlight na kuanza Upya akiwa W/Ham ila kafikiria zaidi Fungu zaidi, so mda Mwingine unaona kama wanayajitakia, Kiuhalisia ni Mchezaji mzuri ila Sio wa Timu kubwa kariba ya UTD!

Angalia Mda huu sakata la SANCHO, Media za Uingereza zinapenda attention na timu kubwa zenye Fan Base kubwa, na ndo mana UTD habari zake zinakuwaga na Uzito. Players wengi kipindi hiki mapato Nje ya Soka hasa kwenye mitandao ya kijamii yanawaharibia. Messi na CR7 Umaarufu umewafa baada ya kuwa Serious na Kazi zao. Rodri among the Best DM's kwa sasa jamaa Uuzaji kakataa kabisa mana wanadai hana Akaunti Social networks {I stand corrected} Ni moja ya Old School Players ila Jamaa uwanjani ana Muendelezo mzuri sana wa Performance.

Wachezaji wa Kiingereza kwa sasa ni Bellingham tu naye tunampa muda, kwa Hawa walio na asili ya Ki-Black wanatatizo sana asee, Delle, Sterling, Rashy, Sancho, Sturridge, Odoi, list inazidi kwenda, ni aina ya wachezaji wasio na Consistency wamepata mikataba mikubwa wakiwa wadogo na imewaharibu sana. Kuna na mfano mkubwa Pogba {ile kukulia Uingereza}
Fergie na Pep angalia aina ya Blacks unawakuta katika timu zao, wanajielewa haswa na wafuata maelekezo, ikitokea wakijitoa ufahamu hata wawe na uwezo wa aina gani wataondoka tu!
Pep na Ferg kwenye squad management ni level nyingine kabisa huoni wachezaji wa Pep wakileta ujinga wa nje ya uwanja.

Unaona workrate yao uwanja project ni ya Mwalimu ila wanafanya kazi kama ni ya kwao.
 
Kama Antony atacheza mwanzo mwisho, kisha Rashford left wings, Hodjlund kati sion beki ya Arsenal ikipanda maana wataunguza kibanda muda wowote, na hakuna mcgezaji hatari kama Rashford kwenye big matches.
Hivi vichezaji vikina Rashid cjui Martial vitazidi kuizamisha utd mpaka siku mkija kustuka timu iko championship.
 
There are doubts over Lisandro Martínez’s availability against Brighton.


#Telegraph
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230915_001802_416.jpg
 
Back
Top Bottom