Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aisee Grazzer family nao jipu lakin watu wa management Kwanini wamekuwa hawashinikizi Hadi wanaonekana wao na Grazzer Ni wamoja.

Mfano Swala la Sancho na kocha ndiye mwenye maamuzi ,CEO Richard Mourtogh anaingiliaje kuwa mtu wa Kati?

Vipi ikitokea CEO anamtaka abaki ,kocha hamtaki
Mkuu Masingeli Glazer ni jipu kivipi wakati wao kila msimu wanamwaga noti za usajili?
Wewe tunakuomba uendelee tu kumlaumu Mayai7 kwa sajili zake halafu watetee hao kina Glazers na Management yao.
Chini ya Glazer na management ya Utd Mourinho mwenyewe alikiri kabisa
1694680193541.jpg
 
Most own goals in Europe

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2748751
Anaenda kuvunja rekodi akiwa mchezaji wa Man Utd.
 
Mkuu Masingeli Glazer ni jipu kivipi wakati wao kila msimu wanamwaga noti za usajili?
Wewe tunakuomba uendelee tu kumlaumu Mayai7 kwa sajili zake halafu watetee hao kina Glazers na Management yao.
Chini ya Glazer na management ya Utd Mourinho mwenyewe alikiri kabisa View attachment 2748782
Wana makosa ila sio kwamba 7egg hana makosa ,tuwekane sawa hapo
 
Aisee Grazzer family nao jipu lakin watu wa management Kwanini wamekuwa hawashinikizi Hadi wanaonekana wao na Grazzer Ni wamoja.

Mfano Swala la Sancho na kocha ndiye mwenye maamuzi ,CEO Richard Mourtogh anaingiliaje kuwa mtu wa Kati?

Vipi ikitokea CEO anamtaka abaki ,kocha hamtaki
Hii timu ina matatizo mengi ambayo mashabiki ni ngumu kuyaona. Mourinho, Van Gaal, Zlatan, Sanchez walishasema na Ronaldo ndiyo alikuja kufunguka zaidi. Watu kama Rangnick walisema ukweli wakatimuliwa.
 
Timu yetu imekuwaje aisee!? Kila siku drama. Ukifungua Twitter kusoma habari unakutana na Antony, mara Mama yake Maguire, Sancho, Glazers.

Yani United imekuwa na habari za kingese tu lately. Sasa hawa wachezaji wanapataje focus kufanya kazi kwenye mazingira kama haya. Kocha anaanza mabifu na wachezaji.

Badala watu wa-focus na Brighton & Bayern timu iko busy kusuluhisha ugomvi. Huyu Sancho bora aondolewe kama Antony kabisa tujue moja.
 
Mkuu Masingeli Glazer ni jipu kivipi wakati wao kila msimu wanamwaga noti za usajili?
Wewe tunakuomba uendelee tu kumlaumu Mayai7 kwa sajili zake halafu watetee hao kina Glazers na Management yao.
Chini ya Glazer na management ya Utd Mourinho mwenyewe alikiri kabisa View attachment 2748782
Glazers ni mafala. Wanatoa pesa ya usajili kutoka kwenye mapato ya timu.

Watu waliowaajiri hawasajili wachezaji kwa wakati, kitu kinachopelekea kocha anakosa 1st options.

Msimu huu EtH alitaka RCB, akawapa jina: Min-Jae wakashindwa, akamtaka Pavard / Todibo wakashindwa, wamemletea Johnny Evans. 😂

Kwa Ole ni hivyohivyo alimtaka Bellingham na Haaland wakamletea Van de Beek na Cavani. Wakamtengenezea mazingira magumu zaidi kwa kumsajili Ronaldo kwa sababu zao za kibiashara.

Van Gaal alimuonya Ten Hag.
 
Ila wanangu tuacheni utani wa kumkandia sana Maguire ,he is really going though a lots ..

Jamani tuacheni huyu jamaa kuna kitu kinampoteza ni ishu ya kisaikolojia,Zaidi anavyoandamwa na kujiona mtu ambaye hana bahati basi ndio anazidi kufanya mistakes.

Enough ! Enough !! Enough!!! Tumuaveni huyu jamaa hayupo mentally active na pia tufikirie ubinadamu zaidi nje ya mpira kuna ule utu wa kufeel sympathy hafanyi makusudi🥲

Mimi kama shabiki nguli wa Arsenal naona huruma sana huyu ni binadamu ana familia ,jaalia mpaka mama ake amejitokeza kuzungumzia ishu ya mwanae...Wanaumi zaidi ya makosa anayogharimu timu..
 
Ila wanangu tuacheni utani wa kumkandia sana Maguire ,he is really going though a lots ..

Jamani tuacheni huyu jamaa kuna kitu kinampoteza ni ishu ya kisaikolojia,Zaidi anavyoandamwa na kujiona mtu ambaye hana bahati basi ndio anazidi kufanya mistakes.

Enough ! Enough !! Enough!!! Tumuaveni huyu jamaa hayupo mentally active na pia tufikirie ubinadamu zaidi nje ya mpira kuna ule utu wa kufeel sympathy hafanyi makusudi🥲

Mimi kama shabiki nguli wa Arsenal naona huruma sana huyu ni binadamu ana familia ,jaalia mpaka mama ake amejitokeza kuzungumzia ishu ya mwanae...Wanaumi zaidi ya makosa anayogharimu timu..
Tatizo ni Social Media, zamani ukitaka kum-bully mtu lazima mkutane face-to-face na kama hujiwezi maana yake unaweza kuchezea kichapo.

Sasa Social Media imerahisisha mtu anaweza kukutukana na usiwe na chochote cha kumfanya.

Hii generation kiujumla IMEFELI! Siyo wachezaji tu wanaopitia haya ni mpaka watu wa kawaida kabisa wasio na umaarufu.

Maguire alipofikia angejitoa kwenye Social Media kwa muda na akubali kuondoka United. United ndiyo timu inaongoza kuuza habari. Hivyo media zikipata habari mbaya inakuwa kubwa, hapo ndiyo na mashabiki wanaunga tela kufanya cyber-bullying.

Mike Tyson aliwahi kusema "Social media made y'all way too comfortable with disrespecting people and not getting punched in the face for it."
 
Ila wanangu tuacheni utani wa kumkandia sana Maguire ,he is really going though a lots ..

Jamani tuacheni huyu jamaa kuna kitu kinampoteza ni ishu ya kisaikolojia,Zaidi anavyoandamwa na kujiona mtu ambaye hana bahati basi ndio anazidi kufanya mistakes.

Enough ! Enough !! Enough!!! Tumuaveni huyu jamaa hayupo mentally active na pia tufikirie ubinadamu zaidi nje ya mpira kuna ule utu wa kufeel sympathy hafanyi makusudi🥲

Mimi kama shabiki nguli wa Arsenal naona huruma sana huyu ni binadamu ana familia ,jaalia mpaka mama ake amejitokeza kuzungumzia ishu ya mwanae...Wanaumi zaidi ya makosa anayogharimu timu..
Mama yake kaongea kwa hisia Sana ,Mimi Kama mzazi mwenye mtoto ile meseji yake imenigusa Sana
 
Back
Top Bottom