Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jana hiyo
20230916_220321.jpg
 
Kuhusu casemiro kocha hakuwa na options kwasababu alikuwa anamtaka de jong as a first options

Na alikuwa na mazungumzo binafsi na mchezaji ila mke wa mchezaji hakupenda kuondoka jiji la barcelona ( wenzetu wazungu wanajali sana ustawi wa familia hasa mke na watoto) kwa hiyo akawa ame cancel

Km unavyojua kwasasa kumpata mchezaji ambaye anaweza ku deliver kuanzia namba 6,8,10 imekuwa mtihani

Casemiro ilikuwa option sahihi ya tatizo la muda mfupi
ila ada yake ilikuwa kubwa kutokana na kumfuata dirisha likiwa dakika za mwisho

Wegho na sab walikuwa temporary kutokana na wachezaji wengi kuwa injury
Na hawa hawakuwa first options


Ole gunner ndio aliharibu wachezaji wa manchester united alikuwa anaongoza wachezaji kama watoto wa shemeji uko uwanjani kina pogba walikuwa wanachelewa mazoezi yeye anawakenulia tu

Inawezekana ole Gunner ndio kocha mwenye IQ ndogo zaidi kuwahi kupita manchester united,ndio maana mpaka leo hana timu
Wegho na Sab walikua wa muda mfupi.

Kwanini dirisha lilipofunguliwa hakutafuta targets za hayo mapengo mawili?

Swali kuu hili hapa. Ni kweli kwa wachezaji waliopo hakuna game plan nyingine zaidi ya hii?
 
Wakati Guardiola anawanao akina Robben, Ribbery na the likes of Philip Lahm , Eliki 7+3Hag alikuwa anafundisha timu ya under 10 ya Bayern 😆😆😆😆😆

We mpaka hapo haustuki tuuuu.
Hahahaha 🤣🤣🤣 9+1 Hug.
 
Back
Top Bottom