Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,479
- 14,682
Jana hiyo
Huyu jamaa cjawahigi muelewa kbs.


Carasco Putin ni shabiki kindakindaki wa Arsenyo, yeye mwenyewe hua anajiita kijukuu cha Wenger, ni mzee wa Teta ball burudani kwa wote. Wegho na Sab walikua wa muda mfupi.Kuhusu casemiro kocha hakuwa na options kwasababu alikuwa anamtaka de jong as a first options
Na alikuwa na mazungumzo binafsi na mchezaji ila mke wa mchezaji hakupenda kuondoka jiji la barcelona ( wenzetu wazungu wanajali sana ustawi wa familia hasa mke na watoto) kwa hiyo akawa ame cancel
Km unavyojua kwasasa kumpata mchezaji ambaye anaweza ku deliver kuanzia namba 6,8,10 imekuwa mtihani
Casemiro ilikuwa option sahihi ya tatizo la muda mfupi
ila ada yake ilikuwa kubwa kutokana na kumfuata dirisha likiwa dakika za mwisho
Wegho na sab walikuwa temporary kutokana na wachezaji wengi kuwa injury
Na hawa hawakuwa first options
Ole gunner ndio aliharibu wachezaji wa manchester united alikuwa anaongoza wachezaji kama watoto wa shemeji uko uwanjani kina pogba walikuwa wanachelewa mazoezi yeye anawakenulia tu
Inawezekana ole Gunner ndio kocha mwenye IQ ndogo zaidi kuwahi kupita manchester united,ndio maana mpaka leo hana timu
jana alianzisha uzi wa simba halafu wahuni wakawa wanamtafuta awape updates.Carasco Putin ni shabiki kindakindaki wa Arsenyo, yeye mwenyewe hua anajiita kijukuu cha Wenger, mzee wa Teta ball burudani kwa wote. View attachment 2752116
Bado yamelala, sijui kwa raha gani.Manyumbu.....mbwa nyie😂😂
Hahahaha 🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa...
Hahahaha 🤣🤣🤣 9+1 Hug.Wakati Guardiola anawanao akina Robben, Ribbery na the likes of Philip Lahm , Eliki 7+3Hag alikuwa anafundisha timu ya under 10 ya Bayern 😆😆😆😆😆
We mpaka hapo haustuki tuuuu.
Huyo ni tapeli tuCarasco Putin ni shabiki kindakindaki wa Arsenyo, yeye mwenyewe hua anajiita kijukuu cha Wenger, mzee wa Teta ball burudani kwa wote. View attachment 2752116
Too late dirisha lishafungwaTafuteni kipa wa kueleweka.
jana alianzisha uzi wa simba halafu wahuni wakawa wanamtafuta awape updates.
sijui alipotelea wapi





Too late dirisha lishafungwa



Si tunae Osman bey?
😅😅😅😅😅😂😂😂
Alikimbilia matopeni
Yule ndio mtapigika vibaya SanaSi tunae Osman bey?
Kama vipi Osman bey akae golini halafu Onana acheze MF asaidiane na Casemiro pale kati.
Galatasaray pia napewa taarifa ,Zaha anawasubiriBayern hao sasa sijui tutafanyajee maana ni vipigo mfululizo.
Huyu leo atafunga kama sio kuasisstDogo walimkondesha aisee 🙂🙂☺☺View attachment 2751758