Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

No "good morning red" for today .

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230917_095550_584.jpg
 
Kwa yeyote atakayemvunjia heshima kocha wetu Eric ten hag nitapambana naye

Kuna vitoto humu vinamlaumu kocha kwa lipi?

Upande wa beki varane kaumia

Kiungo sufian amesajiliwa yupo na injury

Antony anakesi hayupo kwenye timu

Luke shaw kaumia
.........

Alafu wanatokea mashabiki wa manchester united wanamsema kocha hafai hivi mna akili nyie?

Mashabiki wa manchester united hatupo hivi
Tulimvumilia kocha mbovu Ole gunner tumepata bahati kocha amekuja anayejitambua vitoto humu vinaandika lugha za kejeli kwa kocha?

Kwangu mimi kocha mbovu kuliko wote aliyekuja kuharibu timu ni Ole gunner!

Amezalisha mitoto gaigoi km kina sancho, martial,bisaka,shaw ronaldo wote hawa walikuwa mizigo kwenye timu at least bisaka amejirekebisha


Unamlaumu kocha kwa kosa gani?

Kwa wachezaji aliowakuta Ten hag hata Pep gurdiola asingefanya kitu

Wachezaji ni overpaid then hawana mchango kwa timu (wenye mishahara ya kawaida ndio wanaisadia timu)

Onana
Antony
Hojlund
Malacia
Butcher
Casemiro

Hawa ni wachezaji waliosajiliwa na kocha na wamenyesho kitu

Vijana km gernacho na Facundo,mejbri bado hawana pumzi ya kucheza week in week out kwa intensity ya Epl ila watu wanasema Marcus akae benchi aanze gernacho! Hivi kweli ndugu zangu tunaangalia mpira?


Unamlaumu vipi kocha aliyekaribia kuchukua ubingwa msimu ulioisha?

Ni kumkosea adabu kumfananisha Eric na makocha wa timu ndogo km kina di zerbi


Mimi namuelewa sana kocha kwasasa amejikita kutafuta matokea uku akiingiza wachezaji anaowataka taratibu


Kumbukeni kloop alikaa misimu minne ndio akachua Epl tena kwa bahati bahati kutokana na corona na ni baada ya kusajili wachezaji zaidi ya 17


Yule bwana mdogo wa arsenal arteta anaenda msimu wa sita hana hata dalili ya kuchukua Epl na amesajili wachezaji 30

Manchester united amepoteza mechi tatu
Ila mechi ambayo amepoteza na nimeridhika ni hii ya brighton ile ya arsenal na Spurs walishinda kibahati bahati tu


Tumpe muda mwalimu, kufanya kazi na wajinga km kina marital,sancho, maguire inahitaji subra tumpe muda mwalimu naamini kabisa atatufikisha nchi ya ahadi

Mashabiki wengi tuliacha kuangalia mpira wakati wa morinyo na ole ila Eric anetirudisha mashabiki uwanjani tumpeni huyu ndugu ushirikiano


Km nimetumia lugha ya kuudhi mniwe radhi


Tusmtukane kocha sitaruhusu hili
Umemaliza kila kitu.
 
Same exact instance β€” different outcome.

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
 
πŸ₯²

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230917_095621_014.jpg
 
Brighton's starting XI vs ManUtd

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230917_095614_985.jpg
 
AndrΓ© Onana has conceded 7 goals from 10 shots on target this season, which is a save percentage of 30%
1 clean sheet
2 yellow cards

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230917_095605_915.jpg
 
Philip Lahm was inverted fullback wakati Guardiola yupo Munich?
Before hii neno halijaanza kuimbwa sana
Guardiola ni Disciple wa Johan Cruyff ambao yeye Arrigo Sacchi na Marcelo Bielsa ni Waanzilishi wa Mifumo mingi ya Kushambulia na kumiliki kwenye Mpira wa Kisasa. Mwalimu alieanzisha INVERTED FB's na RW/LW kwa Mafanikio Makubwa EPL ni ARSENE WENGER, alimsajili LAUREN ETAME MAYER kama RM ila akaja mtumia kama RB, Pundits wa Uingereza kama kawaida yao waliponda ila Mwisho WENGER alitengeneza "INVINCIBLES"

ENGLAND Naweza diriki sema haijawahi kuwa na LB bora wa kufikia Uwezo wa COLE, Kwa Upande wa Kulia REECE JAMES angekuwa zama za kina WENGER angeweza Claim Title kwa Upande wa RB, Walker ni Old School, TAA ni System Player ila JAMES yupo Balanced kwenye ATT na DEF sema ndo Players wa Kizazi cha Social Network Mkataba Mnono wanajivunja tu kila siku. {Kila Mtu anaangalia mpira utachagua cha kuamini}

FERGIE alichukua Hiyo kwa WENGER akambadilia Rafael na Valencia ila wote alisajili kama RM/RW. Jaribu waza Valencia ndo awe ana-trace back nafasi Dalot Yule Lamptey angekuwa Bullied ila Mwisho wa siku Lamptey Assist 2 za aina moja. UTD Rangnik hakuwa anatania kusema Inahitaji Sajili zaidi ya 10. De Zerbi kaja katikati ya Season ila sasa ana Sajili zake karibu 10 lazima timu yake icheze kwa Taswira yake, Pundits wengi hawaezi ongea Hili ila Alitoa Stars wa timu Trossard na Sanchez. Nachoamini 100% tutawasifia Brighton kwa Mpira mzuri but mwisho wa Msimu watauza tu wachezaji hakuna taji wataonyesha na kundi kubwa litafeli mana ni System Players.
 
Kuhusu casemiro kocha hakuwa na options kwasababu alikuwa anamtaka de jong as a first options

Na alikuwa na mazungumzo binafsi na mchezaji ila mke wa mchezaji hakupenda kuondoka jiji la barcelona ( wenzetu wazungu wanajali sana ustawi wa familia hasa mke na watoto) kwa hiyo akawa ame cancel

Km unavyojua kwasasa kumpata mchezaji ambaye anaweza ku deliver kuanzia namba 6,8,10 imekuwa mtihani

Casemiro ilikuwa option sahihi ya tatizo la muda mfupi
ila ada yake ilikuwa kubwa kutokana na kumfuata dirisha likiwa dakika za mwisho

Wegho na sab walikuwa temporary kutokana na wachezaji wengi kuwa injury
Na hawa hawakuwa first options


Ole gunner ndio aliharibu wachezaji wa manchester united alikuwa anaongoza wachezaji kama watoto wa shemeji uko uwanjani kina pogba walikuwa wanachelewa mazoezi yeye anawakenulia tu

Inawezekana ole Gunner ndio kocha mwenye IQ ndogo zaidi kuwahi kupita manchester united,ndio maana mpaka leo hana timu
Kama hukumsapoti Ole ila unamsapoti Eriki na wakati wote mwisho wa msimu wanashika nafasi zile zile hapo tusemeje?

Ole hajamzalisha Sancho.

Kama kocha wenu alikua na Luke Shaw peke yake kwanini hakusajili back up?

Antony ana magoli mangapi msimu ulioisha?

Onana katika hizi mechi 5 klashafungwa magoli mangapi?

Erik anacheza game plan ipi? Kwa wachezaji alionaoj hawezi badilisha game plan ya sasa?

Kwanini aliamua kusajili wachezaji wakiwa majeruhi? Kulikua hakuna mbadala?

Amrabat ataleta nini kipya ambacho Casemiro na Scot hawawezi?

Kwanini ilitoka 70M kwaajili ya kiungo mwenye miaka 30?

Weghorst alikuja kwa kazi gani? Sabitzer?
 
Kuhusu casemiro kocha hakuwa na options kwasababu alikuwa anamtaka de jong as a first options

Na alikuwa na mazungumzo binafsi na mchezaji ila mke wa mchezaji hakupenda kuondoka jiji la barcelona ( wenzetu wazungu wanajali sana ustawi wa familia hasa mke na watoto) kwa hiyo akawa ame cancel

Km unavyojua kwasasa kumpata mchezaji ambaye anaweza ku deliver kuanzia namba 6,8,10 imekuwa mtihani

Casemiro ilikuwa option sahihi ya tatizo la muda mfupi
ila ada yake ilikuwa kubwa kutokana na kumfuata dirisha likiwa dakika za mwisho

Wegho na sab walikuwa temporary kutokana na wachezaji wengi kuwa injury
Na hawa hawakuwa first options


Ole gunner ndio aliharibu wachezaji wa manchester united alikuwa anaongoza wachezaji kama watoto wa shemeji uko uwanjani kina pogba walikuwa wanachelewa mazoezi yeye anawakenulia tu

Inawezekana ole Gunner ndio kocha mwenye IQ ndogo zaidi kuwahi kupita manchester united,ndio maana mpaka leo hana timu
Wegho na Sab walikua wa muda mfupi.

Kwanini dirisha lilipofunguliwa hakutafuta targets za hayo mapengo mawili?

Swali kuu hili hapa. Ni kweli kwa wachezaji waliopo hakuna game plan nyingine zaidi ya hii?
 
Back
Top Bottom