Nafikiri hii game ili tuwe na amani, Fellaini na Kagawa inabidi waingie. Giggs na RvP watoke mwanzoni tu wa kipindi cha pili.
De Gea, shikamoo....
Sijui tungekuwa wapi bila ya wewe...
mtoto wa Arsenal anaonekana mzuri.... Wenger anatakiwa amlete msimu ujao