Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
RVP amekuwa mzigo!!!!amebaki maneno tu anatakiwa akae nje. leo wacheze watu wa juhudi tu akina VALENCIA,WELBECK,YOUNG hawa wanajituma sana hata kama hawana talent kivile
SAF alikuwa anaweza kumpiga benchi mchezaji yeyote,Moyes anawaogopa na combination ya Mata,Rooney,RVP,Januzaj inafeli mmoja lazima aanze benchi