Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona club haijaandika chochote
Hawawezi kuandika italeta matatizo na mashabiki. Getafe wamethibitisha.

Hawa mashabiki wa United wanaopinga Greenwood kucheza United wajiangalie kwasababu wanaweza kupigwa na kitu kizito kama timu ikipata mmiliki mpya. Ni kama timu imefanya danganya toto, wameandikiwa barua ya kuwatuliza ila hakuna contract termination.
 
Mwendo wa debuts tu

Wao siwanapenda kukaa na mpira kuuficha...solution ni kufosi wafanye makosa mpira tukipata viberenge hadi kwa Ramsadle
Hamna muda wakumuonea mtu huruma uchochoro upo kwa zinny hapo
Mnavyoandika JF sasa utafikiri mna Timu ya maaaana kweli
huna Timu ya kuifunga Arsenal kesho
 
Wewe kaa kwa kutulia

Wewe siuliaga humu had masebene asipopangwa ndio unarudi


Unakimbia kidiplomasia unarudia kidiplomasia


Kesho tutawafundisha mpira


Bado huna timu ya kuifunga Arsenal
 
Jamaa msimu ulioisha alikimbia jukwaa leo baada ya ndiyo ya Arsenal ndoo Haaland kiatu kuyeyuka ndipo wahuni wakavamia jukwaa lenu ,humu uzuri wake hakimbii mtu iwe jua au mvua.
Mnatokea kwa ku beep

Mlipokula kipigo kwa spurz mkasema mnahama had 7hag asipompanga masebene


Sasa hivi mmerud


Achen mbambamba,kesho tunawakanda na mtapoteana humu
 
Bado hamjasema


Kesho mtanena kwa lugha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…