Han Kyul
JF-Expert Member
- Aug 15, 2023
- 264
- 529
Ana haki ya kutoa hisia kama shabiki hata wakati wa Mourinho kuna waliokuwa wanamuona anafaa na waliomuona hafai.Mjibun huyo shabiki Lia Lia wa manjesta
Juzi Ambangile alihoji uwezo wa 7hag kule Twitter alishambuliwa na mashabiki oya oya wa manjesta
Ambangile kahoji kama shabiki nikajua ana nafasi hata ya u-legend pale United






#MUFC are refusing to disclose if Rasmus Højlund trained with the squad yesterday. 





