Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mchezaji wao katoka Gereji then game yake ya Kwanza anakuja kucheza na Arsenal… Watu wana utani sana.
 
Talent ndio nn maana unaongea hiki kitu muda sana? Au kuna namna ss hatuangalii mpira sawa na ww
Jamaa kumbe Mhafidhina tu. Hajui hata Arteta kamkuta Pepe ana miezi mi3 tu na Hafahamu hata Saliba alikuwa St. Etienne na ni timu yake, afu anakwambia Arteta kamkuta Pepe asha-flop! SASA ARSENAL YENYEWE HAIJUI KUNA NIN TENA SASA HAPO UNATEGEMEA SIKIA MKALI!

Hoja yake kubwa ni ETH hana TALENT ID, Ameulizwa Arteta katika Sajili 29 Mna Makombe mangapi zaidi ya 1 ambalo ETH ashalipa ndani ya Season 1 na kwa sajili 3 za First 11 na Moja ya Back Up anakazana kutusi hatoi majibu na kila swali anakwepa. Hajui kwamba hii ni Season ya 5 ya Arteta..
 
Jamaa kumbe Mhafidhina tu. Hajui hata Arteta kamkuta Pepe ana miezi mi3 tu na Hafahamu hata Saliba alikuwa St. Etienne na ni timu yake, afu anakwambia Arteta kamkuta Pepe asha-flop! SASA ARSENAL YENYEWE HAIJUI KUNA NIN TENA SASA HAPO UNATEGEMEA SIKIA MKALI!

Hoja yake kubwa ni ETH hana TALENT ID, Ameulizwa Arteta katika Sajili 29 Mna Makombe mangapi zaidi ya 1 ambalo ETH ashalipa ndani ya Season 1 na kwa sajili 3 za First 11 na Moja ya Back Up anakazana kutusi hatoi majibu na kila swali anakwepa. Hajui kwamba hii ni Season ya 5 ya Arteta..
mbona unapayuka tu

Nimekuuliza hiyo misimu mitano Ni mechi ngapi ,?

Pepe tunamuita ame flop sisi sababu hakuingia kwenye system

Pepe kwa manjesta hakuna wakumuweka benchi
20230830_162426.jpg
 
UTAPELI HAUTAKUJA KUISHA DUNIANI


#MUFC are refusing to disclose if Rasmus Højlund trained with the squad yesterday.

@samuelluckhurst
 
Fabrizio Romano: “If Sofyan Amrabat joins, I hope Manchester United fans will be very respectful with him, because he has been waiting and fighting to join them since June.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Fabrizio Romano: “If Sofyan Amrabat joins, I hope Manchester United fans will be very respectful with him, because he has been waiting and fighting to join them since June.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
OFFICIAL: #mufc will face Crystal Palace at Old Trafford in the third round of the Carabao Cup.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Atabeba Erik 7 hag a Dutch David Moyes


Kocha ambaye hata timu kupiga pass 10 kwa usahihi haiwezi, na mnadanganyana humu ana uwezo ,wakati hata Ole gunar anamzidi mbali tuView attachment 2734519
Sisi tumekubali hatuna Timu nzuri lakini ninyi mbugila mbugila mnajiongopea sana, msimu uliopita milikuwa tembo ambao mmekaa juu ya mti sisi legendary tulijua mtashuka tu.

The same na msimu huu na misimu ijayo hamtoweza fanikiwa kwenye lolote labda mpambane na FA au kombe lenu la emirates

Tangia upepo wa wenga umeondoka mmebakia kufurahia kupiga pasi tu, wewe kaa hapa fanya taarabu na mipasho lakini deep down unajua timu yako ni mediocre tu.

Asno hakuna timu serious na haitokuja kutokea.
 
Sisi tumekubali hatuna Timu nzuri lakini ninyi mbugila mbugila mnajiongopea sana, msimu uliopita milikuwa tembo ambao mmekaa juu ya mti sisi legendary tulijua mtashuka tu.

The same na msimu huu na misimu ijayo hamtoweza fanikiwa kwenye lolote labda mpambane na FA au kombe lenu la emirates

Tangia upepo wa wenga umeondoka mmebakia kufurahia kupiga pasi tu, wewe kaa hapa fanya taarabu na mipasho lakini deep down unajua timu yako ni mediocre tu.

Asno hakuna timu serious na haitokuja kutokea.
Ulijua na Nani?

Ligi inaanza mlisema hata top 6 hatuingii

Leo unasema ulijua tutakaa juu


Acha unafiki


20230831_141733.jpg
 
Back
Top Bottom