Jamaa kumbe Mhafidhina tu. Hajui hata Arteta kamkuta Pepe ana miezi mi3 tu na Hafahamu hata Saliba alikuwa St. Etienne na ni timu yake, afu anakwambia Arteta kamkuta Pepe asha-flop! SASA ARSENAL YENYEWE HAIJUI KUNA NIN TENA SASA HAPO UNATEGEMEA SIKIA MKALI!Talent ndio nn maana unaongea hiki kitu muda sana? Au kuna namna ss hatuangalii mpira sawa na ww
mbona unapayuka tuJamaa kumbe Mhafidhina tu. Hajui hata Arteta kamkuta Pepe ana miezi mi3 tu na Hafahamu hata Saliba alikuwa St. Etienne na ni timu yake, afu anakwambia Arteta kamkuta Pepe asha-flop! SASA ARSENAL YENYEWE HAIJUI KUNA NIN TENA SASA HAPO UNATEGEMEA SIKIA MKALI!
Hoja yake kubwa ni ETH hana TALENT ID, Ameulizwa Arteta katika Sajili 29 Mna Makombe mangapi zaidi ya 1 ambalo ETH ashalipa ndani ya Season 1 na kwa sajili 3 za First 11 na Moja ya Back Up anakazana kutusi hatoi majibu na kila swali anakwepa. Hajui kwamba hii ni Season ya 5 ya Arteta..
Huyu Arteta hawezi kubeba EPL labda abebe EPL ya mbagala maji matituartets kama wenga tu miaka kibao epl kabeba mara tatu tu














Atabeba Erik 7 hag a Dutch David MoyesHuyu Arteta hawezi kubeba EPL labda abebe EPL ya mbagala maji matitu
Sisi tumekubali hatuna Timu nzuri lakini ninyi mbugila mbugila mnajiongopea sana, msimu uliopita milikuwa tembo ambao mmekaa juu ya mti sisi legendary tulijua mtashuka tu.Atabeba Erik 7 hag a Dutch David Moyes
Kocha ambaye hata timu kupiga pass 10 kwa usahihi haiwezi, na mnadanganyana humu ana uwezo ,wakati hata Ole gunar anamzidi mbali tuView attachment 2734519
Ulijua na Nani?Sisi tumekubali hatuna Timu nzuri lakini ninyi mbugila mbugila mnajiongopea sana, msimu uliopita milikuwa tembo ambao mmekaa juu ya mti sisi legendary tulijua mtashuka tu.
The same na msimu huu na misimu ijayo hamtoweza fanikiwa kwenye lolote labda mpambane na FA au kombe lenu la emirates
Tangia upepo wa wenga umeondoka mmebakia kufurahia kupiga pasi tu, wewe kaa hapa fanya taarabu na mipasho lakini deep down unajua timu yako ni mediocre tu.
Asno hakuna timu serious na haitokuja kutokea.
Ana hali mbayaaaaManjesta na baryen atapigwa nje ndani kushoto kulia katikati pembeni
Pumbaff