Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Onana is Attacking Goalkeeper
FB_IMG_1693414730600.jpg
 
Na hoja yako unajifichia alimpa Nan debut na yupo XI

Nimekupa mifano ya Pep na Klopp hapo city na Liverpool

Narudia kwambia ukiona unatusi ujue hoja Zimekuishia. Career ya Klopp na Pep wana majina makubwa wametengeneza na mpaka leo yameishi kwenye mpira kwa maana hiyo hawana cha kuaminisha mtu kwamba wanaweza tengeneza Academy player kuwa World Star na ni wakati wanaanza Career zao za Ualimu! HUJANIPA JINA LOLOTE ARTETA KATENGENEZA toka ACADEMY msimu wa 5 Huu..

Saliba kamkuta ana miaka 18 yupo mkopo Nice

Pepe kamkuta ameshakuwa flop
Punguza Kuwa emotional! Pepe kasajiliwa Msimu alochukua ARTETA timu 2019, sasa Huo U-FLOP ulikuwa wakati wa Mchakato wa Usajili ama?? Saliba naye alisajiliwa Msimu huo huo na alibaki St. Ettienne kwa Mkopo, Yule kaja sukwa na JORGE SAMPAOLI Kuwa Player unayemwona Leo ARTETA Kamkuta NICE!! kumbe jamaa Arsenal yako still Huijui.

Kwa Hiyo kwa hoja ya Mwalimu lazima akamilishe Game 38 ndo aitwe mwalimu wa timu kwa msimu husika? Nilikupa Mfano Chelsea walimu walochukua UCL ni Di Matteo na TT na ndo inatambulika hivyo kama walimu wa hizo timu kwa Misimu husika.
 
7hag na mikopo

Weghorst,

Dubravka,

Sabitzer and

Butland on loans whilst now attempting to sign Amrabat or Gravenberch on loan in addition to Cucurella.


Halafu tunaambiwa anataka kupigania Ubingwa EPL

Wewe pia ni loser jichekeshe kama shangingi tu mwisho wa siku sisi tusioeleweka na nyie mnaojikuta tayari level za Real Madrid tutakuwa tunaugulia maumivu
 
hamis77 spana ulizopiga hizi nyumbu alafu ikatokea jpil wakatupiga itakua ni hatari
Mkuu naomba hizi spana ziendelee baada ya game ya jpil

Umeshawaumiza vya kutosha
Kitoabu ameamua ajikite huko migodini Malawi
Flano Kama kawaida yake tutamuona asubuhi au mchana, huyu jamaa sijui atakua mlinzi Sasa hivi yupo lindo?
allypipi mwamba anapost kwa kuvizia, Yan Kama boxing tayari ametupa kitaulo
 
hamis77 spana ulizopiga hizi nyumbu alafu ikatokea jpil wakatupiga itakua ni hatari
Mkuu naomba hizi spana ziendelee baada ya game ya jpil

Umeshawaumiza vya kutosha
Kitoabu ameamua ajikite huko migodini Malawi
Flano Kama kawaida yake tutamuona asubuhi au mchana, huyu jamaa sijui atakua mlinzi Sasa hivi yupo lindo?
allypipi mwamba anapost kwa kuvizia, Yan Kama boxing tayari ametupa kitaulo
Sisi wanaume hatuogopi wake zetu nyie Gunners washika ukuta wa London
 
Swali kwa wakereketwa wa A Dutch David Moyes Erik 7 hag


Limeulizwa na shabiki wa manjesta huko Uingereza


Serious question. Why have De Zerbi, Postecoglou and co managed to get the team playing a great style of football in such a short amount of time, but Ten Hag has us playing like Dyche’s Burnley?
"Hujui mpira bro" hii kauli itakumbukwa kwenye hili jukwaa
 
2019/20
2020/21
2021/22
2022/23
2023/24

Misimu 5 hiyo ya Arteta. Kazi ipi ya kuinua vipaji haijifichi? Lete majina ya wachezaji aliowa-promote Arteta kutoka Academy.

Ten Hag, kwanza timu imemfelisha kwa kutomletea 1st choice zake ila bado EtH hawezi kukwepa lawama.

Antony siyo usajili mbaya, tatizo lipo kwa watu wa juu kuchelewa kwao kufanya maamuzi ndiyo kumepelekea wakatoa €100m.

EtH anachonikera kwa sasa ni kutumia wachezaji walewale wanaomfelisha kila siku. Masuala ya hela hahusiki maana siyo anaye-negotiate.

Ila baada ya kutumia £400m nilitegemea tutakuwa bora dhidi ya mid-table teams matokeo yake sisi ndiyo tunacheza kama timu ya Championship.

Mimi sitaki tuwafunge Liverpool au City home & away. Nataka kuona angalau tukicheza mpira wa kueleweka na kuziadhibu timu kama Nott'm Forest ipasavyo. Wolves kucheza mpira ule Old Trafford haikubaliki. EtH inabidi timu yake ifanye sasa yale anayoyaimba kila siku, maneno yanekuwa mengi kuliko vitendo.
Na huu ndo ukweli wengi wetu wanajaribu kuukataa kwa statistics.
 
Narudia kwambia ukiona unatusi ujue hoja Zimekuishia. Career ya Klopp na Pep wana majina makubwa wametengeneza na mpaka leo yameishi kwenye mpira kwa maana hiyo hawana cha kuaminisha mtu kwamba wanaweza tengeneza Academy player kuwa World Star na ni wakati wanaanza Career zao za Ualimu! HUJANIPA JINA LOLOTE ARTETA KATENGENEZA toka ACADEMY msimu wa 5 Huu..


Punguza Kuwa emotional! Pepe kasajiliwa Msimu alochukua ARTETA timu 2019, sasa Huo U-FLOP ulikuwa wakati wa Mchakato wa Usajili ama?? Saliba naye alisajiliwa Msimu huo huo na alibaki St. Ettienne kwa Mkopo, Yule kaja sukwa na JORGE SAMPAOLI Kuwa Player unayemwona Leo ARTETA Kamkuta NICE!! kumbe jamaa Arsenal yako still Huijui.

Kwa Hiyo kwa hoja ya Mwalimu lazima akamilishe Game 38 ndo aitwe mwalimu wa timu kwa msimu husika? Nilikupa Mfano Chelsea walimu walochukua UCL ni Di Matteo na TT na ndo inatambulika hivyo kama walimu wa hizo timu kwa Misimu husika.
Yaani unalazimisha ujinga , Pepe alishapewa nafasi na hakufikia matarajio

Still Pepe ana uwezo mzuri kuliko Anthony wa €100m na Sancho wa €80m combined

Porojo zote unataka kumtetea 7hag eti Ni kocha Bora ,msimu wa 2 kapewa £400m timu hata kupiga pass 10 kwa usahihi haiwezi


Sasa hii timu ina kocha au tapeli ?

William Saliba hajapikwa na sampaoli , William Saliba kasajiliwa akiwa na miaka 18 , kaachwa kwa mkopo

Kasajiliwa na maskauti wa Arsenal kwa kuona talent yake


Talent Kama hizi ukimpa Ten egg anazipoteza maana uwezo mdogo


Piga porojo ,ukweli unabaki pale pale Eriki Seven hag Hana tofauti na David Moyes


Unachekesha unajifichia kwenye kichaka Mchezaji gan kapewa debut yupo first eleven

Hivi nikuulize 7hag anaweza develop talent yoyote ? Toka amefika kamdevelop Nani ?


Haya kawakuta wabovu ,vipi anaowasajili mbona afadhali ya aliowakuta


Hizi Talent ukimpa 7hag atakwambia wabovu apewe pesa asajili anaowataka


Anakuletea kina Weghost, mount , Malacia
20230830_074352.jpg
 
Acha ufala Gakpo alikuwa on fire kabla hata World Cup haitarajii kuanza na takwimu alishakuwa nazo za kutisha.
Mara Mia Gapko ,vipi Anthony alikuwa wapi had 7hag anaenda kutapeliwa €100m

Kocha Mwenye akili hawez sajili takataka hii kwa €100m

Kuanzia hapa nilithibitisha huyu kocha ni tapeli ,ndio maana had Sasa Hakuna mchezaji wa maana aliyemdevelop na anaowasajili ni average players au wazeee


Anawaletea Kukubela , baada ya mount
20230830_162426.jpg
 
Wewe pia ni loser jichekeshe kama shangingi tu mwisho wa siku sisi tusioeleweka na nyie mnaojikuta tayari level za Real Madrid tutakuwa tunaugulia maumivu
Wewe huna kocha ,timu msimu wa 2 hata kupiga pass 10 kwa usahihi haiwezi


Mnazidiwa had na Yanga ya Gamondi


Mnawaandama Graza ,wakati Kocha anasajili average players

Kocha Mwenye akili kweli unawezaje kumsajili mount eti acheze double 8

Anamsajili Hojlund kwa €85m mchezaji ana goli 9 tu Seria A mech 32


Baadae mnawaoma Graza hawafai
 
Huyu fala hamis77 anatutoa kwenye mijadala ya maana kwa kila sentensi yake kubeba neno 10Hag.
Hakuna anayewatoa kwa mijadala , humu mnadanganyana Sana

Humu waliibuka Hadi madalali wa Sheikh Jasim now wamekimbia

Graza family wanatupiwa matusi ,wakati mchawi Ni kocha tapeli Eriki Seven hag

Timu had Sasa haiwezi kupiga pass 10 kwa usahihi

Graza wanahusika vipi
20230830_223840.jpg
 
Yaani unalazimisha ujinga , Pepe alishapewa nafasi na hakufikia matarajio

Still Pepe ana uwezo mzuri kuliko Anthony wa €100m na Sancho wa €80m combined

Porojo zote unataka kumtetea 7hag eti Ni kocha Bora ,msimu wa 2 kapewa £400m timu hata kupiga pass 10 kwa usahihi haiwezi


Sasa hii timu ina kocha au tapeli ?

William Saliba hajapikwa na sampaoli , William Saliba kasajiliwa akiwa na miaka 18 , kaachwa kwa mkopo

Kasajiliwa na maskauti wa Arsenal kwa kuona talent yake


Talent Kama hizi ukimpa Ten egg anazipoteza maana uwezo mdogo


Piga porojo ,ukweli unabaki pale pale Eriki Seven hag Hana tofauti na David Moyes


Unachekesha unajifichia kwenye kichaka Mchezaji gan kapewa debut yupo first eleven

Hivi nikuulize 7hag anaweza develop talent yoyote ? Toka amefika kamdevelop Nani ?


Haya kawakuta wabovu ,vipi anaowasajili mbona afadhali ya aliowakuta


Hizi Talent ukimpa 7hag atakwambia wabovu apewe pesa asajili anaowataka


Anakuletea kina Weghost, mount , MalaciaView attachment 2734028
Talent ndio nn maana unaongea hiki kitu muda sana? Au kuna namna ss hatuangalii mpira sawa na ww
 
Another talent hiyo imepotea


Anayewadanganya pale Ajax ,7 hag alikuwa ana uwezo mkubwa wakupigwa viboko

Pale Ajax hata ukimpa timu Fred Felix minziro baba isaya atafanya vzr kwanza Ligi laini


Don van de beek huyu hapa , Seven hag alikuwa anatamba nae Ajax ,mbona kamshindwa hapo manjesta


7hag Ni kocha tapeli,anayejificha kwenye makelele ya Grazzer out

20230831_000533.jpg
 
Back
Top Bottom