Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu fala hamis77 anatutoa kwenye mijadala ya maana kwa kila sentensi yake kubeba neno 10Hag.
Hakuna anayewatoa kwa mijadala , humu mnadanganyana Sana

Humu waliibuka Hadi madalali wa Sheikh Jasim now wamekimbia

Graza family wanatupiwa matusi ,wakati mchawi Ni kocha tapeli Eriki Seven hag

Timu had Sasa haiwezi kupiga pass 10 kwa usahihi

Graza wanahusika vipi
20230830_223840.jpg
 
Yaani unalazimisha ujinga , Pepe alishapewa nafasi na hakufikia matarajio

Still Pepe ana uwezo mzuri kuliko Anthony wa €100m na Sancho wa €80m combined

Porojo zote unataka kumtetea 7hag eti Ni kocha Bora ,msimu wa 2 kapewa £400m timu hata kupiga pass 10 kwa usahihi haiwezi


Sasa hii timu ina kocha au tapeli ?

William Saliba hajapikwa na sampaoli , William Saliba kasajiliwa akiwa na miaka 18 , kaachwa kwa mkopo

Kasajiliwa na maskauti wa Arsenal kwa kuona talent yake


Talent Kama hizi ukimpa Ten egg anazipoteza maana uwezo mdogo


Piga porojo ,ukweli unabaki pale pale Eriki Seven hag Hana tofauti na David Moyes


Unachekesha unajifichia kwenye kichaka Mchezaji gan kapewa debut yupo first eleven

Hivi nikuulize 7hag anaweza develop talent yoyote ? Toka amefika kamdevelop Nani ?


Haya kawakuta wabovu ,vipi anaowasajili mbona afadhali ya aliowakuta


Hizi Talent ukimpa 7hag atakwambia wabovu apewe pesa asajili anaowataka


Anakuletea kina Weghost, mount , MalaciaView attachment 2734028
Talent ndio nn maana unaongea hiki kitu muda sana? Au kuna namna ss hatuangalii mpira sawa na ww
 
Another talent hiyo imepotea


Anayewadanganya pale Ajax ,7 hag alikuwa ana uwezo mkubwa wakupigwa viboko

Pale Ajax hata ukimpa timu Fred Felix minziro baba isaya atafanya vzr kwanza Ligi laini


Don van de beek huyu hapa , Seven hag alikuwa anatamba nae Ajax ,mbona kamshindwa hapo manjesta


7hag Ni kocha tapeli,anayejificha kwenye makelele ya Grazzer out

20230831_000533.jpg
 
Talent ndio nn maana unaongea hiki kitu muda sana? Au kuna namna ss hatuangalii mpira sawa na ww
Huenda mnaangalia matokeo

Humu humu mechi ya kwanza tu nilisema Anthony masebene mmepigwa ,

Leo nani anabisha Anthony hamjampigwa?


Mech ya manjesta vs Arsenal pale OT ,7hag anashinda 3-1 nilisema 7hag kwa mpira huu Ni kocha tapeli anayesubiria miujiza na form ya Rashford kuokota point

Soon mtaimba humu 7hag out

Mpira nimeanza kuuangalia miaka ya 90

Nyie mmepata fursa baada ya kuletewa majumba ya kubeti
 
Sawa mzee wa talent id huna baya..unajua vipaji vyote ulaya... mchambuzi makini.... formation zote unazijua sky sports tu hawajakuona
Mjibun huyo shabiki Lia Lia wa manjesta

Juzi Ambangile alihoji uwezo wa 7hag kule Twitter alishambuliwa na mashabiki oya oya wa manjesta
 






Fabrizio Romano

@FabrizioRomano

Manchester United preparing formal bid for Sofyan Amrabat, always been top target #MUFC
NO loan proposal sent to Fiorentina, just informal talks. Fiorentina could be open to loan but with obligation to buy based on conditions. Sofyan, waiting for Man Utd since June.

 
2019/20
2020/21
2021/22
2022/23
2023/24

Misimu 5 hiyo ya Arteta. Kazi ipi ya kuinua vipaji haijifichi? Lete majina ya wachezaji aliowa-promote Arteta kutoka Academy.

Ten Hag, kwanza timu imemfelisha kwa kutomletea 1st choice zake ila bado EtH hawezi kukwepa lawama.

Antony siyo usajili mbaya, tatizo lipo kwa watu wa juu kuchelewa kwao kufanya maamuzi ndiyo kumepelekea wakatoa €100m.

EtH anachonikera kwa sasa ni kutumia wachezaji walewale wanaomfelisha kila siku. Masuala ya hela hahusiki maana siyo anaye-negotiate.

Ila baada ya kutumia £400m nilitegemea tutakuwa bora dhidi ya mid-table teams matokeo yake sisi ndiyo tunacheza kama timu ya Championship.

Mimi sitaki tuwafunge Liverpool au City home & away. Nataka kuona angalau tukicheza mpira wa kueleweka na kuziadhibu timu kama Nott'm Forest ipasavyo. Wolves kucheza mpira ule Old Trafford haikubaliki. EtH inabidi timu yake ifanye sasa yale anayoyaimba kila siku, maneno yanekuwa mengi kuliko vitendo.
artets kama wenga tu miaka kibao epl kabeba mara tatu tu
 
Arsenal tumechoka maneno sasa tunataka kombe either EPL au UCL.... winners celebrate, losers explain, nyie no losers yaani hamis77 Unaongea kama losers na msimu ukiisha huna kombe, nyie ni timu ya maneno mko top kwa mdomo.... last season ETH ndio kaingia united na match 2 za kwanza alifungwa lkn alipambana timu ikashika nafasi ya tatu nyuma yako wewe mdomo mdomo fc, bora utulie ETH ana profile kubwa kuliko huyo baba yenu arteta na atafanikiwa kabla ya hyo arteta wenu....uzuri ETH alipofika alisema wapinzani wake wakubwa ni liverpool na man city, yeye hawafikirii timu za vipind km arsenal.
Liverpool tayari tumemzidi mafanikio season ya kwanza, saiv mdg mdg tunamfata man city huko huko juu, hizo style of playing au talent ID mtabaki nazo nyie mdomo mdomo fc sisi ni possession na makombe km Atletico Madrid au madrid yenyew.
Nyie hatuwafukirii na msimu ukiisha tutakuwa na mafanikio kuliko nyie, mimi binafsi naamini last season sisi united tumefanikiwa kuliko arsenal yako, nyie mna kombe la nafasi ya pili, style of playing na talent ID....sisi tuna makombe halisi la carabao, na finalize wa FA CUP.
 
hamis77 kuhusu hela ya usajili tajiri ananunua jeans 50,000 lkn masikin ananunua Jean's 18,000. Tusipangiane matumizi.
Last season ETH na united kama team tumefanikiwa kuliko team yako braza... style of playing au talent ID sio mafanikio ni character tu, but makombe ndio mafanikio, so sisi last season ni bora kuliko nyie na msimu huu ntakuacha kila kitu, we're cooking silently
 
ETH alisema style of playing na mengne mengi anayajua yeye atayaingiza taratibu lkn team ikiwa inapata matokeo.
Na alisema msimu wa tatu tumdai kombe kubwa EPL au UCL na tunaamini 100% coz wapinzani wakubwa EPL tushashusha mmoja bado man city tu, arsenal sio kikwazo tunaamini, sasa nyie arteta kawaahidi nini??
 
Arsenal tumechoka maneno sasa tunataka kombe either EPL au UCL.... winners celebrate, losers explain, nyie no losers yaani hamis77 Unaongea kama losers na msimu ukiisha huna kombe, nyie ni timu ya maneno mko top kwa mdomo.... last season ETH ndio kaingia united na match 2 za kwanza alifungwa lkn alipambana timu ikashika nafasi ya tatu nyuma yako wewe mdomo mdomo fc, bora utulie ETH ana profile kubwa kuliko huyo baba yenu arteta na atafanikiwa kabla ya hyo arteta wenu....uzuri ETH alipofika alisema wapinzani wake wakubwa ni liverpool na man city, yeye hawafikirii timu za vipind km arsenal.
Liverpool tayari tumemzidi mafanikio season ya kwanza, saiv mdg mdg tunamfata man city huko huko juu, hizo style of playing au talent ID mtabaki nazo nyie mdomo mdomo fc sisi ni possession na makombe km Atletico Madrid au madrid yenyew.
Nyie hatuwafukirii na msimu ukiisha tutakuwa na mafanikio kuliko nyie, mimi binafsi naamini last season sisi united tumefanikiwa kuliko arsenal yako, nyie mna kombe la nafasi ya pili, style of playing na talent ID....sisi tuna makombe halisi la carabao, na finalize wa FA CUP.
7hag hawez kufanikiwa manjesta Ni kocha wakawaida Sana

7hag kiumri ni kamzidi hata Pep ,lakin anacheza mpira mbovu mara 100 mgunda


Alipewa €250m awaletee Carabao ?
 
ETH alisema style of playing na mengne mengi anayajua yeye atayaingiza taratibu lkn team ikiwa inapata matokeo.
Na alisema msimu wa tatu tumdai kombe kubwa EPL au UCL na tunaamini 100% coz wapinzani wakubwa EPL tushashusha mmoja bado man city tu, arsenal sio kikwazo tunaamini, sasa nyie arteta kawaahidi nini??
Ayaingize taratibu wapi ,timu mpaka Sasa imeshatumia £400m hata pass 10 kwa usahihi haiwez kupiga ,wapinzani wenu Liverpool na city wakati wamempiga 7-0 na 6-2


Jumapili tutawafundisha mpira mwingi
 
Disrespected o legend Ronaldo

Disrespected club legend De Gea

Pretends to be ruthless but can’t get rid of Maguire because he’s Enlgish

Rashford has more power than him at the club

Spends huge amounts of money on mediocre players

After spending £400M+ the team still can’t play cohesive attractive football

Loses by 3+ goals too often

Fans should already be asking questions about this fraud but they won’t because they think he’s Pep Guardiola 2.0
20230830_223840.jpg
 
Spent all that time working with Pep & still modelled his style on Sam Alladyce.

A super Dutch David Moyes Erik 7 egg
 
Spent all that time working with Pep & still modelled his style on Sam Alladyce.

A super Dutch David Moyes Erik 7 egg
20230831_080312.jpg
 
Erik 7 Egg has already surpassed Jurgen Klopp's net spend...

This is only his second season at Man United

Ni muda muafaka 7hag adaiwe mataji makubwa

Haiwezekani timu mpaka Sasa haijulikani inacheza style gan

Timu inacheza kwa kubahatisha na kusubiri miujiza na huruma za marefa kuokota point

Hii haikubaliki hata kidogo

20230831_080842.jpg
 
Erik 7 Egg has already surpassed Jurgen Klopp's net spend...

This is only his second season at Man United

Ni muda muafaka 7hag adaiwe mataji makubwa

Haiwezekani timu mpaka Sasa haijulikani inacheza style gan

Timu inacheza kwa kubahatisha na kusubiri miujiza na huruma za marefa kuokota point

Hii haikubaliki hata kidogo

View attachment 2734223
We jamaa kila jukwaa upo na upo active kweli kweli,hongera sana
 
Back
Top Bottom