hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Ameuliza shabiki wa manjesta huko UK ,mjumbe hauwawi"Hujui mpira bro" hii kauli itakumbukwa kwenye hili jukwaa
Ameuliza shabiki wa manjesta huko UK ,mjumbe hauwawi"Hujui mpira bro" hii kauli itakumbukwa kwenye hili jukwaa
Hakuna anayewatoa kwa mijadala , humu mnadanganyana SanaHuyu fala hamis77 anatutoa kwenye mijadala ya maana kwa kila sentensi yake kubeba neno 10Hag.
Talent ndio nn maana unaongea hiki kitu muda sana? Au kuna namna ss hatuangalii mpira sawa na wwYaani unalazimisha ujinga , Pepe alishapewa nafasi na hakufikia matarajio
Still Pepe ana uwezo mzuri kuliko Anthony wa €100m na Sancho wa €80m combined
Porojo zote unataka kumtetea 7hag eti Ni kocha Bora ,msimu wa 2 kapewa £400m timu hata kupiga pass 10 kwa usahihi haiwezi
Sasa hii timu ina kocha au tapeli ?
William Saliba hajapikwa na sampaoli , William Saliba kasajiliwa akiwa na miaka 18 , kaachwa kwa mkopo
Kasajiliwa na maskauti wa Arsenal kwa kuona talent yake
Talent Kama hizi ukimpa Ten egg anazipoteza maana uwezo mdogo
Piga porojo ,ukweli unabaki pale pale Eriki Seven hag Hana tofauti na David Moyes
Unachekesha unajifichia kwenye kichaka Mchezaji gan kapewa debut yupo first eleven
Hivi nikuulize 7hag anaweza develop talent yoyote ? Toka amefika kamdevelop Nani ?
Haya kawakuta wabovu ,vipi anaowasajili mbona afadhali ya aliowakuta
Hizi Talent ukimpa 7hag atakwambia wabovu apewe pesa asajili anaowataka
Anakuletea kina Weghost, mount , MalaciaView attachment 2734028
Sawa mzee wa talent idAmeuliza shabiki wa manjesta huko UK ,mjumbe hauwawi

huna baya..unajua vipaji vyote ulaya... mchambuzi makini.... formation zote unazijua sky sports tu hawajakuonaHuenda mnaangalia matokeoTalent ndio nn maana unaongea hiki kitu muda sana? Au kuna namna ss hatuangalii mpira sawa na ww
Mjibun huyo shabiki Lia Lia wa manjestaSawa mzee wa talent idhuna baya..unajua vipaji vyote ulaya... mchambuzi makini.... formation zote unazijua sky sports tu hawajakuona
artets kama wenga tu miaka kibao epl kabeba mara tatu tu2019/20
2020/21
2021/22
2022/23
2023/24
Misimu 5 hiyo ya Arteta. Kazi ipi ya kuinua vipaji haijifichi? Lete majina ya wachezaji aliowa-promote Arteta kutoka Academy.
Ten Hag, kwanza timu imemfelisha kwa kutomletea 1st choice zake ila bado EtH hawezi kukwepa lawama.
Antony siyo usajili mbaya, tatizo lipo kwa watu wa juu kuchelewa kwao kufanya maamuzi ndiyo kumepelekea wakatoa €100m.
EtH anachonikera kwa sasa ni kutumia wachezaji walewale wanaomfelisha kila siku. Masuala ya hela hahusiki maana siyo anaye-negotiate.
Ila baada ya kutumia £400m nilitegemea tutakuwa bora dhidi ya mid-table teams matokeo yake sisi ndiyo tunacheza kama timu ya Championship.
Mimi sitaki tuwafunge Liverpool au City home & away. Nataka kuona angalau tukicheza mpira wa kueleweka na kuziadhibu timu kama Nott'm Forest ipasavyo. Wolves kucheza mpira ule Old Trafford haikubaliki. EtH inabidi timu yake ifanye sasa yale anayoyaimba kila siku, maneno yanekuwa mengi kuliko vitendo.
7hag hawez kufanikiwa manjesta Ni kocha wakawaida SanaArsenal tumechoka maneno sasa tunataka kombe either EPL au UCL.... winners celebrate, losers explain, nyie no losers yaani hamis77 Unaongea kama losers na msimu ukiisha huna kombe, nyie ni timu ya maneno mko top kwa mdomo.... last season ETH ndio kaingia united na match 2 za kwanza alifungwa lkn alipambana timu ikashika nafasi ya tatu nyuma yako wewe mdomo mdomo fc, bora utulie ETH ana profile kubwa kuliko huyo baba yenu arteta na atafanikiwa kabla ya hyo arteta wenu....uzuri ETH alipofika alisema wapinzani wake wakubwa ni liverpool na man city, yeye hawafikirii timu za vipind km arsenal.
Liverpool tayari tumemzidi mafanikio season ya kwanza, saiv mdg mdg tunamfata man city huko huko juu, hizo style of playing au talent ID mtabaki nazo nyie mdomo mdomo fc sisi ni possession na makombe km Atletico Madrid au madrid yenyew.
Nyie hatuwafukirii na msimu ukiisha tutakuwa na mafanikio kuliko nyie, mimi binafsi naamini last season sisi united tumefanikiwa kuliko arsenal yako, nyie mna kombe la nafasi ya pili, style of playing na talent ID....sisi tuna makombe halisi la carabao, na finalize wa FA CUP.
Ayaingize taratibu wapi ,timu mpaka Sasa imeshatumia £400m hata pass 10 kwa usahihi haiwez kupiga ,wapinzani wenu Liverpool na city wakati wamempiga 7-0 na 6-2ETH alisema style of playing na mengne mengi anayajua yeye atayaingiza taratibu lkn team ikiwa inapata matokeo.
Na alisema msimu wa tatu tumdai kombe kubwa EPL au UCL na tunaamini 100% coz wapinzani wakubwa EPL tushashusha mmoja bado man city tu, arsenal sio kikwazo tunaamini, sasa nyie arteta kawaahidi nini??









Tuonyeshe iyo tweet?Mjibun huyo shabiki Lia Lia wa manjesta
Juzi Ambangile alihoji uwezo wa 7hag kule Twitter alishambuliwa na mashabiki oya oya wa manjesta


We jamaa kila jukwaa upo na upo active kweli kweli,hongera sanaErik 7 Egg has already surpassed Jurgen Klopp's net spend...
This is only his second season at Man United
Ni muda muafaka 7hag adaiwe mataji makubwa
Haiwezekani timu mpaka Sasa haijulikani inacheza style gan
Timu inacheza kwa kubahatisha na kusubiri miujiza na huruma za marefa kuokota point
Hii haikubaliki hata kidogo
View attachment 2734223