Na hoja yako unajifichia alimpa Nan debut na yupo XI
Nimekupa mifano ya Pep na Klopp hapo city na Liverpool
Punguza Kuwa emotional! Pepe kasajiliwa Msimu alochukua ARTETA timu 2019, sasa Huo U-FLOP ulikuwa wakati wa Mchakato wa Usajili ama?? Saliba naye alisajiliwa Msimu huo huo na alibaki St. Ettienne kwa Mkopo, Yule kaja sukwa na JORGE SAMPAOLI Kuwa Player unayemwona LeoSaliba kamkuta ana miaka 18 yupo mkopo Nice
Pepe kamkuta ameshakuwa flop
Acha ufala Gakpo alikuwa on fire kabla hata World Cup haitarajii kuanza na takwimu alishakuwa nazo za kutisha.Hawa wachezaji wanaosajiliwa kutokana na viwango vya kombe la dunia huwa ni Matapeli sana mfano mzuri ni Weghorst na Gakpo
View attachment 2733824
Wewe pia ni loser jichekeshe kama shangingi tu mwisho wa siku sisi tusioeleweka na nyie mnaojikuta tayari level za Real Madrid tutakuwa tunaugulia maumivu7hag na mikopo
Weghorst,
Dubravka,
Sabitzer and
Butland on loans whilst now attempting to sign Amrabat or Gravenberch on loan in addition to Cucurella.
Halafu tunaambiwa anataka kupigania Ubingwa EPL
![]()
Bado hamjasemaJUST IN: Fiorentina have rejected #mufc's £2m loan bid for Sofyan Amrabat.
@TheAthleticFC
Sisi wanaume hatuogopi wake zetu nyie Gunners washika ukuta wa Londonhamis77 spana ulizopiga hizi nyumbu alafu ikatokea jpil wakatupiga itakua ni hatari
Mkuu naomba hizi spana ziendelee baada ya game ya jpil
Umeshawaumiza vya kutosha
Kitoabu ameamua ajikite huko migodini Malawi
Flano Kama kawaida yake tutamuona asubuhi au mchana, huyu jamaa sijui atakua mlinzi Sasa hivi yupo lindo?
allypipi mwamba anapost kwa kuvizia, Yan Kama boxing tayari ametupa kitaulo


Jpili sio mbaliSisi wanaume hatuogopi wake zetu nyie Gunners washika ukuta wa London![]()
"Hujui mpira bro" hii kauli itakumbukwa kwenye hili jukwaaSwali kwa wakereketwa wa A Dutch David Moyes Erik 7 hag
Limeulizwa na shabiki wa manjesta huko Uingereza
Serious question. Why have De Zerbi, Postecoglou and co managed to get the team playing a great style of football in such a short amount of time, but Ten Hag has us playing like Dyche’s Burnley?
Asno wengi na mashabiki zao wana matatizo ya Akilihamis7 anamuamini de zerbi km kocha bora sababu anacheza mpira km wao....MIMI hata uongee mwaka mzima huwez niaminisha arsenal ni timu tishio au arteta ni kocha bora kuliko ETH, nina akili na situmii mihemko kama huyu hamis.
Na huu ndo ukweli wengi wetu wanajaribu kuukataa kwa statistics.2019/20
2020/21
2021/22
2022/23
2023/24
Misimu 5 hiyo ya Arteta. Kazi ipi ya kuinua vipaji haijifichi? Lete majina ya wachezaji aliowa-promote Arteta kutoka Academy.
Ten Hag, kwanza timu imemfelisha kwa kutomletea 1st choice zake ila bado EtH hawezi kukwepa lawama.
Antony siyo usajili mbaya, tatizo lipo kwa watu wa juu kuchelewa kwao kufanya maamuzi ndiyo kumepelekea wakatoa €100m.
EtH anachonikera kwa sasa ni kutumia wachezaji walewale wanaomfelisha kila siku. Masuala ya hela hahusiki maana siyo anaye-negotiate.
Ila baada ya kutumia £400m nilitegemea tutakuwa bora dhidi ya mid-table teams matokeo yake sisi ndiyo tunacheza kama timu ya Championship.
Mimi sitaki tuwafunge Liverpool au City home & away. Nataka kuona angalau tukicheza mpira wa kueleweka na kuziadhibu timu kama Nott'm Forest ipasavyo. Wolves kucheza mpira ule Old Trafford haikubaliki. EtH inabidi timu yake ifanye sasa yale anayoyaimba kila siku, maneno yanekuwa mengi kuliko vitendo.
Yaani unalazimisha ujinga , Pepe alishapewa nafasi na hakufikia matarajioNarudia kwambia ukiona unatusi ujue hoja Zimekuishia. Career ya Klopp na Pep wana majina makubwa wametengeneza na mpaka leo yameishi kwenye mpira kwa maana hiyo hawana cha kuaminisha mtu kwamba wanaweza tengeneza Academy player kuwa World Star na ni wakati wanaanza Career zao za Ualimu! HUJANIPA JINA LOLOTE ARTETA KATENGENEZA toka ACADEMY msimu wa 5 Huu..
Punguza Kuwa emotional! Pepe kasajiliwa Msimu alochukua ARTETA timu 2019, sasa Huo U-FLOP ulikuwa wakati wa Mchakato wa Usajili ama?? Saliba naye alisajiliwa Msimu huo huo na alibaki St. Ettienne kwa Mkopo, Yule kaja sukwa na JORGE SAMPAOLI Kuwa Player unayemwona LeoARTETA Kamkuta NICE!! kumbe jamaa Arsenal yako still Huijui.
Kwa Hiyo kwa hoja ya Mwalimu lazima akamilishe Game 38 ndo aitwe mwalimu wa timu kwa msimu husika? Nilikupa Mfano Chelsea walimu walochukua UCL ni Di Matteo na TT na ndo inatambulika hivyo kama walimu wa hizo timu kwa Misimu husika.
Mara Mia Gapko ,vipi Anthony alikuwaAcha ufala Gakpo alikuwa on fire kabla hata World Cup haitarajii kuanza na takwimu alishakuwa nazo za kutisha.

wapi had 7hag anaenda kutapeliwa €100mWewe huna kocha ,timu msimu wa 2 hata kupiga pass 10 kwa usahihi haiweziWewe pia ni loser jichekeshe kama shangingi tu mwisho wa siku sisi tusioeleweka na nyie mnaojikuta tayari level za Real Madrid tutakuwa tunaugulia maumivu


Ameuliza shabiki wa manjesta huko UK ,mjumbe hauwawi"Hujui mpira bro" hii kauli itakumbukwa kwenye hili jukwaa
Hakuna anayewatoa kwa mijadala , humu mnadanganyana SanaHuyu fala hamis77 anatutoa kwenye mijadala ya maana kwa kila sentensi yake kubeba neno 10Hag.
Talent ndio nn maana unaongea hiki kitu muda sana? Au kuna namna ss hatuangalii mpira sawa na wwYaani unalazimisha ujinga , Pepe alishapewa nafasi na hakufikia matarajio
Still Pepe ana uwezo mzuri kuliko Anthony wa €100m na Sancho wa €80m combined
Porojo zote unataka kumtetea 7hag eti Ni kocha Bora ,msimu wa 2 kapewa £400m timu hata kupiga pass 10 kwa usahihi haiwezi
Sasa hii timu ina kocha au tapeli ?
William Saliba hajapikwa na sampaoli , William Saliba kasajiliwa akiwa na miaka 18 , kaachwa kwa mkopo
Kasajiliwa na maskauti wa Arsenal kwa kuona talent yake
Talent Kama hizi ukimpa Ten egg anazipoteza maana uwezo mdogo
Piga porojo ,ukweli unabaki pale pale Eriki Seven hag Hana tofauti na David Moyes
Unachekesha unajifichia kwenye kichaka Mchezaji gan kapewa debut yupo first eleven
Hivi nikuulize 7hag anaweza develop talent yoyote ? Toka amefika kamdevelop Nani ?
Haya kawakuta wabovu ,vipi anaowasajili mbona afadhali ya aliowakuta
Hizi Talent ukimpa 7hag atakwambia wabovu apewe pesa asajili anaowataka
Anakuletea kina Weghost, mount , MalaciaView attachment 2734028