Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unapoteza muda kumjibu huyu jamaa ?

Michango yake mingi inaendeshwa kwa hisia,,,, ana mihemuko ,,,,

Anaamini arteta ni bora kuliko kocha yeyote yule nje na ndani ya Europe,,,,

Anaamini arsenal ndo timu bora Duniani,,,na itashinda kila kombe,,, refer last season, kila kombe wakitolewa anajitetea tunaitaka EPL mwisho wa siku wameangukia pua,,,

Kingine ana husda na ETH , mbaya zaidi kwa Anthony sijui ni lile goal alilowafunga ,,,,

Wachezaji wengi wamenunuliwa more than 100 hawajadeliver vizuri kinyume na matarajio, refer coutihno, mudryk, big rom , n.k soon huyu rice anaweza akafeli,,, hilo linatokea pia

Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,

Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
Rice mpaka Sasa ameshaonesha hawez kufeli Arsenal

Halafu Arteta anahesabika ana mataji matatu had Sasa pamoja na kutumia pesa sawa na 7 egg ambaye mpaka Sasa hajulikan timu yake inachezaje
 
Unapoteza muda kumjibu huyu jamaa ?

Michango yake mingi inaendeshwa kwa hisia,,,, ana mihemuko ,,,,

Anaamini arteta ni bora kuliko kocha yeyote yule nje na ndani ya Europe,,,,

Anaamini arsenal ndo timu bora Duniani,,,na itashinda kila kombe,,, refer last season, kila kombe wakitolewa anajitetea tunaitaka EPL mwisho wa siku wameangukia pua,,,

Kingine ana husda na ETH , mbaya zaidi kwa Anthony sijui ni lile goal alilowafunga ,,,,

Wachezaji wengi wamenunuliwa more than 100 hawajadeliver vizuri kinyume na matarajio, refer coutihno, mudryk, big rom , n.k soon huyu rice anaweza akafeli,,, hilo linatokea pia

Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,

Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
Ukweli tutausema ,7hag ni tapeli


Kuhusu Anthony nilisema na Sasa mnaona aibu kukiri


Mimi huwa nikisema nasimamia ukweli hata Kama nabaki mwenyewe


Mlimtetea Anthony masebene, Sancho, leo mnaona aibu mmebaki ohoo alifunga goli
 
Arteta ana Sajili takribani 29.

Namkubali mkali ni Shabiki Mzuri, Ila atafurahia sana akianza angalia Mpira zaidi badala ya Timu! Jukwaa lao kuna changamoto ya kuaminishana kuhusu uwezo wa Arsenal ila hakuna asiyejua uchezaji wa Arsenal tangu wakati wa Wenger, Nilimuuliza kabla anitajie mafanikio makubwa ya Arteta ni yapi akashindwa na amesahau kuna wakati karibuni kwenye Game 14 Arteta alikuwa na D1 na W1 tu!

Kaja na hoja ya De Zerbi na Ange na Style za Uchezaji, Brighton, Spurs na UTD zinaanza season na malengo tofauti kabisa, ETH alitaka ku-instill style yake na kupata matokeo kwa wakati huo huo, Brighton na Brentford wakamkaribisha EPL, now ETH amejikita zaidi na matokeo na Mwalimu Pekee kachukua Points nyingi 2023 kumzidi ni Pep tu! Ila mkali wako Emotional sana, Kasahau Potter alikuwa na msimu mzuri Brighton lakini kufika Chelsea na Malengo ya timu hali ikawa tofauti kabisa
Unaongea vitu vingi huvijui ,kwanza Arsenal ya Arteta tofaut na ya Wenger ,Kuna similarities chache Sana, halafu Arteta alipitia hicho kipind lkin alikuwa na playing style huku akiwa bado hajapewa fund yakutosha ,had Sasa katumia around £450m


Vipi huyu 7hag had Sasa ametumia £400m lakin timu imejaa wazee na anasajili flop kila kukicha


Mnaaminishana ujinga tatizo ni Graza wakati ukweli tatizo ni 7hag


Graza ndio wamesajili kina Malacia, Anthony,Weghost, mount, Hojlund ,
 
Sambi lukonga
Nuno tavares kama sijakosea
A lots of player wamekuwa improved pale Arsenal

Swali huwa tunauliza huyu 7hag amemu improve Nani hapo manjesta

Haya ni wabovu ,mbona anaowasajili ni wabovu zaidi

20230830_074352.jpg
 
Anaweza asifike xmas kufuatana na demand ya ma bos

Arteta angefukuzwa zaman sana kama ma bos demand yao ingekuwa kubwa misimu 3 kashindwa kushika nafasi ya 4 nafikir unajua hilo uvumilivu wa ma bos na ubahili wao ndio unaowafanya leo mnamchambua mpira hapa


Halafu unamsema ten hag msimu wa kwanza tu timu ipo ulaya na hata takwimu za mech kushinda ndan ya ligi kuu uingereza kamzidi senior arteta

Hata hivyo bado sio timu ya uhakika arsenal ktk kuchukua mataj makubwa


Bado liverpool na man city zina nguvu sana hii inatokana na uzoefu wa makocha

Natamani sana timu yangu ingekuwa na kocha kama Jürgen Klopp msimu uliopita alikuwa na majeruhi wa kutosha bado alisimama na kushinda mech muhimu
Arteta afukuzwe wakati walimpa project na alihitaji kujenga timu ndan na nje ya uwanja

Kuanzia uongoz had wachezaji

7hag kapewa timu had Ina CR7

Kwasasa haijulikani inacheza Nini
 
Kitu msichokijua . Ni kwamba Arteta kaifanya arsenal kuwa timu ya tofaut kabisa ukilinganisha na miaka 15 iliyopita kulingana na makocha waliopita. Baada ya wenger wamepita makocha wangapi ambao wamedhindwa kufanya alichofanya arteta . Mafanikio ya arteta siyo kuwafunga pep na klop tu . Bali ni kuifanya aresenal kutoka level moja kwenda nyingine Kufanikiwa kwako hakulingani na mtu mwingine kuna mtu anawaza akiwa anapata elfu 2 kwa siku atakuwa amefanikiwa ikiwa alikuwa anapata 100 kwa siku . Kuna mtu anawaza akimiliki gari na nyumba atakuwa amefanikiwa japo lwa wakati huo amepanga na ana uwezo wa kulipia hata 250k kwa mwezi . Mafanikio hayafanani bali mafanikio ni kutoka level moja kwenda level nyingine juu
 
hamis7 anamuamini de zerbi km kocha bora sababu anacheza mpira km wao....MIMI hata uongee mwaka mzima huwez niaminisha arsenal ni timu tishio au arteta ni kocha bora kuliko ETH, nina akili na situmii mihemko kama huyu hamis.
El Tiger , Forgotten na wengne mnaojua ball kuliko sisi naomba mnisaidie style of playing ya Madrid???
De zerbi ni kocha wa kawaida sana msimpe sifa zisizo zake.
 
We jamaa Kumbe bado sana baadhi ya mambo! Usiwe na Michango Mingi kama Media za Bongo ambayo inakuwa kama Vijiwe vya kahawa vinavyopata Airtime.

Hizo thamani unazotaja kwa Mujibu wa Wanachuo toka CIES Obsevatory. Unaamini timu kama Madrid inaweza chukua Player Arsenal?? Nitajie Mmoja tu.

Mara nyingi ukianza kutusi ujue Hoja zimeisha. Unamweka KLOPP NA PEP kwenye mjadala wa Arteta!! Kifupi hawana na cha ku-Prove kuhusu Academy Players, Pep kawatoa Leo Messi, Busquet, Pedro, Pique, Alcantara to name a few ambao wote wamekuwa ni World Class, Klopp kawatoa Kina Goetze, Schmeltzer, Subotic, Bender and Co. na akaenda na timu mpaka Champions League Final. {Usimweke kabisa Arteta kwenye sentensi yoyote na kufanya comparison na hao Walimu wawili, Ishu ya Foden na TAA sio hoja kabisa mana hawana cha ku-prove, wameshamaliza walipokuwa.



Unashindwa kabisa tambua soko la wachezaji kila siku linabadilika? Kama unaamini Arteta anaweza chukua Players wa Pauni 40/50 kwa nini katoa 105 kwa Rice? Unaweza fananisha Misimu mitano nyuma na leo hii. Muulize Klopp juzi alikubali kuwa aliwahi kosea ku-comment kwenye gharama za Mchezaji. Kuwa Overpriced kwa mchezaji kawaida sana, Nyie Mna sakata la Pepe, Katika sajili zote za Dirisha hili unaweza nambia Player 1 mwenye thamani ya >100m?

Still hujajibu mchango wa Arteta na Academy yenu na Hili la Muda wa Arteta na Arsenal ni Season 5, Kama una jibu lingine niambie mwalimu wa Arsenal 19/20 alikuwa ni nani?

Chelsea wamepa Mkataba Di Matteo mwezi wa 3 baada ya Kumfuza AVB, Alienda mpaka kuchukua taji la Ligi ya Mabingwa, kwa rekodi mwalimu aliyeshinda taji la UCL na Chelsea ni Di Matteo 11/12 na TT 20/21 sasa kwa hoja yako walimu walokuwa before AVB na Lampard ndo watambulike kama walokuwa na timu kwa season husika!? Kuwa Serious mkali!
Umeandika utumbo mwingi Sana

Na hoja yako unajifichia alimpa Nan debut na yupo XI

Nimekupa mifano ya Pep na Klopp hapo city na Liverpool

Umedai sio level zake

Sasa Mikel Career yake inaanzia Arsenal na kazi aliyoifanya inaonekana


Nimekuuliza Kama ana misimu mitano ,kila msimu una mech 38 ,zidisha kwa misimu 5, nipe idadi ya mechi unaleta porojo


Porojo zote ni kutetea 7hag ,


Ukweli unabaki pale pale 7hag ni kocha wakawaida Sana


Hana tofaut na David Moyes au Tony pulis


Ndio Maana hata Sajili zake karibu zote anabahatisha tu


Kwasasa anamtaka Kukubela

Bado anafanya ubahatishaji
20230830_105042.jpg
 
hamis7 anamuamini de zerbi km kocha bora sababu anacheza mpira km wao....MIMI hata uongee mwaka mzima huwez niaminisha arsenal ni timu tishio au arteta ni kocha bora kuliko ETH, nina akili na situmii mihemko kama huyu hamis.
Sio sababu hiyo ,kocha mzuri unampima kuanzia sajili na ku impliment playing style


Mpaka leo na had anafukuzwa 7hag hata weka playing style,unajua kwanini ?


Ni kocha ambaye kwenye usajili tu anapuyanga


Ni sawa daktari kumfanyia operation ya kichwa mgonjwa wa miguu
 
hamis7 anamuamini de zerbi km kocha bora sababu anacheza mpira km wao....MIMI hata uongee mwaka mzima huwez niaminisha arsenal ni timu tishio au arteta ni kocha bora kuliko ETH, nina akili na situmii mihemko kama huyu hamis.

Ipo siku utakuja kukubali

Wenzio wanakubali ila kimya kimya

Ten egg hata kwa Unai Emery bado Sana

Nakupa hint ya kujua Ten egg ni kocha wakawaida Sana, alipomsajili Anthony kwa €100m mchezaji ambaye alikuwa anamjua Ajax , mchezaji ambaye hakuwa na impact yoyote ,bado akataka manjesta kwa gharama yoyote ,hii ilitosha kujua hapa kocha ni type ya kina David Moyes



Niliwahi waambia humu Ole gunar ana uwezo mkubwa kuliko a Dutch David Moyes Erik 7 hag
 
Sio sababu hiyo ,kocha mzuri unampima kuanzia sajili na ku impliment playing style


Mpaka leo na had anafukuzwa 7hag hata weka playing style,unajua kwanini ?


Ni kocha ambaye kwenye usajili tu anapuyanga


Ni sawa daktari kumfanyia operation ya kichwa mgonjwa wa miguu

Kamfukuze ten haag kaka
+44556543788 namba iyo apo technical director atakuelekeza
 
hamis7 anamuamini de zerbi km kocha bora sababu anacheza mpira km wao....MIMI hata uongee mwaka mzima huwez niaminisha arsenal ni timu tishio au arteta ni kocha bora kuliko ETH, nina akili na situmii mihemko kama huyu hamis.
Mkuu huu Ni ukweli mchungu ,7hag mnampamba humu tu ,kwasasa media zishashtuka Hana uwezo ni mbahatishaji tu


Msikikize Don Carlo


Carlo Ancelotti -

“There is no new coach that looks like me. I like those who bet heavily on the game, like Guardiola, De Zerbi or Arteta, as well as those who are capable of motivating the players, like Bordalás, whom I met and is very nice. I like the way he motivates the team”.

(@managingmadrid )

managingmadrid.com/2023/8/23/2384
 
Watu wanamchukulia de zerbi ni kocha mkubwa ... hapana ni kocha mzuri hatukatai lakini siyo wa kumweka kwenye level kubwa hvyo... bringhton haina hata pressure yoyot
 
Ndio wale waliokuwa wanasumbuliwa na fulam?
Fulham hajaisumbua Arsenal ,walifanikiwa kushikilia bomba , Fabio Vieira kaingia kucheza hiyo nafasi ya Xhaka kasababisha penalty Katoa assist

Mkuu Mimi nitawaambia ukweli siku zote ,7hag ni tapeli ,Graza mnawatwisha matatizo mengine hawahusiki

Arsenal angecheza Kama mlivyocheza na forest ,Arteta anafukuzwa kama Emery
 
Back
Top Bottom