radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Fulham hajaisumbua Arsenal ,walifanikiwa kushikilia bomba , Fabio Vieira kaingia kucheza hiyo nafasi ya Xhaka kasababisha penalty Katoa assist
Mkuu Mimi nitawaambia ukweli siku zote ,7hag ni tapeli ,Graza mnawatwisha matatizo mengine hawahusiki
Arsenal angecheza Kama mlivyocheza na forest ,Arteta anafukuzwa kama Emery
Upo sahihi

2023/24
goals
expected goals



Weghorst,