radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Pepe, jorginho au jesus ?? Maana wachezaji wako we huzungumzi arteta kawa improve nn?
Sambi lukonga
Nuno tavares kama sijakosea
Pepe, jorginho au jesus ?? Maana wachezaji wako we huzungumzi arteta kawa improve nn?
Unapoteza muda kumjibu huyu jamaa ?Mbona mkali unakuwaga na Michango mizuri sana ya Soka ila kwa ETH unakuwa kama unaendeshwa na Hisia zaidi! Kuna wakati huwa unasema De Zerbi asipewe timu kubwa sababu atatisha sana na Maneno mengine ya aina Hiyo. Ni Mwalimu Mzuri ila Unadhani kwa nini Timu kubwa Nyingi Italy wakati anaondoka Sassuolo hazikuwa na muda naye na nyingi kati yao hazikuwa na walimu wa uhakika?
Kila Mwalimu ni Bora kwa Style yake akipata Players anahitaji kuweka falsafa yake {Hakuna Mfumo Universal kwamba ndio Bora} Hata Sean Dyche angepewa World Class Players kwa Style yake kucheza na Ilokuwaga Burnley yake ingekuwa kazi jaribu kuwaza yeye anaamini katika Def Set-Up na Long Balls, awe na kina Pepe, LLoriente, Aduriz, Zlatan, Matic, Drogba, etc kwenye kila nafasi hamna ambae angetamani Game na timu yake.
Unazungumzia sana TALENT ID, Juzi umekwepa Swali langu na leo kauli yako inaonyesha uliliona ukakwepa, Wewe ni Arsenal Fan, ARTETA ameshasajili wachezaji 29 na kombe analo 1, ETH alisajili 4 akaweka Kombe 1 mezani CR7 kocha kamkataa, Auba, Ozil, Lacazette kesi hiyo hiyo. Unasema hana namna ya kuwaamini Academy Players, tuna Garnacho na kama sio Injury ungekuwa unamwona Mainoo akipata dakika.
Swali langu Narudia, NITAJIE ACADEMY PLAYER/S YEYOTE ALIYEAMINIWA ARTETA MNAE KWENYE KIKOSI NA KAPATA DEBUT TOKA KWA ARTETA? Nakukumbusha Arteta ana msimu wa 5 Arsenal.
Kutochukua ligi miaka 19 hakutajaacha matandabui kwenye kabati lao tu hadi brains za baadhi ya fans wa Gunners kama yeye zina matandabui.Unapoteza muda kumjibu huyu jamaa ?
Michango yake mingi inaendeshwa kwa hisia,,,, ana mihemuko ,,,,
Anaamini arteta ni bora kuliko kocha yeyote yule nje na ndani ya Europe,,,,
Anaamini arsenal ndo timu bora Duniani,,,na itashinda kila kombe,,, refer last season, kila kombe wakitolewa anajitetea tunaitaka EPL mwisho wa siku wameangukia pua,,,
Kingine ana husda na ETH , mbaya zaidi kwa Anthony sijui ni lile goal alilowafunga ,,,,
Wachezaji wengi wamenunuliwa more than 100 hawajadeliver vizuri kinyume na matarajio, refer coutihno, mudryk, big rom , n.k soon huyu rice anaweza akafeli,,, hilo linatokea pia
Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,
Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
Arteta ana Sajili takribani 29.Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,
Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
Rice mpaka Sasa ameshaonesha hawez kufeli ArsenalUnapoteza muda kumjibu huyu jamaa ?
Michango yake mingi inaendeshwa kwa hisia,,,, ana mihemuko ,,,,
Anaamini arteta ni bora kuliko kocha yeyote yule nje na ndani ya Europe,,,,
Anaamini arsenal ndo timu bora Duniani,,,na itashinda kila kombe,,, refer last season, kila kombe wakitolewa anajitetea tunaitaka EPL mwisho wa siku wameangukia pua,,,
Kingine ana husda na ETH , mbaya zaidi kwa Anthony sijui ni lile goal alilowafunga ,,,,
Wachezaji wengi wamenunuliwa more than 100 hawajadeliver vizuri kinyume na matarajio, refer coutihno, mudryk, big rom , n.k soon huyu rice anaweza akafeli,,, hilo linatokea pia
Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,
Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
Ukweli tutausema ,7hag ni tapeliUnapoteza muda kumjibu huyu jamaa ?
Michango yake mingi inaendeshwa kwa hisia,,,, ana mihemuko ,,,,
Anaamini arteta ni bora kuliko kocha yeyote yule nje na ndani ya Europe,,,,
Anaamini arsenal ndo timu bora Duniani,,,na itashinda kila kombe,,, refer last season, kila kombe wakitolewa anajitetea tunaitaka EPL mwisho wa siku wameangukia pua,,,
Kingine ana husda na ETH , mbaya zaidi kwa Anthony sijui ni lile goal alilowafunga ,,,,
Wachezaji wengi wamenunuliwa more than 100 hawajadeliver vizuri kinyume na matarajio, refer coutihno, mudryk, big rom , n.k soon huyu rice anaweza akafeli,,, hilo linatokea pia
Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,
Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
Unaongea vitu vingi huvijui ,kwanza Arsenal ya Arteta tofaut na ya Wenger ,Kuna similarities chache Sana, halafu Arteta alipitia hicho kipind lkin alikuwa na playing style huku akiwa bado hajapewa fund yakutosha ,had Sasa katumia around £450mArteta ana Sajili takribani 29.
Namkubali mkali ni Shabiki Mzuri, Ila atafurahia sana akianza angalia Mpira zaidi badala ya Timu! Jukwaa lao kuna changamoto ya kuaminishana kuhusu uwezo wa Arsenal ila hakuna asiyejua uchezaji wa Arsenal tangu wakati wa Wenger, Nilimuuliza kabla anitajie mafanikio makubwa ya Arteta ni yapi akashindwa na amesahau kuna wakati karibuni kwenye Game 14 Arteta alikuwa na D1 na W1 tu!
Kaja na hoja ya De Zerbi na Ange na Style za Uchezaji, Brighton, Spurs na UTD zinaanza season na malengo tofauti kabisa, ETH alitaka ku-instill style yake na kupata matokeo kwa wakati huo huo, Brighton na Brentford wakamkaribisha EPL, now ETH amejikita zaidi na matokeo na Mwalimu Pekee kachukua Points nyingi 2023 kumzidi ni Pep tu! Ila mkali wako Emotional sana, Kasahau Potter alikuwa na msimu mzuri Brighton lakini kufika Chelsea na Malengo ya timu hali ikawa tofauti kabisa
A lots of player wamekuwa improved pale ArsenalSambi lukonga
Nuno tavares kama sijakosea

Arteta afukuzwe wakati walimpa project na alihitaji kujenga timu ndan na nje ya uwanjaAnaweza asifike xmas kufuatana na demand ya ma bos
Arteta angefukuzwa zaman sana kama ma bos demand yao ingekuwa kubwa misimu 3 kashindwa kushika nafasi ya 4 nafikir unajua hilo uvumilivu wa ma bos na ubahili wao ndio unaowafanya leo mnamchambua mpira hapa
Halafu unamsema ten hag msimu wa kwanza tu timu ipo ulaya na hata takwimu za mech kushinda ndan ya ligi kuu uingereza kamzidi senior arteta
Hata hivyo bado sio timu ya uhakika arsenal ktk kuchukua mataj makubwa
Bado liverpool na man city zina nguvu sana hii inatokana na uzoefu wa makocha
Natamani sana timu yangu ingekuwa na kocha kama Jürgen Klopp msimu uliopita alikuwa na majeruhi wa kutosha bado alisimama na kushinda mech muhimu
Kwasasa hatuna Xhaka mkuu hiyo namba ya Xhaka ina watu Kama 5-6Hivi partey na xhaka wanapokosekana unaweza kumuona Martin Ødegaard?
De zerbi ni kocha wa kawaida sana msimpe sifa zisizo zake.hamis7 anamuamini de zerbi km kocha bora sababu anacheza mpira km wao....MIMI hata uongee mwaka mzima huwez niaminisha arsenal ni timu tishio au arteta ni kocha bora kuliko ETH, nina akili na situmii mihemko kama huyu hamis.
El Tiger , Forgotten na wengne mnaojua ball kuliko sisi naomba mnisaidie style of playing ya Madrid???
Umeandika utumbo mwingi SanaWe jamaa Kumbe bado sana baadhi ya mambo! Usiwe na Michango Mingi kama Media za Bongo ambayo inakuwa kama Vijiwe vya kahawa vinavyopata Airtime.
Hizo thamani unazotaja kwa Mujibu wa Wanachuo toka CIES Obsevatory. Unaamini timu kama Madrid inaweza chukua Player Arsenal?? Nitajie Mmoja tu.
Mara nyingi ukianza kutusi ujue Hoja zimeisha. Unamweka KLOPP NA PEP kwenye mjadala wa Arteta!! Kifupi hawana na cha ku-Prove kuhusu Academy Players, Pep kawatoa Leo Messi, Busquet, Pedro, Pique, Alcantara to name a few ambao wote wamekuwa ni World Class, Klopp kawatoa Kina Goetze, Schmeltzer, Subotic, Bender and Co. na akaenda na timu mpaka Champions League Final. {Usimweke kabisa Arteta kwenye sentensi yoyote na kufanya comparison na hao Walimu wawili, Ishu ya Foden na TAA sio hoja kabisa mana hawana cha ku-prove, wameshamaliza walipokuwa.
Unashindwa kabisa tambua soko la wachezaji kila siku linabadilika? Kama unaamini Arteta anaweza chukua Players wa Pauni 40/50 kwa nini katoa 105 kwa Rice? Unaweza fananisha Misimu mitano nyuma na leo hii. Muulize Klopp juzi alikubali kuwa aliwahi kosea ku-comment kwenye gharama za Mchezaji. Kuwa Overpriced kwa mchezaji kawaida sana, Nyie Mna sakata la Pepe, Katika sajili zote za Dirisha hili unaweza nambia Player 1 mwenye thamani ya >100m?
Still hujajibu mchango wa Arteta na Academy yenu na Hili la Muda wa Arteta na Arsenal ni Season 5, Kama una jibu lingine niambie mwalimu wa Arsenal 19/20 alikuwa ni nani?
Chelsea wamepa Mkataba Di Matteo mwezi wa 3 baada ya Kumfuza AVB, Alienda mpaka kuchukua taji la Ligi ya Mabingwa, kwa rekodi mwalimu aliyeshinda taji la UCL na Chelsea ni Di Matteo 11/12 na TT 20/21 sasa kwa hoja yako walimu walokuwa before AVB na Lampard ndo watambulike kama walokuwa na timu kwa season husika!? Kuwa Serious mkali!
Sio sababu hiyo ,kocha mzuri unampima kuanzia sajili na ku impliment playing stylehamis7 anamuamini de zerbi km kocha bora sababu anacheza mpira km wao....MIMI hata uongee mwaka mzima huwez niaminisha arsenal ni timu tishio au arteta ni kocha bora kuliko ETH, nina akili na situmii mihemko kama huyu hamis.
hamis7 anamuamini de zerbi km kocha bora sababu anacheza mpira km wao....MIMI hata uongee mwaka mzima huwez niaminisha arsenal ni timu tishio au arteta ni kocha bora kuliko ETH, nina akili na situmii mihemko kama huyu hamis.
Kwangu Mimi Di zerbi anajua SanaDe zerbi ni kocha wa kawaida sana msimpe sifa zisizo zake.
Kwasasa hatuna Xhaka mkuu hiyo namba ya Xhaka ina watu Kama 5-6
Sio sababu hiyo ,kocha mzuri unampima kuanzia sajili na ku impliment playing style
Mpaka leo na had anafukuzwa 7hag hata weka playing style,unajua kwanini ?
Ni kocha ambaye kwenye usajili tu anapuyanga
Ni sawa daktari kumfanyia operation ya kichwa mgonjwa wa miguu
De zerbi ni kocha wa kawaida sana msimpe sifa zisizo zake.