Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hifadhi maneno unajua vizuri mpira wetu. Butua-butua dk 90 tunaondoka na points 3.
Kwa Emirates hamna hiyo bahati ingekuwa OT sawa

Tutawapelekea Moto Sana na hivi no Degea mzee wa save after save

Upande wa kushoto ndio utatupa nafasi
 
Usiongee kishabiki ,Arteta Hana misimu mitano
Nashukuru kwa kurudi ila Usijibu kwa Hasira, Mi nilitegemea hoja toka kwako ambazo zinaambatana na mafanikio mliyoyapata {Cup Mbele ya Pep na Klopp {ulicheza fainali na yupi kati ya City na Liverpool?} kwa Hoja Pointi yako hata Brendan Rodgres kachukua Cup mbele ya Pep na Klopp, So is ETH!


Arteta kaajiriwa rasmi Arsenal DEC 2019, so mpka leo ni SEASON 5 { Njoo na hoja ya kupinga hili, Mana Kocha wa Arsenal msimu wa 19/20 ni Arteta sijui kwako ni nani}

STILL UNAKWEPA SWALI LANGU, NITAJIE ACADEMY PLAYER WA ARSENAL ALIEPEWA DEBUT NA ARTETA NA MNAE KWENYE KIKOSI?

Dah!
Eti kupandisha uwezo! We jamaa Mi Naheshimugi sana michango yako ukiwa unatoa unazi! Moyes unamchukulia Poa na ndo kamleta Arteta kwenye Ramani ya Mpira!! Moyes kampa Debut Wayne Rooney na timu yako Arsenal na akawaeka goli lake la kwanza na ni moja ya Wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea UTD, Arsenal hamna Level ya Mchezaji kariba la Rooney na Hamjawahi kuwa naye aliyepata mafanikio kama yake.

Mi Nilikuuliza Mafanikio ya Arteta kwa Season 5 ni yapi? Hukujibu hili, So achana nalo. Nijibu Hilo la Academy Players wenu walopewa nafasi na Kocha wako Forgotten na Bagabeach nao wali-quote kusikiliza jibu lako.
 
Na wewe unamuamini huyo jamaa anakwambia Arteta ana miaka mitano ,Arteta kaja Arsenal 2019 January ,Sasa had leo ni miaka mitano ?

Yaan unaburuzwa unakubali


Kina Saka , Smith Rowe,Saliba ,sio makinda pale Arsenal

Au unadhan aliwakuta hiv walivyo ?

Saka kamkuta Ni beki wa kushoto , Martinelli kamkuta miaka 18 anacheza Sana mech za academy ya Arsenal, sawa na Smith Rowe ,yeye ndiye kawapa jezi no.7,10, na 11

Uliza swali lingine
Mkuu wewe ni kisema unawazimu ndakuwa nakosea sisi tunazungumzia alio waibua kutoka academy kusema uelewi swali.
 
Mkuu wewe ni kisema unawazimu ndakuwa nakosea sisi tunazungumzia alio waibua kutoka academy kusema uelewi swali.
Nyie ndio mna wazimu aisee kwamba amtoe academy halafu amuweke nje nan bench ,

Yaan mwenzio kajikatia kakipande amtetee 7hag

Even Pep ana miaka 8 EPL ni mchezaji mmoja tu wa academy ndiye alimpandisha na yupo first eleven kwa kusuasua Foden

Klopp ana miaka 7 ni TAA tu ndiye amefanikiwa


Hoja kwa 7 hag why hawez kuwapandisha bas hata aliowakuta kuwaendeleza Zaid anasema hawaingii mfumo wake

Anaowasajili nao afadhali ya waliopo
 
Nashukuru kwa kurudi ila Usijibu kwa Hasira, Mi nilitegemea hoja toka kwako ambazo zinaambatana na mafanikio mliyoyapata {Cup Mbele ya Pep na Klopp {ulicheza fainali na yupi kati ya City na Liverpool?} kwa Hoja Pointi yako hata Brendan Rodgres kachukua Cup mbele ya Pep na Klopp, So is ETH!


Arteta kaajiriwa rasmi Arsenal DEC 2019, so mpka leo ni SEASON 5 { Njoo na hoja ya kupinga hili, Mana Kocha wa Arsenal msimu wa 19/20 ni Arteta sijui kwako ni nani}

STILL UNAKWEPA SWALI LANGU, NITAJIE ACADEMY PLAYER WA ARSENAL ALIEPEWA DEBUT NA ARTETA NA MNAE KWENYE KIKOSI?

Dah!
Eti kupandisha uwezo! We jamaa Mi Naheshimugi sana michango yako ukiwa unatoa unazi! Moyes unamchukulia Poa na ndo kamleta Arteta kwenye Ramani ya Mpira!! Moyes kampa Debut Wayne Rooney na timu yako Arsenal na akawaeka goli lake la kwanza na ni moja ya Wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea UTD, Arsenal hamna Level ya Mchezaji kariba la Rooney na Hamjawahi kuwa naye aliyepata mafanikio kama yake.

Mi Nilikuuliza Mafanikio ya Arteta kwa Season 5 ni yapi? Hukujibu hili, So achana nalo. Nijibu Hilo la Academy Players wenu walopewa nafasi na Kocha wako Forgotten na Bagabeach nao wali-quote kusikiliza jibu lako.
Yaan unakomalia ana misimu mitano unaweza kuweka hapa kila msimu una mechi 38 za ligi ,onesha hapa Arteta ana mechi 38×5 tuthibitishe kuwa ameiongoza Arsenal kwa misimu mitano

Halafu hoja yako mbona ya kipuuzi Sana

Arteta kakuta wachezaji wa academy ambao wameshapewa debut kwenye Carabao na Europa ,

Kawa develop had unawaona leo


Unakomalia aliyempa debut halafu awe first eleven ,mbona kigezo Cha kipumbavu Sana

Hata Pep ni Foden tu Tena sio first eleven,klopp ni TAA tu,

Hoja kwa 7hag naona unaikwepa na huwez kuijibu

Ni mchezaji gan kamkuta kamuongezea uwezo Zaid tunaona anadai ni wabovu na anaowasajili ni wabovu Zaid

Usimfanishe Arteta na 7hag kwenye swala la ku mdevelop mchezaji na hata kimbinu

Mikel ndiye kawatengeneza Martinelli,saka , Øde,Smith Rowe ,

Katumia £450m tu kuunda timu yenye thaman ya£1Billion


Wakat 7hag ametumia £400m timu imejaa wazee na haina playing style
 
Magwaya anarejea wakati muafaka


| Raphaël Varane could potentially be out for up to SIX weeks due to suffering an injury against Nottingham Forest.

Harry Maguire’s future could remain at Old Trafford due to the situation.

[via @SkyKaveh].
 
Usiongee kishabiki ,Arteta Hana misimu mitano ,

Kapewa timu 2019 January amalizie msimu kwakufukuzwa Unai Emery hakupewa hata 100 , akabeba FA. NA CS mbele ya Pep na Klopp

7hagg toka amekuja manjesta mchezaji gani kamdevelop ?

Why hata anaowasajili wamekuwa ovyo kuliko aliowakuta?

Mfano Anthony na Elanga au Pellistri

Weghost

Malacia

Mount

Timu Kama forest, wolves mta struggle Sana sababu moja tu ile ile naisema daily 7 hag uwezo wake mdogo

Ajax hata akienda mgunda atafanya vzr Tena anaweza mzidi 7hag

Ajax ,Celtic sio vipimo vya kumpata kocha Bora

Soon mtakubaliana na Mimi pamoja na kuwalaumu Grazzer, 7hag uwezo wake kimbinu ni mdogo
Kwa kuwarekebisha tu Arteta kapewa timu 2019 Dec ...
 
Kuna mtu anasema 7hag tumngoje Hadi apate wachezaji 11 wakwake

Tufanye simple mathematics

Kwa £400m had Sasa wachezaji wenye afadhali aliowasajili ni Lisandro na Onana


Means kwenye kila £400m 7hag anabahatisha wachezaji wenye afadhali wawili


Inahitajika

£400m anapata 2

Kwa 11 atatumia ngapi?

Anahitaji £2.2Billions apate anngalu first eleven,hapo hatujazungumzia Playing style,n.k

Huyu krismass anaweza asifike
 
Kwamba mtakuja na

Bisaka Lindelufu Shotii dalot


Dalot huyu amkabe Bukayo Anyonyika Temidayo saka?


Kiungo mnaweka Casemiro babu Eriksen babu na Buruno malalamiko

Wapambane na hii combinenga ya Zinny Rice Partey Ødegaard Fundi mmoja na nusu

Aisee


Nacheka Lakini naogopa
Dogo huwa unaongea sana kama mwanamke shangingi badae unakimbia majukwaa yote. Look very!
 
Kuna mtu anasema 7hag tumngoje Hadi apate wachezaji 11 wakwake

Tufanye simple mathematics

Kwa £400m had Sasa wachezaji wenye afadhali aliowasajili ni Lisandro na Onana


Means kwenye kila £400m 7hag anabahatisha wachezaji wenye afadhali wawili


Inahitajika

£400m anapata 2

Kwa 11 atatumia ngapi?

Anahitaji £2.2Billions apate anngalu first eleven,hapo hatujazungumzia Playing style,n.k

Huyu krismass anaweza asifike

Tumzungumzie kai haverts saiv au baadae??
 
Halafu hoja yako mbona ya kipuuzi Sana
Hata Pep ni Foden tu Tena sio first eleven,klopp ni TAA tu,
We jamaa Kumbe bado sana baadhi ya mambo! Usiwe na Michango Mingi kama Media za Bongo ambayo inakuwa kama Vijiwe vya kahawa vinavyopata Airtime.

Hizo thamani unazotaja kwa Mujibu wa Wanachuo toka CIES Obsevatory. Unaamini timu kama Madrid inaweza chukua Player Arsenal?? Nitajie Mmoja tu.

Mara nyingi ukianza kutusi ujue Hoja zimeisha. Unamweka KLOPP NA PEP kwenye mjadala wa Arteta!! Kifupi hawana na cha ku-Prove kuhusu Academy Players, Pep kawatoa Leo Messi, Busquet, Pedro, Pique, Alcantara to name a few ambao wote wamekuwa ni World Class, Klopp kawatoa Kina Goetze, Schmeltzer, Subotic, Bender and Co. na akaenda na timu mpaka Champions League Final. {Usimweke kabisa Arteta kwenye sentensi yoyote na kufanya comparison na hao Walimu wawili, Ishu ya Foden na TAA sio hoja kabisa mana hawana cha ku-prove, wameshamaliza walipokuwa.

Katumia £450m tu kuunda timu yenye thaman ya£1Billion

Unashindwa kabisa tambua soko la wachezaji kila siku linabadilika? Kama unaamini Arteta anaweza chukua Players wa Pauni 40/50 kwa nini katoa 105 kwa Rice? Unaweza fananisha Misimu mitano nyuma na leo hii. Muulize Klopp juzi alikubali kuwa aliwahi kosea ku-comment kwenye gharama za Mchezaji. Kuwa Overpriced kwa mchezaji kawaida sana, Nyie Mna sakata la Pepe, Katika sajili zote za Dirisha hili unaweza nambia Player 1 mwenye thamani ya >100m?

Still hujajibu mchango wa Arteta na Academy yenu na Hili la Muda wa Arteta na Arsenal ni Season 5, Kama una jibu lingine niambie mwalimu wa Arsenal 19/20 alikuwa ni nani?

Chelsea wamepa Mkataba Di Matteo mwezi wa 3 baada ya Kumfuza AVB, Alienda mpaka kuchukua taji la Ligi ya Mabingwa, kwa rekodi mwalimu aliyeshinda taji la UCL na Chelsea ni Di Matteo 11/12 na TT 20/21 sasa kwa hoja yako walimu walokuwa before AVB na Lampard ndo watambulike kama walokuwa na timu kwa season husika!? Kuwa Serious mkali!
 
Yaan unakomalia ana misimu mitano unaweza kuweka hapa kila msimu una mechi 38 za ligi ,onesha hapa Arteta ana mechi 38×5 tuthibitishe kuwa ameiongoza Arsenal kwa misimu mitano

Halafu hoja yako mbona ya kipuuzi Sana

Arteta kakuta wachezaji wa academy ambao wameshapewa debut kwenye Carabao na Europa ,

Kawa develop had unawaona leo


Unakomalia aliyempa debut halafu awe first eleven ,mbona kigezo Cha kipumbavu Sana

Hata Pep ni Foden tu Tena sio first eleven,klopp ni TAA tu,

Hoja kwa 7hag naona unaikwepa na huwez kuijibu

Ni mchezaji gan kamkuta kamuongezea uwezo Zaid tunaona anadai ni wabovu na anaowasajili ni wabovu Zaid

Usimfanishe Arteta na 7hag kwenye swala la ku mdevelop mchezaji na hata kimbinu

Mikel ndiye kawatengeneza Martinelli,saka , Øde,Smith Rowe ,

Katumia £450m tu kuunda timu yenye thaman ya£1Billion


Wakat 7hag ametumia £400m timu imejaa wazee na haina playing style

Hivi partey na xhaka wanapokosekana unaweza kumuona Martin Ødegaard?
 
Kuna mtu anasema 7hag tumngoje Hadi apate wachezaji 11 wakwake

Tufanye simple mathematics

Kwa £400m had Sasa wachezaji wenye afadhali aliowasajili ni Lisandro na Onana


Means kwenye kila £400m 7hag anabahatisha wachezaji wenye afadhali wawili


Inahitajika

£400m anapata 2

Kwa 11 atatumia ngapi?

Anahitaji £2.2Billions apate anngalu first eleven,hapo hatujazungumzia Playing style,n.k

Huyu krismass anaweza asifike

Anaweza asifike xmas kufuatana na demand ya ma bos

Arteta angefukuzwa zaman sana kama ma bos demand yao ingekuwa kubwa misimu 3 kashindwa kushika nafasi ya 4 nafikir unajua hilo uvumilivu wa ma bos na ubahili wao ndio unaowafanya leo mnamchambua mpira hapa


Halafu unamsema ten hag msimu wa kwanza tu timu ipo ulaya na hata takwimu za mech kushinda ndan ya ligi kuu uingereza kamzidi senior arteta

Hata hivyo bado sio timu ya uhakika arsenal ktk kuchukua mataj makubwa


Bado liverpool na man city zina nguvu sana hii inatokana na uzoefu wa makocha

Natamani sana timu yangu ingekuwa na kocha kama Jürgen Klopp msimu uliopita alikuwa na majeruhi wa kutosha bado alisimama na kushinda mech muhimu
 
Mbona mkali unakuwaga na Michango mizuri sana ya Soka ila kwa ETH unakuwa kama unaendeshwa na Hisia zaidi! Kuna wakati huwa unasema De Zerbi asipewe timu kubwa sababu atatisha sana na Maneno mengine ya aina Hiyo. Ni Mwalimu Mzuri ila Unadhani kwa nini Timu kubwa Nyingi Italy wakati anaondoka Sassuolo hazikuwa na muda naye na nyingi kati yao hazikuwa na walimu wa uhakika?

Kila Mwalimu ni Bora kwa Style yake akipata Players anahitaji kuweka falsafa yake {Hakuna Mfumo Universal kwamba ndio Bora} Hata Sean Dyche angepewa World Class Players kwa Style yake kucheza na Ilokuwaga Burnley yake ingekuwa kazi jaribu kuwaza yeye anaamini katika Def Set-Up na Long Balls, awe na kina Pepe, LLoriente, Aduriz, Zlatan, Matic, Drogba, etc kwenye kila nafasi hamna ambae angetamani Game na timu yake.

Unazungumzia sana TALENT ID, Juzi umekwepa Swali langu na leo kauli yako inaonyesha uliliona ukakwepa, Wewe ni Arsenal Fan, ARTETA ameshasajili wachezaji 29 na kombe analo 1, ETH alisajili 4 akaweka Kombe 1 mezani CR7 kocha kamkataa, Auba, Ozil, Lacazette kesi hiyo hiyo. Unasema hana namna ya kuwaamini Academy Players, tuna Garnacho na kama sio Injury ungekuwa unamwona Mainoo akipata dakika.

Swali langu Narudia, NITAJIE ACADEMY PLAYER/S YEYOTE ALIYEAMINIWA ARTETA MNAE KWENYE KIKOSI NA KAPATA DEBUT TOKA KWA ARTETA? Nakukumbusha Arteta ana msimu wa 5 Arsenal.
Unapoteza muda kumjibu huyu jamaa ?

Michango yake mingi inaendeshwa kwa hisia,,,, ana mihemuko ,,,,

Anaamini arteta ni bora kuliko kocha yeyote yule nje na ndani ya Europe,,,,

Anaamini arsenal ndo timu bora Duniani,,,na itashinda kila kombe,,, refer last season, kila kombe wakitolewa anajitetea tunaitaka EPL mwisho wa siku wameangukia pua,,,

Kingine ana husda na ETH , mbaya zaidi kwa Anthony sijui ni lile goal alilowafunga ,,,,

Wachezaji wengi wamenunuliwa more than 100 hawajadeliver vizuri kinyume na matarajio, refer coutihno, mudryk, big rom , n.k soon huyu rice anaweza akafeli,,, hilo linatokea pia

Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,

Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
 
Unapoteza muda kumjibu huyu jamaa ?

Michango yake mingi inaendeshwa kwa hisia,,,, ana mihemuko ,,,,

Anaamini arteta ni bora kuliko kocha yeyote yule nje na ndani ya Europe,,,,

Anaamini arsenal ndo timu bora Duniani,,,na itashinda kila kombe,,, refer last season, kila kombe wakitolewa anajitetea tunaitaka EPL mwisho wa siku wameangukia pua,,,

Kingine ana husda na ETH , mbaya zaidi kwa Anthony sijui ni lile goal alilowafunga ,,,,

Wachezaji wengi wamenunuliwa more than 100 hawajadeliver vizuri kinyume na matarajio, refer coutihno, mudryk, big rom , n.k soon huyu rice anaweza akafeli,,, hilo linatokea pia

Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,

Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
Kutochukua ligi miaka 19 hakutajaacha matandabui kwenye kabati lao tu hadi brains za baadhi ya fans wa Gunners kama yeye zina matandabui.
 
Arsenal Chini ya Mikel wamesajili more than 20 players, wana kombe moja, husikii akizungumzia mahali,,,,

Kama umejikita kwenye uchambuz usiwe biased, ama la enjoy football tulia Acha ngebe,,,,
Arteta ana Sajili takribani 29.

Namkubali mkali ni Shabiki Mzuri, Ila atafurahia sana akianza angalia Mpira zaidi badala ya Timu! Jukwaa lao kuna changamoto ya kuaminishana kuhusu uwezo wa Arsenal ila hakuna asiyejua uchezaji wa Arsenal tangu wakati wa Wenger, Nilimuuliza kabla anitajie mafanikio makubwa ya Arteta ni yapi akashindwa na amesahau kuna wakati karibuni kwenye Game 14 Arteta alikuwa na D1 na W1 tu!

Kaja na hoja ya De Zerbi na Ange na Style za Uchezaji, Brighton, Spurs na UTD zinaanza season na malengo tofauti kabisa, ETH alitaka ku-instill style yake na kupata matokeo kwa wakati huo huo, Brighton na Brentford wakamkaribisha EPL, now ETH amejikita zaidi na matokeo na Mwalimu Pekee kachukua Points nyingi 2023 kumzidi ni Pep tu! Ila mkali wako Emotional sana, Kasahau Potter alikuwa na msimu mzuri Brighton lakini kufika Chelsea na Malengo ya timu hali ikawa tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom