Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna wachambuzi uchwara humu wao kila kukicha ni kumponda Antony sijui huwa wanakula maharage gani. Tumeona hapa baada ya Antony kutoka uwanja umeinama na tumefanyiwa msako wa hatari mpaka tukawa tunamlaumu refa amalize mpira wakati Forest wao wanakadi nyekundu.

Kimpira sikatai Antony anamakosa yake lakini sio makubwa kama yanavyokuzwa, huwezi fananisha Anton na Sancho, Rashford na Martial. Antony kapiga cross za maana leo straiker wakufunga hakuna.
Nitakuwa wa mwisho kuamini Antony ni mbovu mpaka pale nitakapomuona akicheza na straiker mwenye kujielewa.
 
Kuna wachambuzi uchwara humu wao kila kukicha ni kumponda Antony sijui huwa wanakula maharage gani. Tumeona hapa baada ya Antony kutoka uwanja umeinama na tumefanyiwa msako wa hatari mpaka tukawa tunamlaumu refa amalize mpira wakati Forest wao wanakadi nyekundu.

Kimpira sikatai Antony anamakosa yake lakini sio makubwa kama yanavyokuzwa, huwezi fananisha Anton na Sancho, Rashford na Martial. Antony kapiga cross za maana leo straiker wakufunga hakuna.
Nitakuwa wa mwisho kuamini Antony ni mbovu mpaka pale nitakapomuona akicheza na straiker mwenye kujielewa.

Hua nawaambia hapa wanavyo lalamika antony antony sijui hua hawaoni kina Rashfd wanafanya nn
Mm antony hua naona kule mbele ndo anapambana kasoro yake mguu mmoja tu
 
Kuna wachambuzi uchwara humu wao kila kukicha ni kumponda Antony sijui huwa wanakula maharage gani. Tumeona hapa baada ya Antony kutoka uwanja umeinama na tumefanyiwa msako wa hatari mpaka tukawa tunamlaumu refa amalize mpira wakati Forest wao wanakadi nyekundu.

Kimpira sikatai Antony anamakosa yake lakini sio makubwa kama yanavyokuzwa, huwezi fananisha Anton na Sancho, Rashford na Martial. Antony kapiga cross za maana leo straiker wakufunga hakuna.
Nitakuwa wa mwisho kuamini Antony ni mbovu mpaka pale nitakapomuona akicheza na straiker mwenye kujielewa.
Wanaomkataa Antony Mi Mwenyewe Huwa Nawashangaa Sana..
 
Hua nawaambia hapa wanavyo lalamika antony antony sijui hua hawaoni kina Rashfd wanafanya nn
Mm antony hua naona kule mbele ndo anapambana kasoro yake mguu mmoja tu
Na hiyo weakness ndio inatuangusha huo mguu mmoja huwa unafanya anaua mashambulizi mengi sana.

Siwezi kumdai magoli mimi nahitaji assists kwa sana aache ubinafsi
 
Wanaomkataa Antony Mi Mwenyewe Huwa Nawashangaa Sana..
Wengi wao huwa ni wafuata mkumbo tu Antony ni typically Man utd player, anayo fighting spirit ambacho ndicho kigezo kikubwa cha wachezaji wa united kitu ambacho Rashford, Sancho na Martial hawana.

Ukifuatilia sajili zote za Ten hag amesajili watu fighter na wabishi wabishi yaani aggressive pale wabapokuwa na mpira, Anzia Mallacia, Antony, Casemiro, Matinez, Mount na sasa Hodjlund. Kinachomkwamisha kwa sasa ni kuwachanganya vijana aliyewasajili na hawa wavivu kina Rashford hapa atakwenda kuanguka, ni lazima aangalie namna ya kucheza bila hawa wavuvi ikiwezekana wawe wanatokea benchi wakati biashara imeshaisha.

Sasa wanakuja wachambuzi uchwara humu wanajaza server ukisoma uchambuzi wao unaishia kusikitika tu na kujiuliza hivi hawa wanaangaliaga mpira kwel?
 
Back
Top Bottom