Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukisoma statement ya Richard Arnold utagundua Greenwood hajatendewa haki na timu imesikiliza kelele za feminists kufanya maamuzi.

"While we were unable to access certain evidence for reasons we respect, the evidence we did collate led us to conclude that Mason did not commit the acts he was charged with.

Although we have decided that Mason will seek to rebuild his career away from Manchester United, that does not signal the end of this matter. The club will continue to offer its support both to the alleged victim and Mason to help them rebuild and move forward positively with their lives."
Manchester United + ETH walitaka kumrudisha Greenwood but kulikuwa na pressure kubwa kuanzia kwa sponsors, wanasiasa,football pundit ,member wa timu ya wanawake na baadhi ya staff wa klabu walitishia kuandamana/kuacha kazi
 
Kwa maamuzi haya dhidi ya Greenwood na msukumo uliotolewa na watu wa nje inahitimisha ukweli kwamba Man Utd inaendeshwa kukidhi matakwa ya kibiashara kwa asilimia kubwa na uwanjani ni ilimradi wasishuke daraja tu.

Angalia zile sajili za kibiashara zaidi kuliko ubora uwanjani, ndio maana hakuna watu wa mpira baada ya Fergie zaidi ya bankers kwenye nafasi adhimu. Fikiria Fletcher ndiye Technical figure kwa klabu kubwa kama Utd tena ikiwa katika hali ya kuchechemea!
 
Nyie FEMINIST FC vipi mko poa?
Yote haya wakulaumiwa ni nyinyi Chelkenge, Mliilaghai bodi ya Utd kua Mason ni Mason tu, mkituuzia Mason Mount tutakua tumeziba pengo la Mason Greenwood kwa kua wote ni Masons.
Mimi baada ya kununuliwa Mason Manati nilihisi tu Mason Greenwood lazima atatolewa kafara.
1692638200452.jpg
 
Sawa mkuu, kizuri ni kuwa striker tumesajili na soon atacheza, basi tutakutana hapa hapa na hizi data.
Nakuhakikishia kaka streiker ataanza ni vijana kama Pelistri, Garnacho au Hamad tutafunga saana ila wakianza hawa wakina Rasford, Sancho na Antony tatizo linaweza kuwa pale pale.
Siku imemalizika vibaya kwangu hii hizi habari za Greenwood kuachwa zimenimaliza nguvu kabisa.

Nilikuwa nina matarajio kwake akija kutulia but feminists ndio wamekuwa na nguvu kuliko klabu yetu ya kisenge,Wanawake ni vikwazo kwa vitu vingi Duniani.

Tumepoteza kipaji kikubwa huku tunabaki na mcheza sebene Antony


Kila la kheri kwa klabu itayothamini kipaji cha Greenwood na haitajutia kumchukua na majuto yatarudi kwetu baadae.
 
Rasmi nahama timu ya manchester kutokana na uchoko unao endelea kwanza menejimenti mbovu ya club, uchoko wa wachezaji, mfululizo mbovu wa matokeo na kilichonikwaza zaid ni hili la greenwood..
Maamuz ya ovyo timu wachezaj haina af mnaruhusu mchezaj aondoke kisa mambo ya kisimbe
 
Mpaka muda huu Instagram official a/c ya Manchester United wameogopa kupost issue ya Greenwood, mashabiki wamechafukwa kila upande wa dunia ni wanatapika nyongo kwelikweli.
Natabiri hili suala la Greenwood rasmi litaanzisha movement za migomo na maandamano ya kuwalazimisha Glazers wauze timu kwa nguvu.
 
Mpaka muda huu Instagram official a/c ya Manchester United wameogopa kupost issue ya Greenwood, mashabiki wamechafukwa kila upande wa dunia ni wanatapika nyongo kwelikweli.
Natabiri hili suala la Greenwood rasmi litaanzisha movement za mgomo na maandamano ya kuwalazimisha Glazers wauze timu kwa nguvu.
Kwakweli na iwe hivyo tu. Nmetibuka nyongo hapa kinomanomaaa
 
Mpaka muda huu Instagram official a/c ya Manchester United wameogopa kupost issue ya Greenwood, mashabiki wamechafukwa kila upande wa dunia ni wanatapika nyongo kwelikweli.
Natabiri hili suala la Greenwood rasmi litaanzisha movement za migomo na maandamano ya kuwalazimisha Glazers wauze timu kwa nguvu.
Asa Glazzers wanahusikaje hapo jamani.. yani mkifungwa mechi moja tu ndo mnakumbuka timu iuzwe. Hapo imeingia ishu ya Greenwood na nyie ndo mnaingizia humo humo.


Hebu iacheni familia ya watu ienjoy maokoto.

Kama pesa kipara kapewa akaenda kununua mchezaji majeruhi.
 
Sina hamu na utd hii timu sijui nani kailaani yaani Dunia nzima inaangaika kupata streiker ambaye akipata 4 chances anascore tatu, akipiga shoot ni kamba halafu leo wanamuacha kwa ajili ya kuwaridhisha wachezaji wa kike.

Yaani wanabaki na magarasha kina Rashford kiukweli tahamia timu atakayoenda huyu dogo. Huwezi achia hazina ya magoli kama hii wakati mahakama imemkuta hana hatia na mwanamke aliyemtuhumu washazaa naye. Natabiri mwisho mbaya wa hili litimu. Wao wanashindwa kuheshimu haki za binadamu na mahakama halafu kila siku wanatoforce sisi tuheshimu.
 
Asa Glazzers wanahusikaje hapo jamani.. yani mkifungwa mechi moja tu ndo mnakumbuka timu iuzwe.

Hebu iacheni familia ya watu ienjoy maokoto.

Kama pesa kipara kapewa akaenda kununua mchezaji majeruhi.
Pesa ya usajili haitoki kwenye mifuko ya Glazers, hii familia imekua ni kama kupe kwenye kunyonya mapato ya timu bila ya kua na mikakati yoyote ya kuboresha timu yetu.
Hili suala la Greenwood ni haohao Glazers ndio wameilazimisha bodi ya United kuachana nae ili kulinda maslahi yao binafsi kutoka kwa wadhamini walioingia mikataba na Man Utd.
 
Asa Glazzers wanahusikaje hapo jamani.. yani mkifungwa mechi moja tu ndo mnakumbuka timu iuzwe. Hapo imeingia ishu ya Greenwood na nyie ndo mnaingizia humo humo.


Hebu iacheni familia ya watu ienjoy maokoto.

Kama pesa kipara kapewa akaenda kununua mchezaji majeruhi.
Note:Glazers Out imeanza tangu timu ikiwa on fire miaka ya 2008 huko na ishu sio pesa ya usajili.

Ishu ni uongozi wa kisenge kama alivyowachana CR7 kuwa hawajali kuhusu klabu wapo kibishara na hizo pesa huwa wanatoa kupunguza kelele tena hazitoki katika investment yao
 
Back
Top Bottom