christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,199
- 5,132
Sina hamu na utd hii timu sijui nani kailaani yaani Dunia nzima inaangaika kupata streiker ambaye akipata 4 chances anascore tatu, akipiga shoot ni kamba halafu leo wanamuacha kwa ajili ya kuwaridhisha wachezaji wa kike.
Yaani wanabaki na magarasha kina Rashford kiukweli tahamia timu atakayoenda huyu dogo. Huwezi achia hazina ya magoli kama hii wakati mahakama imemkuta hana hatia na mwanamke aliyemtuhumu washazaa naye. Natabiri mwisho mbaya wa hili litimu. Wao wanashindwa kuheshimu haki za binadamu na mahakama halafu kila siku wanatoforce sisi tuheshimu.
Yaani wanabaki na magarasha kina Rashford kiukweli tahamia timu atakayoenda huyu dogo. Huwezi achia hazina ya magoli kama hii wakati mahakama imemkuta hana hatia na mwanamke aliyemtuhumu washazaa naye. Natabiri mwisho mbaya wa hili litimu. Wao wanashindwa kuheshimu haki za binadamu na mahakama halafu kila siku wanatoforce sisi tuheshimu.

