Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sina hamu na utd hii timu sijui nani kailaani yaani Dunia nzima inaangaika kupata streiker ambaye akipata 4 chances anascore tatu, akipiga shoot ni kamba halafu leo wanamuacha kwa ajili ya kuwaridhisha wachezaji wa kike.

Yaani wanabaki na magarasha kina Rashford kiukweli tahamia timu atakayoenda huyu dogo. Huwezi achia hazina ya magoli kama hii wakati mahakama imemkuta hana hatia na mwanamke aliyemtuhumu washazaa naye. Natabiri mwisho mbaya wa hili litimu. Wao wanashindwa kuheshimu haki za binadamu na mahakama halafu kila siku wanatoforce sisi tuheshimu.
 
Asa Glazzers wanahusikaje hapo jamani.. yani mkifungwa mechi moja tu ndo mnakumbuka timu iuzwe.

Hebu iacheni familia ya watu ienjoy maokoto.

Kama pesa kipara kapewa akaenda kununua mchezaji majeruhi.
Pesa ya usajili haitoki kwenye mifuko ya Glazers, hii familia imekua ni kama kupe kwenye kunyonya mapato ya timu bila ya kua na mikakati yoyote ya kuboresha timu yetu.
Hili suala la Greenwood ni haohao Glazers ndio wameilazimisha bodi ya United kuachana nae ili kulinda maslahi yao binafsi kutoka kwa wadhamini walioingia mikataba na Man Utd.
 
Asa Glazzers wanahusikaje hapo jamani.. yani mkifungwa mechi moja tu ndo mnakumbuka timu iuzwe. Hapo imeingia ishu ya Greenwood na nyie ndo mnaingizia humo humo.


Hebu iacheni familia ya watu ienjoy maokoto.

Kama pesa kipara kapewa akaenda kununua mchezaji majeruhi.
Note:Glazers Out imeanza tangu timu ikiwa on fire miaka ya 2008 huko na ishu sio pesa ya usajili.

Ishu ni uongozi wa kisenge kama alivyowachana CR7 kuwa hawajali kuhusu klabu wapo kibishara na hizo pesa huwa wanatoa kupunguza kelele tena hazitoki katika investment yao
 
Casemiro

30+ age

€70m

Kwasasa kukimbia imekuwa mzigo kwake

Mpaka Sasa 7hag Ten egg sajili zake bora ni Martinez na Onana, kuzingatia umri , uwezo ,

Ametumia €400m
20230822_072007.jpg
 
Hili suala la Greenwood bodi ya United itajutia sana, ni bora wangelinyamazia tu wakamtoa kwa mkopo kimyakimya.
Hili suala linaenda kuwaamsha mashabiki wa United kudai timu yao toka kwenye mikono ya kinyonyaji ya familia ya Glazers.
Kitu msichojua ni kwamba wanawake wanasujudiwa sana ulaya ukionesha kitendo cha unyanyasaji au ubaki basi ujue umeenda na maji kule wana sheria kali sana

Huyu Greenwood kiufupi kashapotea kwenye ramani ya soka maana ameshaharibu cv yake kupata timu ulaya ni ngumu labda aende uarabuni hakuna mashabiki wa Man utd kule ulaya atakayepiga kelele zaidi ya sisi huku Africa
 
Casemiro

30+ age

€70m

Kwasasa kukimbia imekuwa mzigo kwake

Mpaka Sasa 7hag Ten egg sajili zake bora ni Martinez na Onana, kuzingatia umri , uwezo ,

Ametumia €400mView attachment 2724936
Kwa hio leo Onana imekua ni usajili bora?
Baada ya kusajiliwa si ulikua unamponda na kuwadanganya watu humu kua Onana kwa Epl ni shati bora hata ya Dagaa (De gea)
Masingeli kua basi na msimamo ndugu yangu, mbona una yumbayumba kama vile uko kwenye mtumbwi?
 
Kitu msichokijua ilianza women nyumbu United kabla ya man nyumbu United
Hii timu misingi yake ni yakike

Pisi Kali zote huwaambii kitu na hii timu yao

Wenye timu walio wengi ndio wameamua na maboss wamewqsikiliza

Dadas Fc
 
Kitu msichokijua ilianza women nyumbu United kabla ya man nyumbu United
Hii timu misingi yake ni yakike

Pisi Kali zote huwaambii kitu na hii timu yao

Wenye timu walio wengi ndio wameamua na maboss wamewqsikiliza

Dadas Fc
 
Casemiro

30+ age

€70m

Kwasasa kukimbia imekuwa mzigo kwake

Mpaka Sasa 7hag Ten egg sajili zake bora ni Martinez na Onana, kuzingatia umri , uwezo ,

Ametumia €400mView attachment 2724936
Huyo Casemiro haikuwa sajili yake ilikuwa ni ya kutuliza hasira za mashabiki.

Ndio maana mwanzo hakumuamini alikuwa hamuanzishi

Naanza kukiri jamaa kashuka
 
Nadhani licha ya uzembe wake Richard Arnold ila hili suala la Greenwood limemuumiza that's why anataka kujiuzulu.
Last week habari zilisema amewaambia watu wa klabuni wajiandae kumpokea tena kijana pia katika barua yake jana kathibitisha kijana hakuwa na tatizo.

Huenda ni orders toka juu ambako wapo kibiashara zimebadili upepo.

I think wale wazee nao watakutana na mabango na protests za Glazers Out game ya jumamosi Old Trafford.

Mashabiki wamekuwa dissapointed na hili suala kuliko hata kipigo cha weekend
 
Nadhani licha ya uzembe wake Richard Arnold ila hili suala la Greenwood limemuumiza that's why anataka kujiuzulu.
Last week habari zilisema amewaambia watu wa klabuni wajiandae kumpokea tena kijana pia katika barua yake jana kathibitisha kijana hakuwa na tatizo.

Huenda ni orders toka juu ambako wapo kibiashara zimebadili upepo.

I think wale wazee nao watakutana na mabango na protests za Glazers Out game ya jumamosi Old Trafford.

Mashabiki wamekuwa dissapointed na hili suala kuliko hata kipigo cha weekend
Kwenye Instagram official A/c ya Manchester United, mpaka muda huu wameogopa kupost ishu ya Greenwood, ila kila wanacho post watu wamechafukwa comments zote ni mwendo wa kutema nyongo tu kuhusu Greenwood.



#Glazers out
#Arnold out
#Mourtogh out
 
Casemiro

30+ age

€70m

Kwasasa kukimbia imekuwa mzigo kwake

Mpaka Sasa 7hag Ten egg sajili zake bora ni Martinez na Onana, kuzingatia umri , uwezo ,

Ametumia €400mView attachment 2724936
Sijui kwanini mchezaji wa Manchester United akizingua kidogo agenda inakuwa kubwa sana kwake.

Takwimu za rice vs casemiro msimu huu.

PL: Casemiro v Rice Defending Comparison.

Casemiro v Rice

Blocks 3-2
Tackles: 5-4
Clearances: 7-1
Clean Sheet: 1-1
Interception: 2-2
Headed Clearances: 3-1
Aerial Battle Won: 4-2
Passes Forward: 37-32
Passes Backwards: 14-15

Agenda.
 
Sajili za Erik seven egg ni connection

Mount - alimuhitaji acheze Eredivisie
Malacia - Eredivisie
Antony - Eredivisie
Onana - Eredivisie
Eriksen - Eredivisie
Lisandro - Eredivisie
Weghost -Eredivisie
Ten Hag - Eredivisie
Van der Gragg - Eredivisie
Mcclaren - Eredivisie

Potential
Amrabat - Eredivisie
Gravenberch - Eredivisie

All in 14 months
 
Sajili za Erik seven egg ni connection

Mount - alimuhitaji acheze Eredivisie
Malacia - Eredivisie
Antony - Eredivisie
Onana - Eredivisie
Eriksen - Eredivisie
Lisandro - Eredivisie
Weghost -Eredivisie
Ten Hag - Eredivisie
Van der Gragg - Eredivisie
Mcclaren - Eredivisie

Potential
Amrabat - Eredivisie
Gravenberch - Eredivisie

All in 14 months
Acha afanye kazi na anaowaamini ili tumhukumu vizuri,sio crime hiyo tunataka positive outcomes tu
 
Kwa hio leo Onana imekua ni usajili bora?
Baada ya kusajiliwa si ulikua unamponda na kuwadanganya watu humu kua Onana kwa Epl ni shati bora hata ya Dagaa (De gea)
Masingeli kua basi na msimamo ndugu yangu, mbona una yumbayumba kama vile uko kwenye mtumbwi?
 
Kwa hio leo Onana imekua ni usajili bora?
Baada ya kusajiliwa si ulikua unamponda na kuwadanganya watu humu kua Onana kwa Epl ni shati bora hata ya Dagaa (De gea)
Masingeli kua basi na msimamo ndugu yangu, mbona una yumbayumba kama vile uko kwenye mtumbwi?
Hapana mkuu tatizo huwa hunielewi , kuhusu Onana kwa Sajili za 7 hag a Dutch David Moyes, ni usajili wake Bora ukilinganisha na Sajili Kama za kina Malacia, casemiro ,n.k

Why? Ni usajili ulioakisi kile anachosema anataka kucheza ,ni usajili uliozingatia umri ,

Same to Martinez

Lakin angalia Sajili Kama za Casemiro ni usajili ambao hawez kuwatumikia zaidi ya miaka miwili , Eriksen ,

So kwa €400m tunasema amesajili wachezaji wawili tu ,Lisandro na Onana

Hojlund ni anaonekana hatakiwi kucheza mechi 2 kwa wiki, na bado simuoni Kama ni tishio ni mchezaji Kama martial tu


That is my point
 
Huyo Casemiro haikuwa sajili yake ilikuwa ni ya kutuliza hasira za mashabiki.

Ndio maana mwanzo hakumuamini alikuwa hamuanzishi

Naanza kukiri jamaa kashuka
Nilisemaga Sana hili nilishambuliwa Sana

Mimi napenda kuongelea uhalisia wa football kuliko banters

Casemiro atawasaidia msimu mmoja au miwili baada ya hapo mtarudi sokon ambapo Kama kawaida mtapigwa na mnaweza kuokota DM wakawaida kwa Bei kubwa

Juzi Carragher kaongea hiki kitu Mimi nilikisema humu last season ,

Mount alivyokuwa anacheza Chelsea sikuwahi kuamini atakuja kufanya vzr manjesta , mount mpira aliucheza katika peak kipind Cha Lampard mwanzoni na Tuchel , hakuwahi kurudi kwenye kiwango chake Tena ,kifupi kafata njia za waingereza like Dele Ali, Sancho, n.k
 
Back
Top Bottom