Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli wahuni sio watu.
Erick Shigongo tunakukumbusha tu hicho kiti unachokikalia walikishindwa kina Ralf Rangnick, Ole Gunnar Solskjaer, Jose Mourinho, Louis van Gaal na David Moyes. View attachment 2722091View attachment 2722092
Mou mpeni maua yake, akiwa na mbovu ya akina Valencia, Ashly Young, Phil Jones and Comp. alibeba Europa. Alipozungumzia football heritage, watu hawakuelewa. Pamoja na pesa nyingi Man Utd wanazotumia kwenye usaji, bado shape ya timu haipatikani.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa kama shabiki lialia wa manjesta nasemajeeeeee! Timu letu bovu

Tulistahili tupoteze mechi zote,ila mbeleko ziliamua kutuweka hapo tulipo,na bado....maji tutaita mma
uchawi upo sijui tuliwafungaje Wolversampton
 
Tuongee ule ukweli ,timu nyingi zilikuwa na majina kwa kuwa zilikuwa na wachezaji bora na wapambanaji.

Kizazi hiki madogo wanapiga pesa ila uwezo mdogo kabisa Mfano Athony yani anakosa magoli kwa upigani wa hovyo hata kupiga long shots za maana yaani hamna kitu.

Wengi pale 90% hawastahili kucheza Man utd .
 
Kosa la Nani? Ikiwa kocha ndiye ana Power ya kuwaleta ,mzigo mnambebesha Grazzer

Ndio maana Kuna watu walisema kwa usajili huu ni Kama amesajili mchezaji mmoja tu ,Onana, huenda wakawa sahihi

Anzeni na kocha kabla ya wamiliki

Kocha kasapotiwa

€85m kwa CF
€100M kwa RW
€55m kwa GK
€60m kwa Kiungo


Bado mnalalamika wachezaji wabovu ,Nan anawaleta
 
Hakuna kocha hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…