Mchambuzi Nguli wa Jf ,hamis77 niliongea Sana kuhusu uwezo wa 7hag kuwa ana uwezo wakawaida Sana kwenye kitu sisi wakufunzi tunasema Talent ID, unaweza kuwa kocha mzuri ila huna talent ID , na unaweza kuwa kocha wakawaida ila una Talent ID, mfano Raf Rangnik huyu ni DoF mzuri lakini si kocha mzuri,
Talent ID ni Nini?
Ni uwezo wakutambua mchezaji fulani anafiti kwenye mfumo fulani na atanipa impact fulani ninayoihitaji
Ulimwengu wa Sasa Kama unapata kocha mzuri ila Hana Talent ID Basi utamuhitaji DoF mwenye uwezo mkubwa kuweza kumtafsiria idea zake zifanye kazi, mfano Unai Emery na Monchi ,
Erik 7 hag anaonekana ana mifumo mizuri kichwani but wachezaji anasajili ni tofauti na anachotaka kifanyike ,huyu alihitaji DoF mwenye akili ya kutafsiri mifumo anayotaka acheze .
Hivi ulishajiuliza Sajili Kama za Anthony Santos lengo hasa acheze mfumo gani, Sajili za Casemiro ambaye hawezi kuhusika kwenye buildup Kama FDJ, Ina maana ukimkosa FDJ ,profile nyingine lazima iendane na FDJ,
Leo naishia hapa
View attachment 2721503