Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,750
- 5,625
Baadhi ya Wafanyakazi wa klabu ya Manchester United wametishia kuacha kazi huku wengine wakifikiria kuanzisha mgomo ikiwa mshambuliaji Mason Greenwood atarejeshwa kwenye Kikosi cha kwanza.
Haya yanajiri baada ya Mashetani hao Wekundu kutangaza kuwa kwenye mchakato kuandaa mpango wa kumrejesha Greenwood kwenye kikosi cha kwanza.
Greenwood (21) raia wa England ambaye amekuwa akionekana akifanya mazoezi binafsi ili kujiweka fiti alishtakiwa kwa kujaribu kubaka, kushambulia na kutoa vitisho vya kuua kabla ya Mahakama nchini Uingereza kukutupilia mbali kesi hiyo kwa kukosa ushahidi.
Haya yanajiri baada ya Mashetani hao Wekundu kutangaza kuwa kwenye mchakato kuandaa mpango wa kumrejesha Greenwood kwenye kikosi cha kwanza.
Greenwood (21) raia wa England ambaye amekuwa akionekana akifanya mazoezi binafsi ili kujiweka fiti alishtakiwa kwa kujaribu kubaka, kushambulia na kutoa vitisho vya kuua kabla ya Mahakama nchini Uingereza kukutupilia mbali kesi hiyo kwa kukosa ushahidi.

1.30
Tottenham Hotspurs