Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baadhi ya Wafanyakazi wa klabu ya Manchester United wametishia kuacha kazi huku wengine wakifikiria kuanzisha mgomo ikiwa mshambuliaji Mason Greenwood atarejeshwa kwenye Kikosi cha kwanza.

Haya yanajiri baada ya Mashetani hao Wekundu kutangaza kuwa kwenye mchakato kuandaa mpango wa kumrejesha Greenwood kwenye kikosi cha kwanza.

Greenwood (21) raia wa England ambaye amekuwa akionekana akifanya mazoezi binafsi ili kujiweka fiti alishtakiwa kwa kujaribu kubaka, kushambulia na kutoa vitisho vya kuua kabla ya Mahakama nchini Uingereza kukutupilia mbali kesi hiyo kwa kukosa ushahidi.
 
Biggest team is the world is playing today and whole world is happy

Ni kwa mara nyingine tena wazee wa ngwasuma tunashuka siku ya leo kugawa burudani kabambe Sana majirani wote mnakaribishwa sana.

My prediction

Tottenham 1 vs Manchester United 3

1.30

Tottenham Hotspurs

Tottenham mnacho cheza nacho hamkijui hakika kitawaramba leo.
1692439845588.jpg
 
Sio kwamba hawasajili,ni wanatakiwa kuuza kwanza wachezajii ndio wasajili kitu ambacho ni kigumu deadwoods wetu wote hawauziki deals zao zimefeli,Fred ni kama zali tu Mbrazil anataka kusakata kabumbu ndio maana kakubali kusepa.
Hao wengine wapo tayari wale mishahara minono hata wakiwa benchi bila jasho.


Haya matatizo tumejitengenezea wenyewe
Manchester utd inaingiza £500M+ kwa mwaka, ukitoa wachezaji waliokwisha kuuzwa ina maana kwa wiki imeokoa zaidi ya 1.5M kutoka kwenye mishahara yao, Timu kama manchester haina haja ya kusubiri kuuza ndio isajili, Glazers ni mchwa, they don't give a fvck kuhusu club, all they do ni kuikamua tu timu
 
Mchambuzi Nguli wa Jf ,hamis77 niliongea Sana kuhusu uwezo wa 7hag kuwa ana uwezo wakawaida Sana kwenye kitu sisi wakufunzi tunasema Talent ID, unaweza kuwa kocha mzuri ila huna talent ID , na unaweza kuwa kocha wakawaida ila una Talent ID, mfano Raf Rangnik huyu ni DoF mzuri lakini si kocha mzuri,

Talent ID ni Nini?

Ni uwezo wakutambua mchezaji fulani anafiti kwenye mfumo fulani na atanipa impact fulani ninayoihitaji

Ulimwengu wa Sasa Kama unapata kocha mzuri ila Hana Talent ID Basi utamuhitaji DoF mwenye uwezo mkubwa kuweza kumtafsiria idea zake zifanye kazi, mfano Unai Emery na Monchi ,

Erik 7 hag anaonekana ana mifumo mizuri kichwani but wachezaji anasajili ni tofauti na anachotaka kifanyike ,huyu alihitaji DoF mwenye akili ya kutafsiri mifumo anayotaka acheze .

Hivi ulishajiuliza Sajili Kama za Anthony Santos lengo hasa acheze mfumo gani, Sajili za Casemiro ambaye hawezi kuhusika kwenye buildup Kama FDJ, Ina maana ukimkosa FDJ ,profile nyingine lazima iendane na FDJ,

Leo naishia hapa

Screenshot_20230819-133132.jpg
 
Mchambuzi Nguli wa Jf ,hamis77 niliongea Sana kuhusu uwezo wa 7hag kuwa ana uwezo wakawaida Sana kwenye kitu sisi wakufunzi tunasema Talent ID, unaweza kuwa kocha mzuri ila huna talent ID , na unaweza kuwa kocha wakawaida ila una Talent ID, mfano Raf Rangnik huyu ni DoF mzuri lakini si kocha mzuri,

Talent ID ni Nini?

Ni uwezo wakutambua mchezaji fulani anafiti kwenye mfumo fulani na atanipa impact fulani ninayoihitaji

Ulimwengu wa Sasa Kama unapata kocha mzuri ila Hana Talent ID Basi utamuhitaji DoF mwenye uwezo mkubwa kuweza kumtafsiria idea zake zifanye kazi, mfano Unai Emery na Monchi ,

Erik 7 hag anaonekana ana mifumo mizuri kichwani but wachezaji anasajili ni tofauti na anachotaka kifanyike ,huyu alihitaji DoF mwenye akili ya kutafsiri mifumo anayotaka acheze .

Hivi ulishajiuliza Sajili Kama za Anthony Santos lengo hasa acheze mfumo gani, Sajili za Casemiro ambaye hawezi kuhusika kwenye buildup Kama FDJ, Ina maana ukimkosa FDJ ,profile nyingine lazima iendane na FDJ,

Leo naishia hapa

View attachment 2721503
Unaweza kuwa na hoja sioni sababu ya kumleta mtu ili kumchezesha nafasi ambayo hajawahi icheza kwa majaribio ni uzwazwa je wakishindwa kuuelewa inakuwajee.
 
Unaweza kuwa na hoja sioni sababu ya kumleta mtu ili kumchezesha nafasi ambayo hajawahi icheza kwa majaribio ni uzwazwa je wakishindwa kuuelewa inakuwajee.
Thus why manjesta wanahitaji DoF lasivyo ,7hag soon atafata njia waliyopita wenzake na atawaachia wachezaji waliofeli ,akija kocha mwingine atahangaika kuwaondoa
 
Mchambuzi Nguli wa Jf ,hamis77 niliongea Sana kuhusu uwezo wa 7hag kuwa ana uwezo wakawaida Sana kwenye kitu sisi wakufunzi tunasema Talent ID, unaweza kuwa kocha mzuri ila huna talent ID , na unaweza kuwa kocha wakawaida ila una Talent ID, mfano Raf Rangnik huyu ni DoF mzuri lakini si kocha mzuri,

Talent ID ni Nini?

Ni uwezo wakutambua mchezaji fulani anafiti kwenye mfumo fulani na atanipa impact fulani ninayoihitaji

Ulimwengu wa Sasa Kama unapata kocha mzuri ila Hana Talent ID Basi utamuhitaji DoF mwenye uwezo mkubwa kuweza kumtafsiria idea zake zifanye kazi, mfano Unai Emery na Monchi ,

Erik 7 hag anaonekana ana mifumo mizuri kichwani but wachezaji anasajili ni tofauti na anachotaka kifanyike ,huyu alihitaji DoF mwenye akili ya kutafsiri mifumo anayotaka acheze .

Hivi ulishajiuliza Sajili Kama za Anthony Santos lengo hasa acheze mfumo gani, Sajili za Casemiro ambaye hawezi kuhusika kwenye buildup Kama FDJ, Ina maana ukimkosa FDJ ,profile nyingine lazima iendane na FDJ,

Leo naishia hapa

View attachment 2721503

Wenzako wanawazungumzia ericksen na mason kuchezeshwa deeper role wewe umekazana na anthony tu unaumia sana anthony kucheza man u eeh??
 
Manchester utd inaingiza £500M+ kwa mwaka, ukitoa wachezaji waliokwisha kuuzwa ina maana kwa wiki imeokoa zaidi ya 1.5M kutoka kwenye mishahara yao, Timu kama manchester haina haja ya kusubiri kuuza ndio isajili, Glazers ni mchwa, they don't give a fvck kuhusu club, all they do ni kuikamua tu timu
Soon timu wanaiuza kwa taarifa za jana tuvumilie tabu kwa mara ya mwisho
 
Mchambuzi Nguli wa Jf ,hamis77 niliongea Sana kuhusu uwezo wa 7hag kuwa ana uwezo wakawaida Sana kwenye kitu sisi wakufunzi tunasema Talent ID, unaweza kuwa kocha mzuri ila huna talent ID , na unaweza kuwa kocha wakawaida ila una Talent ID, mfano Raf Rangnik huyu ni DoF mzuri lakini si kocha mzuri,

Talent ID ni Nini?

Ni uwezo wakutambua mchezaji fulani anafiti kwenye mfumo fulani na atanipa impact fulani ninayoihitaji

Ulimwengu wa Sasa Kama unapata kocha mzuri ila Hana Talent ID Basi utamuhitaji DoF mwenye uwezo mkubwa kuweza kumtafsiria idea zake zifanye kazi, mfano Unai Emery na Monchi ,

Erik 7 hag anaonekana ana mifumo mizuri kichwani but wachezaji anasajili ni tofauti na anachotaka kifanyike ,huyu alihitaji DoF mwenye akili ya kutafsiri mifumo anayotaka acheze .

Hivi ulishajiuliza Sajili Kama za Anthony Santos lengo hasa acheze mfumo gani, Sajili za Casemiro ambaye hawezi kuhusika kwenye buildup Kama FDJ, Ina maana ukimkosa FDJ ,profile nyingine lazima iendane na FDJ,

Leo naishia hapa

View attachment 2721503
Leo umejileta sehemu niliyokuwa naitaka na umefanya vyema.
Vipaji vingi vinasakwa na DOF pale Ajax alikuwa na Overmaars sasa hapa kwa akina John Murtough atashauriana nao nini?
Alipaswa kumshikilia mikono Ralf asisepe japo inaonekana alitimuliwa.

Director Of Football anahitajika sana ili apate wachezaji wanaoendana na anachotaka akiendelea kumuamini Murtough atatoa nae maboko kila siku.
 
Thus why manjesta wanahitaji DoF lasivyo ,7hag soon atafata njia waliyopita wenzake na atawaachia wachezaji waliofeli ,akija kocha mwingine atahangaika kuwaondoa
Kabisa mtu alikuwa na akina FDJ na Alvarez mixer Timber huku unamleta kwa watu hawajui hata kupiga pasi 30 bila kupoteza mpira.
Man United tatizo halijawahi kuwa kocha hata Ole angepata DoF mzuri angekuwepo hadi leo,hata Jose na Van Gaal waliletewa wangese wengi tu.

Hii mission itafanikiwa kama tu mmiliki mpya akipatikana lazima asuke uongozi mpya juu wa kumrahisishia kazi kocha sio huu wa negotiations za miezi 3 na bado tunatoka kapa.

Anapata tabu kuwaondoa deadwoods kwa sasa kutokana madudu yaliyofanywa na Woodward.

I wish hii ndoto kufika January itatimia
 
Yves Bissouma, J. Maddison, H.M. Son, Destiny Udogie, M. Van De Ven, Emerson Royal.

Remember the names.
 
Back
Top Bottom