Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliyecheza vizuri angalau ni Omama peke yake

Kwaio ulitaka watu waorodheshe squad nzima? Kuanzia beki na rashfod

Ipo hivi wachezaji wengi waliopo HAWAFUNDISHIKI
angalia Chelsea, Brighton, Aston Villa,...
Alafu angalia unyumbuni?

Ni rahisi kufundisha mudryk kukaba kuliko kumfukdisha rashfod kupiga pass za hatari. Sijui unanielewa?
Nasema hivi ni rahisi kumfundisha Ben white kiungo mkabaji kuliko kumpandisha magwaya acheze offside tricks

Pale unyumbuni timu imekua ya oyaoya twende
Yani Kama vipi vipi tu, hakuna anaewaza

Magwaya mnamtoa mbuzi wa kafara, game ya nyuzi magwaya wa watu yupo pembeni anawaangalia tu
Au hadi kukaa kwake sub nayo ni sababu?
(Magwaya nitamuelezea vizuri baadae)

Mount anacheza Kama kwenye unyayo anakidonda
Mliwaambia casimiro amenenepa sana, itamletea shida. Mkaona ni chuki za kiehabiki
Sasa hivi mashambulishi watu watakua wanapitia Kati bila distrubance yoyote

Varane, Shaw, dalot, bisaka, Sancho, au teseme wote tu ni mizigo

Mifumo inaenda na abilities and capabilities za wachezaji
Unafikiri jopo lote na hang hawajui hiyo mifumo,?
Unaongea kama kichwani kuna funza, punguza makasiriko,,, ndo kwanza mechi ya kwanza shobo kibao.,,,, nyie mliecheza vzr last season mlipata hata kikombe cha uji?

Mliishia kusema injury ya saliba na Jesus iliwanyima EPL,,,,

Msimu ndo kwanza umeanza weka akiba ya maneno,,,,

Kusajili na ku-perfom ni vitu viwili tofauti,,,
 
Hata ungekua wewe uondoke uende wapi? Unalipwa pesa ndefu licha ya kutofanya chochote uwanjani, hakuna presha kutoka kwa mashabiki kuhusu mataji wao wafikishe top four tu umemaliza matakwa yao we wambie tu we will come back stronger wataridhika, hata mkipigwa 7-0 na mahasimu wenu kocha anawaambia mpo vzr, unaweza uka fake injury ukae nje miezi minne but still wana ku praise sasa uende wapi?

Al Hillal walivo pigwa fainali na Al Nassr wame react kwa kumsajili Neymar Jr, utd walivo pigwa 7-0 na Loserpool, walivo mpa man city treble, walivo pigwa 4 na Brentford, walipokua humiliated na Sevilla kwenye europa wame react kwa kumuongezea mkataba Trashord, kumpa kitambaa Bruno, just imagine Bruno huyu huyu ambae hajui hata nini maana ya Major trophy ndio unampa kitambaa awaongoze wenzie ni sawa na kondoo kuongoza kundi la simba.

So kwa hili wala hatuwezi kumlaumu Maguire, mikataba ya ovyo tunayo wapa mediocre players ndio baadae inakuja kutu cost.
Watakuja kina Flano kukupinga, matumaini ya wengi ilikuwa msimu huu 10hag atarudi na mpira mzuri, lakin mechi vs wolves bila huruma ya marefa ambao wamesimamishwa kazi, Ten hag angedhalilishwa

Malegend wazaman wameanza kuonya kuhusu Sajili zake za ajabu
 
Watakuja kina Flano kukupinga, matumaini ya wengi ilikuwa msimu huu 10hag atarudi na mpira mzuri, lakin mechi vs wolves bila huruma ya marefa ambao wamesimamishwa kazi, Ten hag angedhalilishwa

Malegend wazaman wameanza kuonya kuhusu Sajili zake za ajabu
Uzi wenu umefungiwa huko,,,mkae kwa kutulia mnaongea sana,,,ndo kwanza mechi ya kwanza ,,,, !
 
Unaongea kama kichwani kuna funza, punguza makasiriko,,, ndo kwanza mechi ya kwanza shobo kibao.,,,, nyie mliecheza vzr last season mlipata hata kikombe cha uji?

Mliishia kusema injury ya saliba na Jesus iliwanyima EPL,,,,

Msimu ndo kwanza umeanza weka akiba ya maneno,,,,

Kusajili na ku-perfom ni vitu viwili tofauti,,,
Mkuu nyumbu ni ile ile Jana leo na kesho

Mkitoka kwenye kutoa toa wachezaji mizigo, inabidi mumrudie 10hag mwenyewe
Wachezaji Wana mikataba na Wala hawafikrii kuondoa

Best method ilibidi mumtimue 10 hag kabla Mambo hayajawa magumu
Aje kocha, mtata

Nakupa scenario moja
Mourinho kipindi yupo Chelsea alikua hamtaki Juan mata, ambae yeye hawazi kuondoka anataga agombee namba
Kuna game muorinho akamuingizia kutokea sub, baada ya dakika 3 akamtoa

Alipoulizwa kwenye press akasema wale watu mata kupamba nao ni ngumu, coz mata ni mfupi

Baada ya wiki mbili nyumbu mkapeleka ofa, Mata kishingo upande akabeba vilago vyake
 
Njoeni mumchukue Rambo kwa mkopo
IMG-20230816-WA0002.jpg
 
Mkuu nyumbu ni ile ile Jana leo na kesho

Mkitoka kwenye kutoa toa wachezaji mizigo, inabidi mumrudie 10hag mwenyewe
Wachezaji Wana mikataba na Wala hawafikrii kuondoa

Best method ilibidi mumtimue 10 hag kabla Mambo hayajawa magumu
Aje kocha, mtata

Nakupa scenario moja
Mourinho kipindi yupo Chelsea alikua hamtaki Juan mata, ambae yeye hawazi kuondoka anataga agombee namba
Kuna game muorinho akamuingizia kutokea sub, baada ya dakika 3 akamtoa

Alipoulizwa kwenye press akasema wale watu mata kupamba nao ni ngumu, coz mata ni mfupi

Baada ya wiki mbili nyumbu mkapeleka ofa, Mata kishingo upande akabeba vilago vyake
Hata akiondoka Ten Hag wataokuja ni yaleyale nafuu ya yeye kaonesha mamlaka yake.
Nani kakwambia hao wachezaji mizigo anawataka? Huwa anawapa nafasi japo kidogo ili baadae awakate vizuri ni mifano tumejionea.

Wote wataondolewa tu ila shida ipo kwenye kusajili wanaohusika wapo slow wanafukuzia mchezaji miezi hata 3,Kim Min Jae alikuwa si wa kumkosa ila kwa sababu sajili zao wanaanzaga July wakaharibu.


Tunaomuelewa tutasimama nae hadi mwisho mbali na yeye ni Ole tu ndio ambaye alianza kurudisha utamaduni wa timu kama wa Fergie sema alikuwa hana mamlaka ya kimaamuzi.

Akifeli Ten Hag basi tusubiri na sisi kukaa miaka 30 bila kombe la ligi maana hakuna kocha atayeweza hata Pep United anaweza kuonekana tapeli.
 
Eti mashabiki wa manjesta wanakuwa surprised na pira makande ,utadhani last season walikuwa wanacheza pira biliani
United huwa haichezi mpira mzuri tangu enzi za Babu ila fighting spirit tu ndio ulikuwa msingi wa timu,Arsenal ile ya Wenger kuanzia 2004 hadi anastaafu ilikuwa inapiga mpira mzuri kushinda United ila ikatoka kapa.

Hicho kitu now kimekosekana hasa kwa washambuliaji wote wamelegea kama Rashford,Martial na Sancho wanacheza kifaza sana,Antony anapambana kwa jasho lote ila tu sio mchezaji wa kutisha hana maajabu.

Katika kitu ambacho nimekuwa disappointed na ETH ni kukubali kumpa mkataba mrefu Rashford sasa atageuka kuwa nightmare kwake pamoja na makocha wataofuata kuanzia mwakani chezaji halijui hata kujituma linachojua kuja kutafuta huruma eti sijui maumivu ya bega na mgongo,simuoni akivuka goli 15 za ligi msimu huu kwa kumuangalia tangu Pre-season.
 
Chelsea have handed Brighton £222m in the last 18 months

hawa ndio viumbe wanaoshikilia rekodi ya kula hela ya tajiri miluzi bila ya kutoka jasho.
mmiliki wa brighton (tony bloom) na mtendaji mkuu (paul barber)

wahuni wanatafuta cheap options zenye potential then wanakupiga chuma miaka mbele.
ndio raha ya kusimamia timu isiyo na demands kubwa
unafanya mambo ya recuitments bila ya presha
View attachment 2718515
Msimu ujao watakula hela tena kubwa kwa Julio Enciso.
 
Eti mashabiki wa manjesta wanakuwa surprised na pira makande ,utadhani last season walikuwa wanacheza pira biliani
We jamaa bana.
Vipi mtaingia sokoni kutafuta mbadala wa Timber anayeelekea kitandani kwa wiki 40?
 
We jamaa bana.
Vipi mtaingia sokoni kutafuta mbadala wa Timber anayeelekea kitandani kwa wiki 40?
Inaonesha hujui Arsenal tunachezaje ,option zetu zipoje , Timber Ni RB ,but tulikuwa tunamtumia Kama LB ambapo Kuna option karibu 3, kuumia kwa Timber kumepunguza depth ya kikos hakujaathiri uchezaji ,so tutaingia sokon kuongeza depth ,simple like that
 
Back
Top Bottom