Unajua nimeona hilo maana mie ndio maana natembelea huku sana la Chelsea limelala fofooJukwaa la Arsenal nalo halifunguki asee
Unaongea kama kichwani kuna funza, punguza makasiriko,,, ndo kwanza mechi ya kwanza shobo kibao.,,,, nyie mliecheza vzr last season mlipata hata kikombe cha uji?Aliyecheza vizuri angalau ni Omama peke yake
Kwaio ulitaka watu waorodheshe squad nzima? Kuanzia beki na rashfod
Ipo hivi wachezaji wengi waliopo HAWAFUNDISHIKI
angalia Chelsea, Brighton, Aston Villa,...
Alafu angalia unyumbuni?
Ni rahisi kufundisha mudryk kukaba kuliko kumfukdisha rashfod kupiga pass za hatari. Sijui unanielewa?
Nasema hivi ni rahisi kumfundisha Ben white kiungo mkabaji kuliko kumpandisha magwaya acheze offside tricks
Pale unyumbuni timu imekua ya oyaoya twende
Yani Kama vipi vipi tu, hakuna anaewaza
Magwaya mnamtoa mbuzi wa kafara, game ya nyuzi magwaya wa watu yupo pembeni anawaangalia tu
Au hadi kukaa kwake sub nayo ni sababu?
(Magwaya nitamuelezea vizuri baadae)
Mount anacheza Kama kwenye unyayo anakidonda
Mliwaambia casimiro amenenepa sana, itamletea shida. Mkaona ni chuki za kiehabiki
Sasa hivi mashambulishi watu watakua wanapitia Kati bila distrubance yoyote
Varane, Shaw, dalot, bisaka, Sancho, au teseme wote tu ni mizigo
Mifumo inaenda na abilities and capabilities za wachezaji
Unafikiri jopo lote na hang hawajui hiyo mifumo,?
Watakuja kina Flano kukupinga, matumaini ya wengi ilikuwa msimu huu 10hag atarudi na mpira mzuri, lakin mechi vs wolves bila huruma ya marefa ambao wamesimamishwa kazi, Ten hag angedhalilishwaHata ungekua wewe uondoke uende wapi? Unalipwa pesa ndefu licha ya kutofanya chochote uwanjani, hakuna presha kutoka kwa mashabiki kuhusu mataji wao wafikishe top four tu umemaliza matakwa yao we wambie tu we will come back stronger wataridhika, hata mkipigwa 7-0 na mahasimu wenu kocha anawaambia mpo vzr, unaweza uka fake injury ukae nje miezi minne but still wana ku praise sasa uende wapi?
Al Hillal walivo pigwa fainali na Al Nassr wame react kwa kumsajili Neymar Jr, utd walivo pigwa 7-0 na Loserpool, walivo mpa man city treble, walivo pigwa 4 na Brentford, walipokua humiliated na Sevilla kwenye europa wame react kwa kumuongezea mkataba Trashord, kumpa kitambaa Bruno, just imagine Bruno huyu huyu ambae hajui hata nini maana ya Major trophy ndio unampa kitambaa awaongoze wenzie ni sawa na kondoo kuongoza kundi la simba.
So kwa hili wala hatuwezi kumlaumu Maguire, mikataba ya ovyo tunayo wapa mediocre players ndio baadae inakuja kutu cost.
Uzi wenu umefungiwa huko,,,mkae kwa kutulia mnaongea sana,,,ndo kwanza mechi ya kwanza ,,,, !Watakuja kina Flano kukupinga, matumaini ya wengi ilikuwa msimu huu 10hag atarudi na mpira mzuri, lakin mechi vs wolves bila huruma ya marefa ambao wamesimamishwa kazi, Ten hag angedhalilishwa
Malegend wazaman wameanza kuonya kuhusu Sajili zake za ajabu
Kwan Kuna mwenye matumaini ten hag atabadilisha Pira makande kwenda pira biliani?Uzi wenu umefungiwa huko,,,mkae kwa kutulia mnaongea sana,,,ndo kwanza mechi ya kwanza ,,,, !
Mkuu nyumbu ni ile ile Jana leo na keshoUnaongea kama kichwani kuna funza, punguza makasiriko,,, ndo kwanza mechi ya kwanza shobo kibao.,,,, nyie mliecheza vzr last season mlipata hata kikombe cha uji?
Mliishia kusema injury ya saliba na Jesus iliwanyima EPL,,,,
Msimu ndo kwanza umeanza weka akiba ya maneno,,,,
Kusajili na ku-perfom ni vitu viwili tofauti,,,
Jukwaa la Arsenal nalo halifunguki asee
Hata akiondoka Ten Hag wataokuja ni yaleyale nafuu ya yeye kaonesha mamlaka yake.Mkuu nyumbu ni ile ile Jana leo na kesho
Mkitoka kwenye kutoa toa wachezaji mizigo, inabidi mumrudie 10hag mwenyewe
Wachezaji Wana mikataba na Wala hawafikrii kuondoa
Best method ilibidi mumtimue 10 hag kabla Mambo hayajawa magumu
Aje kocha, mtata
Nakupa scenario moja
Mourinho kipindi yupo Chelsea alikua hamtaki Juan mata, ambae yeye hawazi kuondoka anataga agombee namba
Kuna game muorinho akamuingizia kutokea sub, baada ya dakika 3 akamtoa
Alipoulizwa kwenye press akasema wale watu mata kupamba nao ni ngumu, coz mata ni mfupi
Baada ya wiki mbili nyumbu mkapeleka ofa, Mata kishingo upande akabeba vilago vyake
United huwa haichezi mpira mzuri tangu enzi za Babu ila fighting spirit tu ndio ulikuwa msingi wa timu,Arsenal ile ya Wenger kuanzia 2004 hadi anastaafu ilikuwa inapiga mpira mzuri kushinda United ila ikatoka kapa.Eti mashabiki wa manjesta wanakuwa surprised na pira makande ,utadhani last season walikuwa wanacheza pira biliani
Msimu ujao watakula hela tena kubwa kwa Julio Enciso.Chelsea have handed Brighton £222m in the last 18 months
hawa ndio viumbe wanaoshikilia rekodi ya kula hela ya tajiri miluzi bila ya kutoka jasho.
mmiliki wa brighton (tony bloom) na mtendaji mkuu (paul barber)
wahuni wanatafuta cheap options zenye potential then wanakupiga chuma miaka mbele.
ndio raha ya kusimamia timu isiyo na demands kubwa
unafanya mambo ya recuitments bila ya presha
View attachment 2718515
Ni pigo kwa arsenal NDOO, coz dogo alishaingia kwenye mfumo moja kwa mojaBad News Beki La Mpira Atafanyiwa Operation , Japokuwa Karibu Kwenye Waliyotoa Hawajaeleza Hatakaa Njee Kwa Muda Gani , Za Chini Ya Kapeti Hata Kaa Njee All Of Session View attachment 2719105
Bado ni rumours tu, Liverpool tumekuwa tukihusishwa na kila Midfielder kwa sasa.......Nadhani watakuwa wanatafuta Attention kwa Man united tu.Amrabat huyooo Liverpool
***** zao United!![]()
We jamaa bana.Eti mashabiki wa manjesta wanakuwa surprised na pira makande ,utadhani last season walikuwa wanacheza pira biliani
Inaonesha hujui Arsenal tunachezaje ,option zetu zipoje , Timber Ni RB ,but tulikuwa tunamtumia Kama LB ambapo Kuna option karibu 3, kuumia kwa Timber kumepunguza depth ya kikos hakujaathiri uchezaji ,so tutaingia sokon kuongeza depth ,simple like thatWe jamaa bana.
Vipi mtaingia sokoni kutafuta mbadala wa Timber anayeelekea kitandani kwa wiki 40?