Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nasimama na Captain MAGUIRE
tapatalk_1682062763169.jpeg
 
Taratibu maji yanaanza jitenga na mafuta


Niliyoyasema miezi kadhaa kuhusu 7hag taratibu Yanaanza kuonekana kwa mbali



Erik ten hag Mfukoni mwa Gary O' Neil |

Anasema

Mtaumia kusema hivi, lakini Chelsea wanaonekana ni timu bora uwanjani kuliko United na ni miezi miwili TU tangu Pochettino apewe timu... Wakati huo huo 10hag ni miaka miwili na United hii inayoonekana kuwa ya Hovyo kabisa.

Nimeanza kuwa na wasiwasi kuhusu juu y Talent ID ya 10 hag.. Msimu uliopita, United walikuwa na tatizo kubwa la kushindwa kuutawala mchezo, hawana kiungo ambaye ana uwezo wa kudhibiti kasi ya mchezo, ( Control the tempo)

Msimu mpya lakini tatizo bado ni lile lile, walimsajili Meson Mount, ni usajili mzuri, lakini kama mchezaji TU wakikosi (Squad player) lakini kumchezesha pamoja na Bruno na Casemiro kunaonekana hakutofanikiwa wote watatu hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kuutawala mchezo "
Talent ID:katika miaka yangu yote ya kushabikia soka hili neno sijawahi kutana nalo likizungumziwa na ninafuatilia sana mpira na kwa mara ya kwanza naliona kwa kocha wa United na sikuona huko nyuma kwa makocha matapeli wote inachekesha sana
I know kila kitu cha United lazima kitafutiwe kasoro na watu wazembe

Halafu sasa mzee huoni Chelsea inavyosajili for fun?

Wao wameuza wachezaji ndio maana wanaingiza wachezaji wengine huku sisi deadwoods wetu hawauziki na kabla ya kupata replacement zao lazima wauzwe kitu ambacho kigumu sana.

Wanasajili wachezaji hata 8-10 kwa dirisha tena ila sisi tukijikamamua ni 3-5.hapo kuna wale wa deadline day kuwaridhisha mashabiki.

Chelsea wana mmiliki ambitious sana na pia kuna watu wanaomsaidia kocha hiyo sekta ndio maana wanaingiza tu watu na washamfanyia umafia Liverpool.

Huku kwetu tuna Arnold na Murtough mchezaji mmoja anafukuziwa miezi hata 3-4,tatizo lipo kwa uongozi hebu siku moja ETH apate DOF na Technical Directors wanaojua soka uone kama hizo ngonjera za hiyo mnayoita Talent Id zitakuwepo.
Mbona akiwa Ajax aliingiza watu wazuri ama ndio yale niliyosema juu hapo kuwa kwa United hata Pep anaweza kuonekana tapeli.
 
Ukweli mchungu ni kuwa deadwoods zetu haziuziki. Mtu kama Bailly team inahaha kumuuza na deal imefeli, Maguire off, Donny inaenda inarudi na wengineo.


Naona Greenwwod akirudi, ataongeza kitu naimani si haba huku tukiendelea kusubiri muda bado upo upo kiasi
 
United huwa haichezi mpira mzuri tangu enzi za Babu ila fighting spirit tu ndio ulikuwa msingi wa timu,Arsenal ile ya Wenger kuanzia 2004 hadi anastaafu ilikuwa inapiga mpira mzuri kushinda United ila ikatoka kapa.

Hicho kitu now kimekosekana hasa kwa washambuliaji wote wamelegea kama Rashford,Martial na Sancho wanacheza kifaza sana,Antony anapambana kwa jasho lote ila tu sio mchezaji wa kutisha hana maajabu.

Katika kitu ambacho nimekuwa disappointed na ETH ni kukubali kumpa mkataba mrefu Rashford sasa atageuka kuwa nightmare kwake pamoja na makocha wataofuata kuanzia mwakani chezaji halijui hata kujituma linachojua kuja kutafuta huruma eti sijui maumivu ya bega na mgongo,simuoni akivuka goli 15 za ligi msimu huu kwa kumuangalia tangu Pre-season.
Uzuri ni kuwa kasajili striker, Rashford atatokea pembeni watashindana na Sancho na Garnacho, Martial nadhani atakuwa back up striker labda itokee kaumia maana nae trip garage trip kazi.

Kitu kimoja namkubali ETH ana maamuzi, angalia Maguire, ili ucheze pambana sio kutia huruma, ni process ngoja tuone.
 
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Man United release statement to clarify Mason Greenwood situation 🔴⚠️

“Following the dropping of all charges against Mason Greenwood in February 2023, Manchester United has conducted a thorough investigation into the allegations made against him”.

“This has drawn on extensive evidence and context not in the public domain, and we have heard from numerous people with direct involvement or knowledge of the case”.

“Throughout this process, the welfare and perspective of the alleged victim has been central to the club’s inquiries, and we respect her right to lifelong anonymity”.

“We also have responsibilities to Mason as an employee, as a young person who has been with the club since the age of seven, and as a new father with a partner”.

“The fact-finding phase of our investigation is now complete, and we are in the final stages of making a decision on Mason’s future”.

“Contrary to media speculation, that decision has not yet been made and is currently the subject of intensive internal deliberation. Responsibility ultimately rests with the Chief Executive Officer”.

“Once made, the decision will be communicated and explained to the club’s internal and external stakeholders”.

“This has been a difficult case for everyone associated with Manchester United, and we understand the strong opinions it has provoked based on the partial evidence in the public domain. We ask for patience as we work through the final stages of this carefully considered process”
 

Attachments

  • FB_IMG_16922544794589863.jpg
    FB_IMG_16922544794589863.jpg
    53.1 KB · Views: 2
Uzuri ni kuwa kasajili striker, Rashford atatokea pembeni watashindana na Sancho na Garnacho, Martial nadhani atakuwa back up striker labda itokee kaumia maana nae trip garage trip kazi.

Kitu kimoja namkubali ETH ana maamuzi, angalia Maguire, ili ucheze pambana sio kutia huruma, ni process ngoja tuone.
Ok ila Rashford simuoni akifanya vizuri huu msimu but atumie wakati wake naamini siku moja naye atamchosha kocha na hivi ni mchezaji wa academy hajasajiliwa kwa big money kocha kumsugulisha benchi haitakuwa ngumu.
 
Ok ila Rashford simuoni akifanya vizuri huu msimu but atumie wakati wake naamini siku moja naye atamchosha kocha na hivi ni mchezaji wa academy hajasajiliwa kwa big money kocha kumsugulisha benchi haitakuwa ngumu.
Kaka kukuta watoto wa Kiingereza wanakaza kama kizazi cha kina Ferdinand, Lampard, J. Cole, Kean au hata Gary Cahill ni wachache sana kwa sasa

Rashford ana kila kitu mzee, ila tu ana udwanzi wa Kiingereza ule.
 
Nioneshe hili kombe ,nikuoneshe mbuzi anayezaa nyumbu View attachment 2719547
Tatizo Umeanza shabikia mpira ukubwani ilo kombe wame change jina tu ni sawa na ligi ya England ilikuwa ni championship zamani saizi ni Barclays.

Walibadirisha jina tu kutoka uefa cup mpka uefa super cup Kwaiyo Unataka kusema Liverpool ana kombe la ligi moja ndo unacho maanisha wewe.

Ingia kwenye page yao pitia utapata majibu kijana mpira wa ukubwani ni shida.
1692261409306.jpg
 
Tatizo Umeanza shabikia mpira ukubwani ilo kombe wame change jina tu ni sawa na ligi ya England ilikuwa ni championship zamani saizi ni Barclays.

Walibadirisha jina tu kutoka uefa cup mpka uefa super cup Kwaiyo Unataka kusema Liverpool ana kombe la ligi moja ndo unacho maanisha wewe.

Ingia kwenye page yao pitia utapata majibu kijana mpira wa ukubwani ni shida.View attachment 2719731
Liverpool Ana epl 1

Na United haijawihi kushinda uefa super cup ,..

Hizo cup za before Jesus Christ pekeken huko museums
 
Back
Top Bottom