Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Endapo Arsenal wakishinda Liver watakuwa nyuma yetu kwa 2 points.... afu siwezi kujiona nashangilia ushindi wa Man utd jinsi navyowachukia kama Ukimwi.

hahahaa mkuu umetumia kanuni ya ngapi kuwaita luzaful?
 
Loserfools wamenza kwa preeeesha baada ya kukutana na visiki wametulia wamerudi nyuma wanajipanga upya...uschezee man u kabisa
 
Hii game kule pembeni kwa Januzaj angekuwepo Welbeck ama Young. Hao wana defensive work rates kuliko Adnan..

Anyway, ngoja tuone.
 
Adnan hawezi kucheza hapa waangalie mbadala mapema
 
Adnan angetolewa aingie valencia acheze winga yake ya kulia huku kuongeza presha. Maana naona winga ya kulia haina mtu.
hii game kule pembeni kwa januzaj angekuwepo welbeck ama young. Hao wana defensive work rates kuliko adnan..

Anyway, ngoja tuone.
 
Back
Top Bottom