nipo ot nawachungulia majirani..
Hata kushangilia unaruhusiwa pia jirani
nipo ot nawachungulia majirani..
Naishabikia United ipate draw
Sijawahi kuangalia mpira kwa wasiwasi kama leo....
Suarez anakaribia kurusha ngumi. Leo lazima akae kwa jones.
Sijawahi kuangalia mpira kwa wasiwasi kama leo....
Kuwa mkweli bana.... nina uhakika msimu wote umeangalia mechi za Man utd na wasiwasi kama ulionao leo.
Endapo Arsenal wakishinda Liver watakuwa nyuma yetu kwa 2 points.... afu siwezi kujiona nashangilia ushindi wa Man utd jinsi navyowachukia kama Ukimwi.Draw itakusaidia nini?
Nimeipenda man u kwa dakika chache hizi ni kiatu mtindo mmoja