kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
😅😅Tumeshinda ila sina furaha
😅😅Tumeshinda ila sina furaha
Yaani hakuna mchezaji hapoRashidi tokea aongezewe mshahara kwenye mkataba anacheza kama yupo vacation
Hojlund na Greenwood watasidia sana wakiwepo humu
Siyo penalty. Kipa alikuwa anaufuata mpira na mpinzani akaucheza sasa angedaka nini?Duh ile siyo penati 😆😆
Apewe mudaMason Mount vs Wolves
0 goals
0 assists
0 chances created
0 crosses
0 tackles won
0 accurate crosses
0 aerial duels won
Neno moja kwake
Saiv umemsahau CostaKama siyo refa kumaliza mpira!!! 😄 Hawa Wolves tumewafanyaje kwani?
Onana leo amefanya nisimkumbuke De Gea: kafanya points blank saves, cross claims, distribution. 🔥
Anza kwanza wewe ndiyo uliongoza mashambuliziNasubiri mumuombe AWB msamaha..
Mount anapaswa kuwa backup ya Bruno tu namba 10 anaiweza ama RW but kucheza kama 8 wawili naona ngumu sanaNamba 8 wawili?
Sidhani kama watafanya kazi, najua kipara hatokubali kushindwa.
Ni kama walicheza kumaliza 90 minutes tu.Poor performance
Ndo tumeshinda lia sasaNi kama walicheza kumaliza 90 minutes tu.
Timu la hovyo hili
Angalia hii penalty waliopewa Argentina dhidi ya polandSiyo penalty. Kipa alikuwa anaufuata mpira na mpinzani akaucheza sasa angedaka nini?