mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Time will tellgoli 9 assist 5
kombe 1
UEFA yumo
kwa msimu wa kwanza sio tatizo sisi tutamjaji msimu mpya
Time will tellgoli 9 assist 5
kombe 1
UEFA yumo
kwa msimu wa kwanza sio tatizo sisi tutamjaji msimu mpya
kama unalijua hili ungetulia basi kwanzaTime will tell
Acha hasira mkuu.man u ni kuku wa maziwakama unalijua hili ungetulia basi kwanza
Mshabiki wa manjesta unapata furaha kwa nini

Na hapo kuna kipindi alikuw majeruhi.goli 9 assist 5
kombe 1
UEFA yumo
kwa msimu wa kwanza sio tatizo sisi tutamjaji msimu mpya
Mkuu kwa mtu Kama mount nimetulia, coz ndio anaanza maishakama unalijua hili ungetulia basi kwanza
Umeamua kumkataa Omama kwa kutuzingizia wazee wa arsenal ya NDOOHizi picha Asaninyau wanaweza kuziweka kwenye official account yao ya Instagram au kwenye Website yao kabisa. View attachment 2709493View attachment 2709494View attachment 2709495



Onana ni bonge moja la kipa la goli, tena usije thubutu kumfananisha hata kidogo na nyanda za juu kusini wenu Rasmadale.Umeamua kumkataa Omama kwa kutuzingizia wazee wa arsenal ya NDOO
Tuliosoma Cuba tumeshakusoma![]()
watu mmalalamika Mount asipofunga ila hapohapo wanasema Antony kazi yake sio kukabaIla Antony eeeh Bora huyo Greenwood arudi tu hamna mchezaji pale kama mnaona anakazi ya kukaba arudi beki.
Leo garnacho kamuonesha winga anatakiwa kucheza vipi
Waingereza wana ujinga mwingi sana.Iyo Jezi namba 7 ana deserve garnacho respectfully kuliko uyo kibaka
Strength ya degea ilikua ngumu Sana kumtunga magoli ya mbali hasa ikija juuOnana ni bonge moja la kipa la goli, tena usije thubutu kumfananisha hata kidogo na nyanda za juu kusini wenu Rasmadale.
Wachezaji pekee wanaoweza kumfunga Onana ni wale maprofessional wa kutungua maembe kwa kutumia mawe (Sniper) tena usijidanganye kabisa wachezaji wa Asenyo kama Sakaya, Matololi, Jasusi wanaweza kumfunga MG(Midfielder Goalkeeper) André Onana hata goli la offside.
let's stay there time will tellMkuu kwa mtu Kama mount nimetulia, coz ndio anaanza maisha
Ila huyu Antony case yake tofauti, Kama pure mathematics upo vizuri
Kuna topic inaitwa differential equations, nazungumzia exponential curve ya Anthony ni rahisi kui-predict itakuaje. Japo nilisema time will tell