Tumepigwa apa







️
Rashford
️
Sotoca
️
Antony
️
Casemiro







Erik ten Hag on Rasmus Højlund: "The team were hoping for a type of player like him. But he has to prove it now."







Erik ten Hag on Rasmus Højlund: "He is a real front man. Very direct through the goal. Very good presser. Has physical presence. In the balance of this squad, we needed that."
























Sasa kama mabwege wa kutapeliwa wapo ya nini sisi tuumize ubongo kupita njia ndefu. Mjini ni kuishi kwa kutumia bongoBaada kupigwa sana kwenye sajili za kitapeli naona na nyinyi mkaanza rasmi kujifunza technic za utapeli?
Hizi biashara za kitapeli mlizoanza nazo msimu huu kwa Kai Harvez na FreeMason naona ni mwanzo mzuri sana kwenu kuingia kwenye chama la matapeli.
ukiondoa Rashid na Casemiro hakuna mchezaji anaekunja 300k Ten hag hataki hiloNa anakunja 300k kwa wiki
goli 9 assist 5Kwaio impact ya Anthony ni pre season,? Mtu yupo tangu msimu uliopita wote ule
Tukiwaita nyumbu mtasema tunawatukana?