Ivi uwaga mnaangalia mechi au mnakurupuka tuuWayaaaaaaaaaaaaa. ONANA katunguliwa na leo
Ivi uwaga mnaangalia mechi au mnakurupuka tuuWayaaaaaaaaaaaaa. ONANA katunguliwa na leo
Hayupo golini we kengeWayaaaaaaaaaaaaa. ONANA katunguliwa na leo




Acha wenge leta matokeo yetu ya arsenyani.Pre season yote hamjatoka na cleansheet![]()
Hili ajibu shabiki wa arsenalPre season yote hamjatoka na cleansheet![]()
Dah wewe jamaaHichi kikosi Cha Leo wakiuza hata timu nzima ni sawa tu chote kimeoza.


We tulikulamba mara 2 dk 90 tulikupiga goli 2 afu kwenye penati pia tukakulomba
Tatizo atapewa nafasiOmar forson anaweza kuwa bukayo saka wetu?
Nilikuwa bado natafuta combination kumbuka nimesajili wachezaji wapya 3 ambao wanaingia first elevenWe tulikulamba mara 2 dk 90 tulikupiga goli 2 afu kwenye penati pia tukakulomba
Mnagoma Bei ,Westham wanawataka magwaya na mactominay ,wanatuma ofa mnazikataa ,Hivi hakuna hata watu wanaowataka Martial,Maguire,Fred,McTominay na Van de Beek ile seriously?..