Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwaio impact ya Anthony ni pre season,? Mtu yupo tangu msimu uliopita wote ule


Tukiwaita nyumbu mtasema tunawatukana?
Game ya kwanza Antony alipotua EPL alicheza na kina nani?Na goli alilowabandua walikua ni kina nani??

Aisee kesho ifike tu izi kenge haziishagi mdomo mpaka pale Jini litapomtokea Ramsdale mara 3
 
Man United manager Erik ten Hag has demanded the club sign Aurelien Tchouameni from Real Madrid!

(Source: SPORT)
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230806_003325_274.jpg
 
Man United manager Erik ten Hag has demanded the club sign Aurelien Tchouameni from Real Madrid!

(Source: SPORT)
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2709655
Kwahiyo habari ya AMRABAT ndio inaishia hapo?
 
Game ya kwanza Antony alipotua EPL alicheza na kina nani?Na goli alilowabandua walikua ni kina nani??

Aisee kesho ifike tu izi kenge haziishagi mdomo mpaka pale Jini litapomtokea Ramsdale mara 3
Kufunga mechi ya kwanza haiondoi pale mlitapeliwa Kama mnavyotapeliwa Sasa kwa mount ana Mwaka mmoja na nusu ana goli 1 na assist 1
 
Onana ni bonge moja la kipa la goli, tena usije thubutu kumfananisha hata kidogo na nyanda za juu kusini wenu Rasmadale.
Wachezaji pekee wanaoweza kumfunga Onana ni wale maprofessional wa kutungua maembe kwa kutumia mawe (Sniper) tena usijidanganye kabisa kwa wachezaji wa Asenyo kama Sakaya, Matololi, Jasusi wanaweza kumfunga MG(Midfielder Goalkeeper) André Onana hata goli la offside.
Kwa Onana huyu subirieni vilio tu
 
Mkuu kwa mtu Kama mount nimetulia, coz ndio anaanza maisha

Ila huyu Antony case yake tofauti, Kama pure mathematics upo vizuri
Kuna topic inaitwa differential equations, nazungumzia exponential curve ya Anthony ni rahisi kui-predict itakuaje. Japo nilisema time will tell
Mount anacheza Kama veterani Mimi namuhesabia kama alishamalizaga mpira kipind Cha Tuchel , alikuwa anajituma kwa lampard ,

Ana mwaka na nusu toka afunge goli , mvivu kukaba ,

Huyo tegemea kuingia top kwenye sajili za kitapeli episode 1
 
Casemiro akiwa na mpira Kama ana siafu miguuni

Ni mzuri akiwa Hana mpira ,thus why hawezi cheza kwa timu possession based
 
Casemiro akiwa na mpira Kama ana siafu miguuni

Ni mzuri akiwa Hana mpira ,thus why hawezi cheza kwa timu possession based
Yaan ww jamaa sumtym nakuona kama wale mashabiki tim,na sio mpira,....

Ukiwa shabiki wa football,sio arsenal pekeake,utaenjoy sana na itakuondolea unafiki.

Hivi kweli kuna shabiki mkweli wa mpira asiyeufahamu ubora wa Casemiro?au sababu anachezea Man u?

Na mara nyingi naona jinsi unavomzungumzia Maguire,kwamba ni beki mzuri sana,unafiki wa kiwango cha juu saaana.......
 
Yaan ww jamaa sumtym nakuona kama wale mashabiki tim,na sio mpira,....

Ukiwa shabiki wa football,sio arsenal pekeake,utaenjoy sana na itakuondolea unafiki.

Hivi kweli kuna shabiki mkweli wa mpira asiyeufahamu ubora wa Casemiro?au sababu anachezea Man u?

Na mara nyingi naona jinsi unavomzungumzia Maguire,kwamba ni beki mzuri sana,unafiki wa kiwango cha juu saaana.......
Huyo Mc Masingeli hayo anayoyaongea hayatoki moyoni ni utani wa jadi tu mkuu usimchukulie serious sana.
Anapoamua kuweka utani pembeni hua anaongea vitu realy sana hata huyo Casemiro mara kibao tu hua anamsifia, yeye adui wake wa kudumu ni Antony Masebene huyu hata Siku moja hajawahi kumzungumzia vizuri tokea alipowagonga goli na kuwafanyia hivi
Screenshot_20230103_113831.jpg
 
Happy 40th Birthday, Robin van Persie!


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230806_153313_783.jpg
 
Nottingham Forest are closing in on the signing of Arsenal keeper Matt Turner.

This could mean that Forest don’t sign Dean Henderson.


[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230806_153237_632.jpg
 
Back
Top Bottom