Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Achana na Onana mikono mia
angalia simanzi za nyumbu wakuu huko England View attachment 2709256
Onana alitakiwa kuwa mchezaji kiungo au beki lakini si kipa. Hata alipokuwa akiichezea Cameroon kwenye World Cup 2022, alitofautiana na kocha wake kwa sababu ya kucheza wanjani na kuacha goli wazi hadi ushiriki wake wa michuano hiyo ulipokatishwa
 
Huyu Fremason Mount mbona kama ana uWighorst ndani yake?
Unakosaje sasa kufunga goli uko peke yako tu na kipa?
Hivi Chelsea mnatuchukuliaje kwani?
Kwani pesa yenu mshalipwa yote maana dirisha bado liko wazi.
Shopping tumeshafanya hata dhumuni hatuna, pambaneni na hali yenu
 
Shopping tumeshafanya hata dhumuni hatuna, pambaneni na hali yenu
Baada kupigwa sana kwenye sajili za kitapeli naona na nyinyi mkaanza rasmi kujifunza technic za utapeli?
Hizi biashara za kitapeli mlizoanza nazo msimu huu kwa Kai Harvez na FreeMason naona ni mwanzo mzuri sana kwenu kuingia kwenye chama la matapeli.
 
Kuna kichwa cha Rashidi aafu kuna kichwa cha Case aafu kuna kichwa cha CR7 hivi vichwa vinalijua goli kuliko miguu yao

Gernacho akikaa huu upande

Enewei tusubiri kichapo anachokula Aseno jioni ya Leo wakati tukishuhudia West ham akipokea kipigo kitakatifu
Arsenyo sio leo ni kesho ndio anauchezea upara wa Pep.
 
Ila kuna wachezaji wengine wanasajiliwa unabaki tu kukaa kimya labda watabadilika
Kama onana lazima de gea tutamuomba tena kwa mkopo
Leo kacheza vizuri, kafanya saves za muhimu. Lile goli wenzie ndiyo wamemponza. Yeye kama kipa anapaswa kujua mapungufu ya mabeki wake, Martinez tu ndiyo ana utulivu miguuni.

Hizi errors ni muhimu kwake kabla msimu haujaanza ajue kabisa vitu gani asijaribu kufanya.
 
Arsenyani leo hawaleti uchambuzi wa Antony?
Leo wanajificha kwa Onana na clean sheet.
Arsenyo wenyewe wanatambua mechi ijayo ya Epl na Man Utd Masebene lazima atawafanya kitu mbaya.
3424471-985379829.jpg
 
Hatimaye leo Antony masebene ameweza kufunga goli, kwenye michezo ya maandalizi ya msimu 23/24

Mara ya mwisho kufunga goli alifunga 16/04 dhidi ya Nottingham Forest

Hivyo basi Antony masebene anawastani wa kufunga goli 1 kila baada ya Miezi mi 3
20230729_152639.jpg
 
Back
Top Bottom