KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,769
- 4,389
Muhimu "Katoka golini" tena zaidi ya OnanaNdio anavyofanyaga hivyo kila inapotokea kona au zikiwa zimebaki dk 2 na wanaongozwa
BTW kuna moja alifanya wakiwa 1-1 na akafunga la pili kwa kichwa sio tu wakiwa wanaongoza


