Comparison ya ETH na hawa ipo kwa aina ya Uchezaji, Mwanzo ETH akiwa na AJAX ya Kwanza alikuwa anacheza zaidi Possession Game {Hapa alireplicate Game ya Pep}, na alitegemea zaidi CM's ila Awamu ya Pili baada ya timu kubomoka alitengeneza timu inayofanya Transition zaidi kwa aina ya Players alokuwa nao
Kwa sasa hivi UTD yake inaenda fanana zaidi na Timu ya Klopp kwa aina ya Uchezaji mana Inategemea zaidi Transitions, Hizi zaidi ni zile fast Break baada ya kupata Mpira, CITY wanaeza pata Mpira na kuanza piga sideways Passes kwa sababu wana ubora katika hilo na kufanya Build Up kwenda kushambulia kwa kutumia Nafasi zaidi, UTD na LIVERPOOL inakuwa tofauti Shambulizi zao Mingi zinategemea Mikimbio ya Players wake na Ndo mana Liver wanakuwa hatari zaidi wakiwa wanakuja baada ya kunyang'anya Mpira sawa ya na UTD na ndo inapoelekea
View attachment 2706261
Hapa i Chose to Differ, Klopp akianza julikana na Dortmund alikuwa na CM's Soft sana kama unavyowaita Mana alikuwa na Nuri Sahin na Shinji kagawa, Baadae ikawa ni Goetze na Marco Nyuma ya Robert, {Timu zake huwa na Punda, na Dort alikuwa ni Grobkeutz na Kuba}
Sasa hivi amemchukua Szoboszlai na McAllister ambao ni Type za kina Ericksen, FDJ anacheza timu yeyote na Mfumo wowote na hata ukiangalia kitakwimu ana-Balance Game yake kwenye zones zote za Uwanja, Angalia hapa Chini kati ya hao walosajiliwa na wametoka kwenye timu za High Tempo {RB Liepzig} na {Brighton} dhidi ya FDJ
View attachment 2706270
Kwa nini nakwambia UTD inaenda fanana zaidi na Klopp, ni kwa sababu hii ulosema, Rashford Last season amekuwa na msimu bora maana amekuwa akitumika shambulia hizo half Space {Nafasi kati ya CB na Fb} LIVERPOOL Ikiwa na Miaka Productives 18/19~19/20~20/21 watu hatari zaidi walikuwa ni Salah na Mane sababu Firmino anajua Drop Chini na kuwa kama Additiona Attacking Midfielder, Season Ilopita wameteseka na Injuries na Mabadiliko ya Timu
Hojlund ni Monster kwenye Transition na Ndo mana ETH alikuwa Target yake ya kujilipua ingawa Awali alikuwa anamtaka Kane mana Harry anajua Drop chini na kufanya kazi kama ya Firmino, So Ufananisho wa ETH na Klopp kwa aina ya Game anacheza na anataka icheza ni Mkubwa Chief!