Nyumbu hizi sajili zenu mmeamua kuweka mafenesi, matikiti maji, matembele, mapeazi, matango na maindi ya kuchemsha sehemu mmoja.


Aiseee kweli nyani haoni kundule. Sio kwa ubaya ila tunawakumbusha, mtatakiwa kuwalipa MONACO takribani £ 7.2 millions endapo ANTHONY MARTIAL akishinda BALLON D'OR.
MSISAHAU. ASANTENI.
David Moyes showed respect to united by not losing 7-0 to mutants, 7Hag did it in his first six months.A Dutch David Moyes
Acha kumwambia ukweli.suicide is realAiseee kweli nyani haoni kundule.
Yale maparachichi, mabilinganya, mastafeli , nyanya chungu, majani ya maboga na makabechi yenu yamewasaidia nini zaidi ya kutaka kuwashusha daraja?


Clean sheet sio makalio kwamba kila mtu anayoHuyu Onana ana cleansheet ngapi toka ajiunge Manchester?
Wenzetu facilities zinafanyiwa matengenezo kila msimu. Hasa pitch.Old Trafford is ready for the new season
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2707664
OyaOnana lazima wamtungue tena leo


Dakika ndio zinazidi kukaribia, fanyeni kujisogeza mapema kwenye vibanda umiza mpate kushuhudia burudani kabambe kabisa toka kwa vijana machachari wa 10Hag.Oya
Sema Leo wameweka kikos Kaz ,hapa tutajua wanaenda kugombea nn msimu ujao
Saa nane na dakika 45Mechi saa ngapi wakuu?







