Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Antony pamoja na kuwa hana hatari kiasi hicho ila ni msaada kwetu kwa ule upande Sancho au Rashford hawakabi wakicheza kule, pili beki timu hawezi kupanda kushambulia kama akiwepo Antony upande ule hiyo ni faida kwetu
Kabisa mkuu dogo mimi huwa namtizama kwa jicho hilo mara nyingi akitoka uwanja unainama sababu mabeki wanakuwa huru sana refer ile mechi na Arsenal alivyotoka tu Zenchenko akaanza kupanda na kutoa assist.

Nilichogundu washabiki wengi wanatupia mchezaji mmoja mmoja lawama kwa kuwa timu huwa haishindi, ila timu ikaanza kucheza kitimu na kushinda huwezi kuona hizi lawama.

Man u tumekuwa na matatizo yetu ambaye yamechangia kuua viwango vya wachezaji, Sancho, Martial, Antony, Maguire, Van Debeek walikiwasha kule walipotoka kwa nini kwa man u wamefeli? Binafsi naona tatizo lilikuwa mfumo wa uchezaji na ulichangiwa na kipa. Tusubiri msimu ujao.
 
Wazee wa ngwasuma tunaludi Tena kwa Mara nyingine kugawa burudani majirani wote karibuni sana mpate burudani kabambe.

Manchester United inacheza na dunia nzima ina furaha

Dortmund 2 vs Manchester United 4
Screenshot_20230730-195828.jpg
 
United Fans can keep their mouths shut on big transfers….

Here are your flops from the last 10 years:

Lukaku £75Mil - flopped
Pogba £89Mil - flopped
Sancho £73Mil - Is a flop
Anthony £82Mil - Is a flop
Maguire £80Mil - Is a flop
Di Maria £59Mil - Flopped
Mount £60Mil - Already Flopping
Martial £54Mil - Is a flop
 
United Fans can keep their mouths shut on big transfers….

Here are your flops from the last 10 years:

Lukaku £75Mil - flopped
Pogba £89Mil - flopped
Sancho £73Mil - Is a flop
Anthony £82Mil - Is a flop
Maguire £80Mil - Is a flop
Di Maria £59Mil - Flopped
Mount £60Mil - Already Flopping
Martial £54Mil - Is a flop
 
HATUNA KIPA
Ukiskia "Kipa katoka" ndo huyu sasa Andre..Hapa kwa Onana upara atafute mbadala mapema sana...kama ni yule mjapan amsajili mapema sana kabla havijaumana..tutamkumbuka DDG sanaa
Chuma 2 ndani ya dakika 1 kwa team ambayo tumeimiliki na kuimudu vizuri?? Amna kipa hapa.....
Unaangalia mechi?
.unalaumu mchezaji ambaye hachezi
 
Unaangalia mechi?
.unalaumu mchezaji ambaye hachezi
Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuja kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
 
Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuja kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
Kazi ya Onana sio kufanya tuutawale mpira, kazi ya Onana ni kuzuia mpira usiingie wavuni, so far kwa hizi mechi mbili alizocheza kashindwa kutekeleza majukumu yake
 
Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
Jamaa wanalaumu wakat hawakutazama mech, kuwaelewesha watu kama hawa n kaz ngumu
 
Mkuu tutamlaumu Onana hapa lakini uzuiaji wa Man Utd bado ni shida sana.
Phil jones
Tuanzebe
Baily and soon Maguire

Hao wote ni CB wanaotakiwa kufanya kazi ya kuzuia wameondoka/wanaondoka and guess what?? Tumemsajili mstaafu John Evans.

Hakuna CB mwingine yyte ambae tupo linked nae ile serious then mnataka tumuamini huyu kocha kuwa atatufikisha nchi ya ahadi
 
Back
Top Bottom