christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Akitua Ambrat nina uwakika msimu ujao tutatoa upinzani mkali nmo kwa Man City naamini hawatakuwa na hamu ya kukutana na sisi. Kwa kikosi hiki kila mchezaji atahimarika.HØJLUND IS A RED! 🔴🇩🇰
Maguire na Fred waondoke sasa tulete Amrabat na CB.
