Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Jambo kubwa unalosahau ni kwamba EtH ameajiriwa. Usitegemee ipo siku utamsikia akiongea vibaya kuhusu waajiri wake.He is Glazer's puppet usitegemee hili kutokea mapema, what is doing now ni kuendelea kuwajaza mahela Glazers by offloading highest paid players na kuwa replace na low and cheap players huku akiwaaminisha mashabiki kuwa Werghost ni bora kuliko Cr7.
SevenHag ame manage kuwa brainwash mashabiki na kuwaaminisha kupigwa SABA BILA na biggest rival ni jambo la kawaida, kwa timu inayo jitambua hii ilikua ni sababu tosha ya kurudishwa uholanzi.
Hata Solskjaer aliitwa "Glazer's puppet" ila alipoondoka aliongea ukweli kuhusu Glazers.
Weghorst siyo bora kuliko Ronaldo. Baada ya EtH na Ronaldo kushindwa kuelewana Ronaldo ndiyo alienda kufanya interview ya kuwaongelea Glazers vibaya pamoja na kocha.
Sehemu kubwa ya interview yake aliwaongelea vibaya wamiliki / waajiri wake. EtH hana nguvu ya kumfukuza mchezaji yoyote yule mwenye mkataba na United. Ronaldo alikubali kuvunja mkataba baada ya kukubaliana na uongozi wa timu.
Weghorst alikuja kwasababu Ronaldo alishaondoka na kocha alitaka squad depth. Tatizo lilianzia kwa Ronaldo mwenyewe.



