Saa 6 usikuNchi niliyopo game ya leo ni saa 5 huko Tanzania ma home saa ngapi?View attachment 2696077
Hatuna uwezo wa kumbeba Mbappe kwa sasa hadi timu hizi Man City,Newcastle na Real Madrid na kidogo Chelsea wanaweza kujitutumua bosi wao mkwanja anamwaga tu.Write your reply...Zanzibarian..
kwa mantiki hiyo ya "United Way" wamlete sasa Kylian Mbappe
MU appMkuu Chief-Mkwawa, heshima yako
Naomba nisaidie link kwa ajili ya kustream
0007Nchi niliyopo game ya leo ni saa 5 huko Tanzania ma home saa ngapi?View attachment 2696077




Kumleta mbappe kwa timu yako nikutafuta matatizo mengine tuHatuna uwezo wa kumbeba Mbappe kwa sasa hadi timu hizi Man City,Newcastle na Real Madrid na kidogo Chelsea wanaweza kujitutumua bosi wao mkwanja anamwaga tu.
Zaidi ya hapo kama ataondoka bure mwakani sipati picha vita ya kumpata ndani utawakuta hizo timu juu na Arsenal ndani.
Wazee wa ngwasuma tunaludi Tena kwa Mara nyingine kugawa burudani majirani wote karibuni sana.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Arsenal 2 vs Manchester United 4
Wenger orphans wanachocheza nacho hamkijui hakika kitawarambaView attachment 2696193

mech ya Leo naenda hasa kuangalia tactics ,je mmebadilika ,je viungo wenu ambao hawawez kukaa na Mali wanachezaje au 7hag ata keep possession kwakutumia backline
Chelsea wanarudi back 2005Akutukanaye
View attachment 2696220
Ndio hapo ukiachana na kipesa wasiwasi nyingine ni kuvuruga dressing room mfano halisi baada ya World Cup PSG wamefungwa game za kutosha na vitimu vyeny uwezo mdogo sana kwao tena kwa kufululiza hapo lazima ujue kuna kitu hakipo sawa.Kumleta mbappe kwa timu yako nikutafuta matatizo mengine tu
Huyo aende Madrid pale hawez kuwababaisha
Back 2005 kwamba wanakuja kutishia tena amani EPL amaChelsea wanarudi back 2005
Zidane Iqbal - £857k
FC Utrecht
Ethan Laird - £750k

Tahith Chong - £1m

Anthony Elanga - £15m

Alex Telles - £4m

Total Estimated Profit: ~£22m





