Gaygooners bhanaTulikua kwenye revolution of squad
Mkuu kikosi chetu misimu miwili nyuma Bora ya hiki chenu
Huyo magwaya ni mzuri sana, sisi tulikua na Mustafa, muda wowote anachoma kibanda na Wala hajari
Unazungumzia arsenal ambayo inakikosi ghari dunia nzima
Sasa kuanza hapa maji mtaita mma
This time around Kama tusipogawana points na city Basi tunaondoka na points zote 6
Kwa city tunasubiri bernado asepe, gundogan yeye tayari amesepa
Nyumbu points 6
Kenge points 6
Liverpunda points 6
Newcastle points 6
Brighton points 6
Spurs points 6
Ndio maana Kule the Gunner watu tumeshaanza kufanya party ya ubingwa
Mechi ya mwisho na livapuli mlisema hivyo hivyo mtawapress na kuwaoverload, ila kilichowapata dakika 45 za kipindi cha pili mwenyewe ukaamua kukimbilia mafichoni mpaka ligi inaishaLeo tutawachezesha rumba pale kati




Hivi ni nini huwa kinafanya arsenal waamini ni timu bora kiasi cha kuogopwa hivi?mbona hujiamin Sasa kwahiyo unasubiri miujiza ?
Mkitufunga itakuwa sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea
Kama hivi
Wewe ni Liverpool?Mechi ya mwisho na livapuli mlisema hivyo hivyo mtawapress na kuwaoverload, ila kilichowapata dakika 45 za kipindi cha pili mwenyewe ukaamua kukimbilia mafichoni mpaka ligi inaisha![]()
Halafu huyu mpuuzi ndio eti anataka aimiliki United.
Nafuu ya kubaki na Glazers wenye uhakika wa kutoa €200m+ kwa usajili kila mwaka kuliko kuwa chini ya huyu Levy Pro Max Dr.Shika wa UK. View attachment 2695990




Kafanye analysis yako vzr kabisa , utagundua timu yenu bado manahitaji misimu miwili zaidiHivi ni nini huwa kinafanya arsenal waamini ni timu bora kiasi cha kuogopwa hivi?
Timu ambayo msimu wao bora wametuzidi point 9 sisi tukiwa na msimu mbaya wa kuunga unga.
Rashford
GoalKwenye mchezo wa mpira hili ndilo lengo kuu haya mambo ya possession,pressing,overload build-up huwa ni kachumbari tu. Na ukitaka kujenga nyumba unaangalia nyenzo zilizo jirani kabla ya kuamua ujenge nyumba ya t0pe,tofali au ya bords tu.Leo Vs Arsenal nataka nione Kama uchezaji wenu umebadilika au uleule pasi kwa BrunoRashford
Goal![]()
Kwa mpira wenu huo bado hamuwez mbio ndefu ,Kwenye mchezo wa mpira hili ndilo lengo kuu haya mambo ya possession,pressing,overload build-up huwa ni kachumbari tu. Na ukitaka kujenga nyumba unaangalia nyenzo zilizo jirani kabla ya kuamua ujenge nyumba ya t0pe,tofali au ya bords tu.
Hayo yatakuwa solved kikubwa kocha hachekagi na musenge yoyote hasa kwa Antony itafuka time atawekwa pembeni nafuu ajaribu kuwaamini vijana wengine.Kafanye analysis yako vzr kabisa , utagundua timu yenu bado manahitaji misimu miwili zaidi
Casemiro ni 30+ hatujui yanaweza mkuta ya fabinho tumeona alivyoporomoka ukifika huo umri hasa kwa viungo wanaokaba na kutumia energy kubwa
Casemiro hawez kwenda mechi 3 bila yellow card 2 au red card 1
Hamna mbadala sahihi
Bado hamna beki wa Kati wa maana ukitoa licha
Maeneo mengi Yana udhaifu
Tunayasema haya sio kwa ubaya ,maana mpira mchezo wa wazi,
Hapo sijazungunzia consistency ya rashidi ,ujinga wa Anthony masebene ,
Ila nyie mnataka muambiwe mpo vizuri ,Mimi sitakuwa surprised mki struggle this season
Leo Vs Arsenal nataka nione Kama uchezaji wenu umebadilika au uleule pasi kwa BrunoRashford
Goal
Game ni saa ngapi mkuu?Mkuu Chief-Mkwawa, heshima yako
Naomba nisaidie link kwa ajili ya kustream
SAA 6 USIKUGame ni saa ngapi mkuu?