Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni Kwa Vile Tu Sheria Za Kukimbia Mechi Ni Kali.

Manchesta Leo Wangetukimbia Wasingekuja Uwanjani.Siyo Kwa Arsenal Hii Braza Hakuna Kocha Anayetamani Kukutana Na Arsenal..!
20230722_094201.jpg
 
Tulikua kwenye revolution of squad
Mkuu kikosi chetu misimu miwili nyuma Bora ya hiki chenu

Huyo magwaya ni mzuri sana, sisi tulikua na Mustafa, muda wowote anachoma kibanda na Wala hajari

Unazungumzia arsenal ambayo inakikosi ghari dunia nzima
Sasa kuanza hapa maji mtaita mma
This time around Kama tusipogawana points na city Basi tunaondoka na points zote 6
Kwa city tunasubiri bernado asepe, gundogan yeye tayari amesepa

Nyumbu points 6
Kenge points 6
Liverpunda points 6
Newcastle points 6
Brighton points 6
Spurs points 6

Ndio maana Kule the Gunner watu tumeshaanza kufanya party ya ubingwa
Gaygooners bhana
 
Leo tutawachezesha rumba pale kati
Mechi ya mwisho na livapuli mlisema hivyo hivyo mtawapress na kuwaoverload, ila kilichowapata dakika 45 za kipindi cha pili mwenyewe ukaamua kukimbilia mafichoni mpaka ligi inaisha
 
mbona hujiamin Sasa kwahiyo unasubiri miujiza ?

Mkitufunga itakuwa sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea
Hivi ni nini huwa kinafanya arsenal waamini ni timu bora kiasi cha kuogopwa hivi?
Timu ambayo msimu wao bora wametuzidi point 9 sisi tukiwa na msimu mbaya wa kuunga unga.
 
Halafu huyu mpuuzi ndio eti anataka aimiliki United.

Nafuu ya kubaki na Glazers wenye uhakika wa kutoa €200m+ kwa usajili kila mwaka kuliko kuwa chini ya huyu Levy Pro Max Dr.Shika wa UK.
Screenshot_20230722-012843.jpg
 
Mechi ya mwisho na livapuli mlisema hivyo hivyo mtawapress na kuwaoverload, ila kilichowapata dakika 45 za kipindi cha pili mwenyewe ukaamua kukimbilia mafichoni mpaka ligi inaisha
Wewe ni Liverpool?
 
Hivi ni nini huwa kinafanya arsenal waamini ni timu bora kiasi cha kuogopwa hivi?
Timu ambayo msimu wao bora wametuzidi point 9 sisi tukiwa na msimu mbaya wa kuunga unga.
Kafanye analysis yako vzr kabisa , utagundua timu yenu bado manahitaji misimu miwili zaidi

Casemiro ni 30+ hatujui yanaweza mkuta ya fabinho tumeona alivyoporomoka ukifika huo umri hasa kwa viungo wanaokaba na kutumia energy kubwa

Casemiro hawez kwenda mechi 3 bila yellow card 2 au red card 1

Hamna mbadala sahihi

Bado hamna beki wa Kati wa maana ukitoa licha

Maeneo mengi Yana udhaifu


Tunayasema haya sio kwa ubaya ,maana mpira mchezo wa wazi,

Hapo sijazungunzia consistency ya rashidi ,ujinga wa Anthony masebene ,


Ila nyie mnataka muambiwe mpo vizuri ,Mimi sitakuwa surprised mki struggle this season

Leo Vs Arsenal nataka nione Kama uchezaji wenu umebadilika au uleule pasi kwa Bruno Rashford Goal
 
Leo Vs Arsenal nataka nione Kama uchezaji wenu umebadilika au uleule pasi kwa Bruno
emoji3495.png
Rashford
emoji3495.png
Goal
Kwenye mchezo wa mpira hili ndilo lengo kuu haya mambo ya possession,pressing,overload build-up huwa ni kachumbari tu. Na ukitaka kujenga nyumba unaangalia nyenzo zilizo jirani kabla ya kuamua ujenge nyumba ya t0pe,tofali au ya bords tu.
 
Kwenye mchezo wa mpira hili ndilo lengo kuu haya mambo ya possession,pressing,overload build-up huwa ni kachumbari tu. Na ukitaka kujenga nyumba unaangalia nyenzo zilizo jirani kabla ya kuamua ujenge nyumba ya t0pe,tofali au ya bords tu.
Kwa mpira wenu huo bado hamuwez mbio ndefu ,

Time will tell
 
Kafanye analysis yako vzr kabisa , utagundua timu yenu bado manahitaji misimu miwili zaidi

Casemiro ni 30+ hatujui yanaweza mkuta ya fabinho tumeona alivyoporomoka ukifika huo umri hasa kwa viungo wanaokaba na kutumia energy kubwa

Casemiro hawez kwenda mechi 3 bila yellow card 2 au red card 1

Hamna mbadala sahihi

Bado hamna beki wa Kati wa maana ukitoa licha

Maeneo mengi Yana udhaifu


Tunayasema haya sio kwa ubaya ,maana mpira mchezo wa wazi,

Hapo sijazungunzia consistency ya rashidi ,ujinga wa Anthony masebene ,


Ila nyie mnataka muambiwe mpo vizuri ,Mimi sitakuwa surprised mki struggle this season

Leo Vs Arsenal nataka nione Kama uchezaji wenu umebadilika au uleule pasi kwa Bruno Rashford Goal
Hayo yatakuwa solved kikubwa kocha hachekagi na musenge yoyote hasa kwa Antony itafuka time atawekwa pembeni nafuu ajaribu kuwaamini vijana wengine.

Kwa Casemiro hilo linafahamika ndio maana anafuatiliwa Amrabat.

Kwa Rashford itaangaliwa progress ya Garnacho ndani ya misimu miwili kijana asipokuwa na mambo mengi halafu Rashford akiendelea kucheza kifaza atapoteza namba mbele ya kijana
 
Back
Top Bottom