Kafanye analysis yako vzr kabisa , utagundua timu yenu bado manahitaji misimu miwili zaidi
Casemiro ni 30+ hatujui yanaweza mkuta ya fabinho tumeona alivyoporomoka ukifika huo umri hasa kwa viungo wanaokaba na kutumia energy kubwa
Casemiro hawez kwenda mechi 3 bila yellow card 2 au red card 1
Hamna mbadala sahihi
Bado hamna beki wa Kati wa maana ukitoa licha
Maeneo mengi Yana udhaifu
Tunayasema haya sio kwa ubaya ,maana mpira mchezo wa wazi,
Hapo sijazungunzia consistency ya rashidi ,ujinga wa Anthony masebene ,
Ila nyie mnataka muambiwe mpo vizuri ,Mimi sitakuwa surprised mki struggle this season
Leo Vs Arsenal nataka nione Kama uchezaji wenu umebadilika au uleule pasi kwa Bruno

Rashford

Goal