Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dogo wawahishe pesa tu kabla ya Jumatatu tunampta tena kusiwe na negotiations nyingi wakaruhusu mwanya wa PSG kumuwahi
Kwanza dogo ni shabiki wa United yani watakachofanya United ni kama kumsukuma mlevi tu.

Tukichelewa lazima PSG watatuma offer wanayotaka Atalanta na watampa dogo mkataba mnono akiona United wanajivuta anaweza badili mawazo maana hata agent wake atamshauri.
 
Enrique anamtaka Hojlund ila makocha wa JF wakiskia ni EtH anamtaka utaskia "EtH hana talent ID".

Sikia Enrique sio kwamba anamtaka as target man , halafu PSG sajili zao hazijawahi kueleweka

Talent ID na kumtaka mchezaji ni vitu viwili tofaut

Huyo huyo Hojlund anaweza kuja manjesta ukaona Bora ya Weghost ambaye hakufunga goli hata 1
 
PSG are ready to pay €60m for Rasmus Hojlund. Luis Campos and his agent have been discussing figures for several weeks now.


#Tanziloic
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2695534
Kishaumana hapa😂😂😂😂,dah hii timu yangu jamani lazima tupate upinzani tu dah
 
man u hamna kitu maneno mengi utendaji sifuri, yatajirudia yale yale ya gakpo na min jae.
Ishu sio maneno mengi ni kwamba wapo slow,ukiachana na kukataliwa Man United wakiamua serious kumtaka mchezaji hawamkosi kwa sababu hela yoyote huwa wanatoa.


Shida ipo kwa timu ya kushughulikia masuala ya usajili unaweza ukakuta negotiations za mchezaji mmoja zinaweza kuchukua hadi wiki 3 hata mwezi kabisa.


Truthfully navutiwa na kamati ya usajili ya Liverpool kama ingekuwaga FSG wanatoa sana pesa huenda wangekuwa tishio zaidi ya sasa maana huji kuona tetesi za hovyo kwao wakimtaka mchezaji wiki haiishi washambeba mfano halisi ni sajili za Diaz,Nunez,Gakpo,Mac Allister na Szobozlai zimefanyika fasta sana.

Sasa ukija kwetu wapo kama kobe mazungumzo wanafanya hadi mwezi mchezaji mmoja.
 
Ishu sio maneno mengi ni kwamba wapo slow,ukiachana na kukataliwa Man United wakiamua serious kumtaka mchezaji hawamkosi kwa sababu hela yoyote huwa wanatoa.


Shida ipo kwa timu ya kushughulikia masuala ya usajili unaweza ukakuta negotiations za mchezaji mmoja zinaweza kuchukua hadi wiki 3 hata mwezi kabisa.


Truthfully navutiwa na kamati ya usajili ya Liverpool kama ingekuwaga FSG wanatoa sana pesa huenda wangekuwa tishio zaidi ya sasa maana huji kuona tetesi za hovyo kwao wakimtaka mchezaji wiki haiishi washambeba mfano halisi ni sajili za Diaz,Nunez,Gakpo,Mac Allister na Szobozlai zimefanyika fasta sana.

Sasa ukija kwetu wapo kama kobe mazungumzo wanafanya hadi mwezi mchezaji mmoja.
"Sasa ukija kwetu wapo kama kobe mazungumzo wanafanya hadi mwezi mchezaji mmoja." ndiyo hayo maneno mengi nayomaanisha mazungumzo gani ayo wanafanya Kwa muda mrefu hivo kwa mchezaji mmoja tu, na huyu onana wanabahati tu hakuna timu kubwa ya level ya united imeonesha interest na kupeleka ofa inter vinginevyo wasingempata.
 
Ishu sio maneno mengi ni kwamba wapo slow,ukiachana na kukataliwa Man United wakiamua serious kumtaka mchezaji hawamkosi kwa sababu hela yoyote huwa wanatoa.


Shida ipo kwa timu ya kushughulikia masuala ya usajili unaweza ukakuta negotiations za mchezaji mmoja zinaweza kuchukua hadi wiki 3 hata mwezi kabisa.


Truthfully navutiwa na kamati ya usajili ya Liverpool kama ingekuwaga FSG wanatoa sana pesa huenda wangekuwa tishio zaidi ya sasa maana huji kuona tetesi za hovyo kwao wakimtaka mchezaji wiki haiishi washambeba mfano halisi ni sajili za Diaz,Nunez,Gakpo,Mac Allister na Szobozlai zimefanyika fasta sana.

Sasa ukija kwetu wapo kama kobe mazungumzo wanafanya hadi mwezi mchezaji mmoja.
Hizo sajili zote za Liverpool ulizotaja hapo ni sababu Zina Release clause

Vipi kuhusu mancity na Josko, Chelsea na caicedo ?
 
Nyie kesho mnatakiwa mpigwe hata 5 mrudi sokon
20230722_000727.jpg
 
Hizo sajili zote ni kwa sababu timu zao zinajishauri kuwaachia hao wachezaji ila wangekuwa washawauza muda tu
Msiwalaumu Sana mabaosi wa man u usajili mgumu Sana Chelsea na mancity si wameambiwa watoe 100 kwa hao wachezaji mbona wanashindwa kuwachukua mwezi na zaidi
Man u ndio waonekana wanakawia
 
Mdau kutoka Facebook

De gea kipa bora epl msimu ulioisha tunamwacha anaondoka bure halafu sisi tunasajiri shati onana hii epl sio kama ligi yawakulima uholanzi au italia kipa inatakiwa awe mzuri kwenye saves kuliko mbwembwe zingine kama kuwa mahili kwenye utoaji wa pasi kwa sababu epl hakuna mnyonge watu wanafika golini kama nyuki nakwenye save Onana pazia,huyu kocha akimaliza season hii inayokaribia kuanza nahama nchi



Mjumbe hauwawi
 
Mdau kutoka Facebook

De gea kipa bora epl msimu ulioisha tunamwacha anaondoka bure halafu sisi tunasajiri shati onana hii epl sio kama ligi yawakulima uholanzi au italia kipa inatakiwa awe mzuri kwenye saves kuliko mbwembwe zingine kama kuwa mahili kwenye utoaji wa pasi kwa sababu epl hakuna mnyonge watu wanafika golini kama nyuki nakwenye save Onana pazia,huyu kocha akimaliza season hii inayokaribia kuanza nahama nchi



Mjumbe hauwawi
Allison alitoka ligi ipi?

Mwambie aache ujinga huyo
 
Mdau kutoka Facebook

De gea kipa bora epl msimu ulioisha tunamwacha anaondoka bure halafu sisi tunasajiri shati onana hii epl sio kama ligi yawakulima uholanzi au italia kipa inatakiwa awe mzuri kwenye saves kuliko mbwembwe zingine kama kuwa mahili kwenye utoaji wa pasi kwa sababu epl hakuna mnyonge watu wanafika golini kama nyuki nakwenye save Onana pazia,huyu kocha akimaliza season hii inayokaribia kuanza nahama nchi



Mjumbe hauwawi
Operation ni kuifilisi Manchester United
 
Back
Top Bottom