Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Kwanza dogo ni shabiki wa United yani watakachofanya United ni kama kumsukuma mlevi tu.Dogo wawahishe pesa tu kabla ya Jumatatu tunampta tena kusiwe na negotiations nyingi wakaruhusu mwanya wa PSG kumuwahi
Tukichelewa lazima PSG watatuma offer wanayotaka Atalanta na watampa dogo mkataba mnono akiona United wanajivuta anaweza badili mawazo maana hata agent wake atamshauri.






