Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vitoto ni vyote
Kipa anatoka U21 uko
maino uko U21
Gernacho U21
Bado unauliza watoto wangapi wakati team yako imeweka kikosi cha Uefa
Chagua hapo kwa sub Basi maana walioanza sisi wengi U 23

Sub zetu

White
Tierney
Zinchenko
Kiwior
Partey
Jorginho
Jesus
Trossard
 
[emoji1787][emoji1787] mech ya Leo naenda hasa kuangalia tactics ,je mmebadilika ,je viungo wenu ambao hawawez kukaa na Mali wanachezaje au 7hag ata keep possession kwakutumia backline

But naona mkishindwa kukaa na Mali Basi 4+ inawahusu
EtH kashasema, kufuata identify ya United anataka transition football. Mpaka hapo United haiwezi kukaa kwenye sentensi moja na neno possession.
 
Onana leo hata Sub hayupo.
1690058962583.jpg
 
mechi ya baadae kwa watakaoangalia mpira zingatieni yafuatayo.

asenyani wataupiga mwingi lakini wataishia kufungwa au kupata sare.

mainoo ataupiga mwingi kuliko viungo wote wa asenyani.

baada ya mechi asenyani na benchi lao la ufundi wataenda kukuna kichwa kwasababu hawataamini watakachokiona.
 
Hongereni nyumbu
Nyumbu mpo vizuri[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]

Uchizi wenu wa kujiita Taito Kontenda sijui mtauanza lini?
 
Back
Top Bottom