Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United are preparing their opening bid for Rasmus Højlund!

Told personal terms are 100% agreed. He wants United.

Atalanta told United they don’t want 3 players offered in the deal after initial talks.

Asking price around €65/70m.

Next step: official bid.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230718_180802_453.jpg
 
Rasmus Hojlund was a big #mufc fan as a kid and he is hoping for the move to happen. It’s up to the two clubs. United hoping talks + add-ons can help to reduce his fee.

[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230718_180750_107.jpg
 
Tyrell Malacia ruled out of #mufc's pre-season tour to the USA through injury.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2692186

Huyu dogo pancha hadi pre season. Naona future take hapo united ikapotea gafla
 
De Gea aliibuka kuwa shujaa wa Man United kwa zaidi ya mechi 5 msimu uliopita.

Ningumu kipa kupata tuzo ya Man Of The Match lakini kwa De Gea ilikuwa ni kitu chepesi.

Kwa beki za #Nyumbu na muundo wao wa timu kwenye uzuiaji naona kabisa Onana anaenda kuwa shati pale goliniView attachment 2692086

Hata uwe bora vipi, mbele yako akikaa maguire ni sawa na pazia. Lazima utepete. Na si yeye tu. Ila sasa wanaondoshwa
 
Hivi Arsenyani siku mkifika levels za kutumia €170m kwa wachezaji wawili si mtasema mnashinda Champions League kabisa.

Mnajua kabisa timu akipewa Sheikh Jassim ni miaka mingine ya mateso maana itakuwa ni United na City tu wanapokezana kombe.
Kwani kwa Rice na Kai ni ngapi ?

Rice ni €120m Kai €70m

Total €190m

Sikia manjesta mmetumia pesa nyingi kuliko au sawa na mancity but hakuna maajabu

Newcastle Wana pesa nadhani au kuliko timu zote EPL ,lakin siwaon Zaid ya hapo ,Kuna factors za kuwa na pesa na good management,Kwan Psg Wana maajabu gan na wanamilikiwa na hao hao Qatar airways
 
Manchester United are preparing their opening bid for Rasmus Højlund!

Told personal terms are 100% agreed. He wants United.

Atalanta told United they don’t want 3 players offered in the deal after initial talks.

Asking price around €65/70m.

Next step: official bid.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2692195
Sasa ndio muda wa Bruno kuwa assist master pale EPL misimu 5 mfululizo.
 
BREAKING: Rasmus Højlund wants #mufc - personal terms are 100% agreed.

[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2692190
Huyu jamaa ni mzuri sana ila kung'aa kwake kutategemea sana mawinga. Kwa jinsi utd ya sasa ilivyo na mawinga wa binafsi wakiongozwa na Rashford na Antony huyu jamaa anaweza akaonekana ni Garasa tu kama Werghost, ubinafsi wa safu ya ushambuliaji ya utd imetugharimu sana msimu uliopita that's why tukawa na goli chache za kufunga, hii kitu kocha asipo idhibiti mapema hatutafika mahali. Tunahitaji mawinga aina ya Gigs na Valencia na beki mmwaga maji aina ya Evra ili huyu mwamba ang'ae.
 
Huyu jamaa ni mzuri sana ila kung'aa kwake kutategemea sana mawinga. Kwa jinsi utd ya sasa ilivyo na mawinga wa binafsi wakiongozwa na Rashford na Antony huyu jamaa anaweza akaonekana ni Garasa tu kama Werghost, ubinafsi wa safu ya ushambuliaji ya utd imetugharimu sana msimu uliopita that's why tukawa na goli chache za kufunga, hii kitu kocha asipo idhibiti mapema hatutafika mahali. Tunahitaji mawinga aina ya Gigs na Valencia na beki mmwaga maji aina ya Evra ili huyu mwamba ang'ae.
Hata Ronaldo nwishoni alionekana kama Sarpong kisa hizo winga zisizojitambua haziachii mpira hadi zipokonywe na huonj wakiweka krosi kati kwa striker
 
Kwani kwa Rice na Kai ni ngapi ?

Rice ni €120m Kai €70m

Total €190m

Sikia manjesta mmetumia pesa nyingi kuliko au sawa na mancity but hakuna maajabu

Newcastle Wana pesa nadhani au kuliko timu zote EPL ,lakin siwaon Zaid ya hapo ,Kuna factors za kuwa na pesa na good management,Kwan Psg Wana maajabu gan na wanamilikiwa na hao hao Qatar airways
Hiyo €170m ni up-front nyie wazee wa mafungu sidhani hata kama msha-spend €150m msimu huu mnapenda kuonewa huruma sana. Kroenke tapeli tu hawezi kulipa cash.

Halafu kwani takeover ya Newcastle ilikuwa mwaka gani? Newcastle wana project ya kueleweka nyie imewachukua miaka 7 kufuzu UCL tu halafu unasema unawaona hapohapo!? Tukianza kuangalia mchezaji mmoja-mmoja Arsenyani mmepigwa gape pakubwa sana.

PSG wapo vizuri kama ni UCL hata City amehangaika mara nyingi tu mpaka wamefanikiwa.

Sasa Arsenal na kitimu chenu hicho unataka kusema mnafika levels za PSG au Newcastle kwasasa?
 
Hiyo €170m ni up-front nyie wazee wa mafungu sidhani hata kama msha-spend €150m msimu huu mnapenda kuonewa huruma sana. Kroenke tapeli tu hawezi kulipa cash.

Halafu kwani takeover ya Newcastle ilikuwa mwaka gani? Newcastle wana project ya kueleweka nyie imewachukua miaka 7 kufuzu UCL tu halafu unasema unawaona hapohapo!? Tukianza kuangalia mchezaji mmoja-mmoja Arsenyani mmepigwa gape pakubwa sana.

PSG wapo vizuri kama ni UCL hata City amehangaika mara nyingi tu mpaka wamefanikiwa.

Sasa Arsenal na kitimu chenu hicho unataka kusema mnafika levels za PSG au Newcastle kwasasa?
Wewe jamaa unaongea utopolo Sana

Ila muda utaongea ,mm nimejitolea kukumbusha

Halafu usichojua bado hakuna timu yakulipa upfront €170m,Kuna installments kibao humo ndani ,ukitaka nakupa ushahidi wakutosha

Nakukumbusha hata dili la Pogba lililipwa kwa 2-3 installments ,

Mancity aambaye mnasema ana hela had msimu huu bado analipa pesa ya Grealish
 
Huyu jamaa ni mzuri sana ila kung'aa kwake kutategemea sana mawinga. Kwa jinsi utd ya sasa ilivyo na mawinga wa binafsi wakiongozwa na Rashford na Antony huyu jamaa anaweza akaonekana ni Garasa tu kama Werghost, ubinafsi wa safu ya ushambuliaji ya utd imetugharimu sana msimu uliopita that's why tukawa na goli chache za kufunga, hii kitu kocha asipo idhibiti mapema hatutafika mahali. Tunahitaji mawinga aina ya Gigs na Valencia na beki mmwaga maji aina ya Evra ili huyu mwamba ang'ae.
Angekuwa ni Osimhen angepata shida ila Hojlund siyo goal poacher.
 
The terms in Marcus Rashford’s new #MUFC deal are worth £325,000 per week.


#Times
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2691355
Rashbeck anapokea pesa ndefu kuliko Rodrygo & Vinicius combined, alafu baadae tutaanza kulia lia hapa kwamba tunashindwa kumuuza
 
Wewe jamaa unaongea utopolo Sana

Ila muda utaongea ,mm nimejitolea kukumbusha

Halafu usichojua bado hakuna timu yakulipa upfront €170m,Kuna installments kibao humo ndani ,ukitaka nakupa ushahidi wakutosha

Nakukumbusha hata dili la Pogba lililipwa kwa 2-3 installments ,

Mancity aambaye mnasema ana hela had msimu huu bado analipa pesa ya Grealish
Ukitoa add-ons United walilipa €153m upfront hakuna installments.

Arsenyani dili la Havertz tu kuna 3 installments. Rice mtalipa kwa miaka 2.

Arsenyani pambaneni kwanza kutafuta wawekezaji. United haijawahi kupata investment funds kutoka Glazers na inaweza kuspend €153m kwa wachezaji wawili tu bila kutegemea huruma.

Next season mtamaliza chini ya United. Newcastle wamethibitisha jinsi gani Arsenal na Arteta mnapoteza tu muda. Miaka 7 hamjawahi kusikia UCL Anthem pale Emirates! 😁
 
EXCL: Al Nassr are closing in on deal to sign Alex Telles from Man United, here we go soon! 🟡

There’s verbal agreement now in place between the two clubs, waiting for the documents/check details.

Al Nassr want both Seko Fofana and Telles to join in the next days.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2692188
He's better with impact Left back than our current options
 
Ukitoa add-ons United walilipa €153m upfront hakuna installments.

Arsenyani dili la Havertz tu kuna 3 installments. Rice mtalipa kwa miaka 2.

Arsenyani pambaneni kwanza kutafuta wawekezaji. United haijawahi kupata investment funds kutoka Glazers na inaweza kuspend €153m kwa wachezaji wawili tu bila kutegemea huruma.

Next season mtamaliza chini ya United. Newcastle wamethibitisha jinsi gani Arsenal na Arteta mnapoteza tu muda. Miaka 7 hamjawahi kusikia UCL Anthem pale Emirates!
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12
 
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12
Sasa tangu 2019 mwishoni hadi sasa ni muda gani mmesahau vipigo mlivyochezea nyuma mkaimba Arteta out.

Kila kitu process Kpop ndani ya misimu mitatu ya mwanzo alistruggle namba 3 kwenye ligi imemchukua miaka 4 kujenga timu ya ushinsani.

Pep msimu wa kwanza alichapika sana akamaliza ligi na alana 78,3 zaidi ya alizomaliza nazo ETH.

Ila mnataka Ten Hag afanye miujiza mwaka wa kwanza na timu aliyoikuta ipo kwenye hali mbaya sana.

Alishakwambia coach can't perform magic


Kumaliza juu yetu sio mafanikio makubwa tunataka mmuondoe Man City pale juu sisi hakuna asiyeijua timu yetu
 
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12

Wayne rooney kafundisha team gani ikafanikiwa kuliko ten hag?
Sometimes ushabiki uwekwe pembeni team haijengwi over night
 
Back
Top Bottom