Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

EXCL: Al Nassr are closing in on deal to sign Alex Telles from Man United, here we go soon! 🟑

There’s verbal agreement now in place between the two clubs, waiting for the documents/check details.

Al Nassr want both Seko Fofana and Telles to join in the next days.

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |View attachment 2692188
He's better with impact Left back than our current options
 
Ukitoa add-ons United walilipa €153m upfront hakuna installments.

Arsenyani dili la Havertz tu kuna 3 installments. Rice mtalipa kwa miaka 2.

Arsenyani pambaneni kwanza kutafuta wawekezaji. United haijawahi kupata investment funds kutoka Glazers na inaweza kuspend €153m kwa wachezaji wawili tu bila kutegemea huruma.

Next season mtamaliza chini ya United. Newcastle wamethibitisha jinsi gani Arsenal na Arteta mnapoteza tu muda. Miaka 7 hamjawahi kusikia UCL Anthem pale Emirates!
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12
 
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12
Sasa tangu 2019 mwishoni hadi sasa ni muda gani mmesahau vipigo mlivyochezea nyuma mkaimba Arteta out.

Kila kitu process Kpop ndani ya misimu mitatu ya mwanzo alistruggle namba 3 kwenye ligi imemchukua miaka 4 kujenga timu ya ushinsani.

Pep msimu wa kwanza alichapika sana akamaliza ligi na alana 78,3 zaidi ya alizomaliza nazo ETH.

Ila mnataka Ten Hag afanye miujiza mwaka wa kwanza na timu aliyoikuta ipo kwenye hali mbaya sana.

Alishakwambia coach can't perform magic


Kumaliza juu yetu sio mafanikio makubwa tunataka mmuondoe Man City pale juu sisi hakuna asiyeijua timu yetu
 
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12

Wayne rooney kafundisha team gani ikafanikiwa kuliko ten hag?
Sometimes ushabiki uwekwe pembeni team haijengwi over night
 
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12
Aisee,huyo ateta msimu wa kwanza alifanya nn
 
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12
EtH msimu wa kwanza tu ana kombe na timu ipo UCL.

Arsenyani mmeotea msimu mkajiaminisha mnachukua EPL vipigo vilipoanza wote mkajificha.

EtH ana msimu mmoja tu na atampita Arteta maana hajui anachofanya.
 
EtH msimu wa kwanza tu ana kombe na timu ipo UCL.

Arsenyani mmeotea msimu mkajiaminisha mnachukua EPL vipigo vilipoanza wote mkajificha.

EtH ana msimu mmoja tu na atampita Arteta maana hajui anachofanya.
Arsenal tulishatoka huko ,yaan Carabao mnapiga kelele

Arteta alibeba FA na CS kwa bajeti ya Β£0m akimtandika Pep na klopp ndani ya miez 6 tu,

7hag bado Sana ni kocha wakawaida , ndio maana hata mpira wake ,sajili zake za kubahatisha Sana

Huwez kupewa €250m uitapanye ,
 
EtH msimu wa kwanza tu ana kombe na timu ipo UCL.

Arsenyani mmeotea msimu mkajiaminisha mnachukua EPL vipigo vilipoanza wote mkajificha.

EtH ana msimu mmoja tu na atampita Arteta maana hajui anachofanya.
7hag ni kocha wakawaida huwez kumlinganisha hata na Unai Emery, Di zerbi kimbinu

Msimu huu utanielewa ,wanaoujua mpira kimbinu ,kuanzia sajili wanajua 7hag ni average coach tu ,

Ndio maana Hana project yakueleweka
 
Arsenal tulishatoka huko ,yaan Carabao mnapiga kelele

Arteta alibeba FA na CS kwa bajeti ya Β£0m akimtandika Pep na klopp ndani ya miez 6 tu,

7hag bado Sana ni kocha wakawaida , ndio maana hata mpira wake ,sajili zake za kubahatisha Sana

Huwez kupewa €250m uitapanye ,
Mkuu piga spana hizi nyumbu

Arteta hiki anachokifanya sio kwa bahati mbaya
Tena uchawi ukioneshwa zile papers za project tu, basi hauchomoi

Mlimualika timber kwenye game yenu, Arteta akapiga simu akamuonesha mchoro mzima.
Timber hakufikiria Mara mbili, akamuambia tuonane July

Hivi ninavyoandika timber yupo na Arteta marekani dogo ameenda kupikwa
Kumbuka upande anaotembea timba ndio upande wa bukayo SAKA

Nyie mbuzi maji mtaita mma safari hii

Unapewa Β£250 unatapanya kwa Antony masebene and the likes. Una akili wewe?
 
Mkuu piga spana hizi nyumbu

Arteta hiki anachokifanya sio kwa bahati mbaya
Tena uchawi ukioneshwa zile papers za project tu, basi hauchomoi

Mlimualika timber kwenye game yenu, Arteta akapiga simu akamuonesha mchoro mzima.
Timber hakufikiria Mara mbili, akamuambia tuonane July

Hivi ninavyoandika timber yupo na Arteta marekani dogo ameenda kupikwa
Kumbuka upande anaotembea timba ndio upande wa bukayo SAKA

Nyie mbuzi maji mtaita mma safari hii

Unapewa Β£250 unatapanya kwa Antony masebene and the likes. Una akili wewe?
Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huo ujinga wenu wa kuridhika na vitu vidogo ndo umefanya mmekaa miaka 7 bila kuingia UEFA.

City mwaka jana kawapiga game zote 3, bado unahisi mna kocha bora. Hamna kocha yoyote kwenye top 6 kampa pep point nyingi zaidi ya arteta.
 
Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huo ujinga wenu wa kuridhika na vitu vidogo ndo umefanya mmekaa miaka 7 bila kuingia UEFA.

City mwaka jana kawapiga game zote 3, bado unahisi mna kocha bora. Hamna kocha yoyote kwenye top 6 kampa pep point nyingi zaidi ya arteta.
Tulikua kwenye revolution of squad
Mkuu kikosi chetu misimu miwili nyuma Bora ya hiki chenu

Huyo magwaya ni mzuri sana, sisi tulikua na Mustafa, muda wowote anachoma kibanda na Wala hajari

Unazungumzia arsenal ambayo inakikosi ghari dunia nzima
Sasa kuanza hapa maji mtaita mma
This time around Kama tusipogawana points na city Basi tunaondoka na points zote 6
Kwa city tunasubiri bernado asepe, gundogan yeye tayari amesepa

Nyumbu points 6
Kenge points 6
Liverpunda points 6
Newcastle points 6
Brighton points 6
Spurs points 6

Ndio maana Kule the Gunner watu tumeshaanza kufanya party ya ubingwa
 
Huu upuuzi wa kulipa watu mishahara mikubwa sijui nani alitudanganya, Rashford yule ilitakiwa alipwe 200k tu, mana unajua hakuna team ya kumpa hizo 325, ni pesa ndefu mno, wachezaji wa kulipwa $300 pale UTD hawapo an
Rashbeck anapokea pesa ndefu kuliko Rodrygo & Vinicius combined, alafu baadae tutaanza kulia lia hapa kwamba tunashindwa kumuuza
 
Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huo ujinga wenu wa kuridhika na vitu vidogo ndo umefanya mmekaa miaka 7 bila kuingia UEFA.

City mwaka jana kawapiga game zote 3, bado unahisi mna kocha bora. Hamna kocha yoyote kwenye top 6 kampa pep point nyingi zaidi ya arteta.
Mbona manjesta imekaa miaka 6 bila taji lolote na ilikuwa na matumizi makubwa ya pesa mnasajili magarasa kina Sancho magwaya nm, Anthony
 
Mkuu piga spana hizi nyumbu

Arteta hiki anachokifanya sio kwa bahati mbaya
Tena uchawi ukioneshwa zile papers za project tu, basi hauchomoi

Mlimualika timber kwenye game yenu, Arteta akapiga simu akamuonesha mchoro mzima.
Timber hakufikiria Mara mbili, akamuambia tuonane July

Hivi ninavyoandika timber yupo na Arteta marekani dogo ameenda kupikwa
Kumbuka upande anaotembea timba ndio upande wa bukayo SAKA

Nyie mbuzi maji mtaita mma safari hii

Unapewa Β£250 unatapanya kwa Antony masebene and the likes. Una akili wewe?
Huyu kocha hata kuendeleza vipaji hawezi ,ila wanadanganywa ngoja apate sajili zake

Sajili zake zenyewe Sasa Casemiro miaka 30+

Eriksen miaka 30+ hamalizi dk 45

Anthony masebene €100m

Malacia , Average player

Weghost

Total €250m



20230715_172104.jpg
 
Arsenal tulishatoka huko ,yaan Carabao mnapiga kelele

Arteta alibeba FA na CS kwa bajeti ya Β£0m akimtandika Pep na klopp ndani ya miez 6 tu,

7hag bado Sana ni kocha wakawaida , ndio maana hata mpira wake ,sajili zake za kubahatisha Sana

Huwez kupewa €250m uitapanye ,
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Halafu Community Shield haitambuliki kama major trophy, hiyo ni Super Cup.

Kuhusu Arteta kuwafunga Pep na Klopp ktk hiyo miezi 6 si kwasababu fixtures zilikuwa ndani ya hiyo miezi 6.

Ila kuwafunga Pep na Klopp hata EtH kafanya hivyo ktk msimu wake wa kwanza na akampiga kocha wako Arteta mwanzo wa msimu tu, on top of that kafuzu na UCL.

Arteta hawezi kufika levels za EtH. Nyie hamuwezi hata kufikia mpira wa Ajax uliowatoa Madrid UCL.

Arteta kubeba FA kwa Β£0m budget hayo ni matatizo yenu, sisi pesa ipo.
 
7hag ni kocha wakawaida huwez kumlinganisha hata na Unai Emery, Di zerbi kimbinu

Msimu huu utanielewa ,wanaoujua mpira kimbinu ,kuanzia sajili wanajua 7hag ni average coach tu ,

Ndio maana Hana project yakueleweka
Sishangai ukiwa shabiki wa Arsenal.
 
Huu upuuzi wa kulipa watu mishahara mikubwa sijui nani alitudanganya, Rashford yule ilitakiwa alipwe 200k tu, mana unajua hakuna team ya kumpa hizo 325, ni pesa ndefu mno, wachezaji wa kulipwa $300 pale UTD hawapo an
Anastahili! Wachezaji ndiyo msingi wa biashara ya football. Timu inatengeneza pesa kupitia wao ni haki yao.

Masuala ya kulipana pesa za kitumwa yamebaki Africa tu.
 
Sishangai ukiwa shabiki wa Arsenal.
Mim sishangai kuona mnadanganyana kuhusu 7hag ,maana atakachowafanya najua mtawageukia Grazzer ,wakati wamempa pesa mingi anasajili ujinga

Anataman Sana kucheza total football ila Hana huo uwezo kwa EPL,

Una casemiro miaka 30+ haijulikan atakuwa na kiwango hicho hicho bila injury na suspension ,huna mbadala wake

Una mount tunayemjua hata kukaba hawez

Hatujui Kama Rashford atarudia Tena ile form yake maana ni Kama uyoga Leo sumu kesho chakula

Degea aliyekuwa anaiokoa timu katika mechi 5 Basi 3 anawabeba hayupo


Nimekaa pale naakula popcorn kusubiri kelele za Grazzer out kipindi hicho mnachezea vipigo
 
Halafu Community Shield haitambuliki kama major trophy, hiyo ni Super Cup.

Kuhusu Arteta kuwafunga Pep na Klopp ktk hiyo miezi 6 si kwasababu fixtures zilikuwa ndani ya hiyo miezi 6.

Ila kuwafunga Pep na Klopp hata EtH kafanya hivyo ktk msimu wake wa kwanza na akampiga kocha wako Arteta mwanzo wa msimu tu, on top of that kafuzu na UCL.

Arteta hawezi kufika levels za EtH. Nyie hamuwezi hata kufikia mpira wa Ajax uliowatoa Madrid UCL.

Arteta kubeba FA kwa Β£0m budget hayo ni matatizo yenu, sisi pesa ipo.
Pesa ipo wapi mnasajili kwa kulialia ,Kim jae mmemkosa , kaenda Bayern ,mnazidiwa na bayern kwenye usajili halafu mnasema mna hela

7hag Hana mpira wowote wa maana tumeona last season hapa katumia €250m lakin anacheza Kama Sean Dyche au Tony pulis

Na msitegemee msimu huu atacheza tofauti na last season ,akijaribu hivo atacheze vipigo Kama zile 4-0 first half kwa Brentford

Kocha unayejenga timu unaweza sajili mchezaji kwa €100m ambaye ni average player Kama Anthony,huku una maeneo Kama GK, n.k

Time will tell
 
Back
Top Bottom