Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa mbona Harvertz wa Leverkusen kamzidi Antony wa Ajax kwenye G/A msimu mmoja tu baada ya hapo kilichotokea kinajulikana.

Tatizo lenu huwa hamna facts kutetea points zenu. Mnapiga kelele tu, msimu ukianza ndiyo kila mtu atajua timu ipi inasindikiza wengine.
Mtoe xhaka hapo
Mkuu kwani hauogopi hili jeshi?
IMG-20230706-WA0011.jpg
 
Yani niogope huo uchafu?

Arsenal ni wachezaji wanne tu: Saka, Ødegaard, Rice & Timber.

Hao wengine kama Arsenal ndiyo mnaona mmefika levels za kuwa top club basi bado mna safari ndefu sana.

Muda ndiyo hakimu mzuri.
Et Arsenal ina wachezaji wanne ,

Weka wachezaji wako hapa ,Mimi naweka wa bench ambao kwako wanaanza first eleven
 
Sasa mbona Harvertz wa Leverkusen kamzidi Antony wa Ajax kwenye G/A msimu mmoja tu baada ya hapo kilichotokea kinajulikana.

Tatizo lenu huwa hamna facts kutetea points zenu. Mnapiga kelele tu, msimu ukianza ndiyo kila mtu atajua timu ipi inasindikiza wengine.
Unafananisha mfumo wa Chelkenge na Arsenal?

Chelkenge wale ligi haijaanza Wana points 6 zetu kibindon

Cha ajabu best player wa Chelkenge kwa kila kitu last season Ni Kai
 
Yani niogope huo uchafu?

Arsenal ni wachezaji wanne tu: Saka, Ødegaard, Rice & Timber.

Hao wengine kama Arsenal ndiyo mnaona mmefika levels za kuwa top club basi bado mna safari ndefu sana.

Muda ndiyo hakimu mzuri.
Mkuu hii nimei-save
 
Yani niogope huo uchafu?

Arsenal ni wachezaji wanne tu: Saka, Ødegaard, Rice & Timber.

Hao wengine kama Arsenal ndiyo mnaona mmefika levels za kuwa top club basi bado mna safari ndefu sana.

Muda ndiyo hakimu mzuri.
Wachezaji wa bench Arsenal kwa manjesta wanaanza vzr kabisa

Arsenal have become only the second club in world football to have a squad value worth over €1 billion.

(Source: @TMuk_news)
IMG_20230628_182144.jpg
 
Wachezaji wa bench Arsenal kwa manjesta wanaanza vzr kabisa

Arsenal have become only the second club in world football to have a squad value worth over €1 billion.

(Source: @TMuk_news)View attachment 2684832
Arsenal siyo kwamba mna kikosi kibaya, tatizo hamtaki kukubali ukweli.

Tukipitia kila mchezaji defence yenu yote na kipa siyo wachezaji wanaopaswa kuanza kwenye timu yoyote ile inayopambana kubeba EPL au UCL.

Midfield ni Rice na Ødegaard tu unaweza kuwategemea na siyo Havertz.

Front line pale ni Saka tu, huwezi kutegemea striker kama Jesus ubebe EPL au UCL.

Labda kama nyie wenzetu mna vipaumbele tofauti na kushinda makombe.

Ndiyo maana mimi huwa sipo excited na msimu wowote wa United kwasasa kwasababu nishakubali United haiwezi kushinda EPL wala UCL msimu ujao na ikitokea yatakuwa ni maajabu ktk soka.

Mashabiki wa Arsenal tatizo lenu ni kujipa matumaini makubwa sana. Mna kikosi cha kawaida sana. Msimu ujao mkijitahidi sana ni top 4 place, UCL kule kwa hicho kikosi mnaweza kufika last 16. Makombe ambayo mnaweza kushinda kwa hiyo squad ni FA Cup na Carabao.

Kwa takwimu za msimu ujao nikipanga combined XI ya wachezaji wa United x Arsenal itakuwa hivi.
formation_11_07_2023_ 15_31_42.png
 
Arsenal siyo kwamba mna kikosi kibaya, tatizo hamtaki kukubali ukweli.

Tukipitia kila mchezaji defence yenu yote na kipa siyo wachezaji wanaopaswa kuanza kwenye timu yoyote ile inayopambana kubeba EPL au UCL.

Midfield ni Rice na Ødegaard tu unaweza kuwategemea na siyo Havertz.

Front line pale ni Saka tu, huwezi kutegemea striker kama Jesus ubebe EPL au UCL.

Labda kama nyie wenzetu mna vipaumbele tofauti na kushinda makombe.

Ndiyo maana mimi huwa sipo excited na msimu wowote wa United kwasasa kwasababu nishakubali United haiwezi kushinda EPL wala UCL msimu ujao na ikitokea yatakuwa ni maajabu ktk soka.

Mashabiki wa Arsenal tatizo lenu ni kujipa matumaini makubwa sana. Mna kikosi cha kawaida sana. Msimu ujao mkijitahidi sana ni top 4 place, UCL kule kwa hicho kikosi mnaweza kufika last 16. Makombe ambayo mnaweza kushinda kwa hiyo squad ni FA Cup na Carabao.

Kwa takwimu za msimu ujao nikipanga combined XI ya wachezaji wa United x Arsenal itakuwa hivi.
View attachment 2684958
Wewe jamaa hata wenzako watakucheka

Na inaonesha unataka kufa na tai shingoni

Mchezaji wa manjesta anayeweza kuingia kikos Cha Arsenal Ni mmoja tu Lisandro Martinez, hata Rashford haingii maana tuna watu wanaofunga magoli kuliko au Kama Yeye ,halafu Rashford Ni Kama uyoga tu leo chakula kesho sumu


Najua unajifurahisha ,ila ukweli unaujua ,mechi ya Emirates tuliwaambia tutawaonesha gepu letu na nyie ,nadhan unakumbuka mpira mliopigiwa pale ,msako mlioupata


Ila kwakuwa hautakagi kukubali ukweli na uhalisia ,maji yatajitenga na Mafuta, sis tuliweka mikakati kabisa yakupunguza gepu la city , na tumefanikiwa kuanzia kiuchezaji hata kufunga magoli mengi ,


Ndio maana tuna wachezaji karibu watano wanauwezo wakutoa 10+ goals ,kitu ambacho manjesta huwezi kukikona na hata msimu huu unaokuja huwez kukiona
 
Ligi ianze tuanze kuheshimiana mjini maana mashabiki wa Arse8 wanatupigia kelele hadi sio poa wanajikuta level za Madrid sijui. Ligi ianze tu warudi kwenye mapango yao kujificha
IMG_20230711_192222.jpg
 
Vunjabei magwaya varane Bisaka Anthony
Bado munaomba ligi ianze munakichaa nyie mtapigwa Kama ngoma
 
Back
Top Bottom