Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hali ni mbaya Sana

Kobie maino ndio anajitahidi

Mount huyu tumepigwa

Sancho kitambi kinamsumbua anakosa magoli ya wazi

Tusubiri onana kuchezea magoli kwa ukabaji huu
Tuliza nyege kijana unawashwa nn
 
Juzi niliandika hapa kuwa tunaenda pre season hatuna GK, hatuna striker, hatuna RB wala LB, katikati tuna Casemiro pekee, kuna Mwendawazimu mmoja alikuja juu sana kwamba tayari tumesha msajili Onana, kiko wapi?????? Leo tuna Leeds
LB na RB waliopo hawatufai ?
 
Juzi niliandika hapa kuwa tunaenda pre season hatuna GK, hatuna striker, hatuna RB wala LB, katikati tuna Casemiro pekee, kuna Mwendawazimu mmoja alikuja juu sana kwamba tayari tumesha msajili Onana, kiko wapi?????? Leo tuna Leeds
Acha kulialia Onana hakuwa priority ya hii mechi makipa wapo.

Anahitajika wakati timu inaenda Marekani ndio wanataka awe kashasajiliwa.


Mtoto wa kiume huna subira tukuweke kundi na jinsia gani
 
Epl domination for 10 consecutive seasons
UEFA is loading
Hivi mnafikiri UEFA ni kama kilimo cha matikiti?
One season wonder anajidanganya atadominate Epl for 10 consecutive seasons
Ila mashabiki wa Arsenyo siwalaumu sana, wakulaumiwa ni hamis77 anaewaaminisha ubingwa kwa huo mchanganuo wa kilimo cha matikiti.
Arteta masterclass atazituliza hizi kelele ni swala la muda tu
Msimu huu nyumbu mnaachia points 6


Itunze hiyo
 
Huyo mpuuzi tu hakuna wachezaji wa hizo nafasi wataosajiliwa sio kipaumbele kwa dirisha hili

Nafasi zinazotarajiwa kutafutwa watu ni Striker,Kiungo mkabaji,Beki wa kati na Kipa.

Kijana ana mawazo ya kindezi anatafuta sehemu ya kulaumu kijinga
Beki wa kati kwa waliopo nani anaondoka?
 
Samahani kwa ushindi kidogo tulio upata Leo wazee wa ngwasuma na imani tutakuja na nguvu mpya next match.
1689183358175.jpg
 
Nyinyi mapimbi wa Arsenal mmejaa humu ajabu hamna point kazi kunengua tu.

Subirini msimu uaze ndio mlete pumba sahv tuachieni uzi tuchqmbue team yetu pumbavu nyie.
 
Back
Top Bottom