Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Si ndiyo hivyo man. Sisi ni kama wasanii wakubwa wa bongo hapa waliosota mtaani halafu wakapanda chati. Mtu hata kiwanja hanunui na kujengwa hata kibanda cha udongo, anapanga sinza na kutoka na kila slay queen anayejilengesha.

Tofauti ya Arsenal ni sisi tuna historia ya kuvutia ambayo tuliivuruga hivi karibuni ila Sasa inaanzo kuonekana kama Inarudi. Zile enzi za Kila mchezaji kusema ni 'dream' yake kuichezea arsenal zitarudi upya tukiendelea kuperform hivi
Historia ipi ya kuvutia?
Historia ya miaka 20 bila kombe la ligi au ile ya miaka 8 mtawaliwa bila ya kuingia top 4?
tapatalk_-1956244963_488x640.jpg
 
Historia ipi ya kuvutia?
Historia ya miaka 20 bila kombe la ligi au ile ya miaka 8 mtawaliwa bila ya kuingia top 4?
View attachment 2684549

Sisi tukijulikana kama wazee wa sexy football ama Wengerball. 'Kutufunga wametufunga ila chenga tuliwala'. Kuna uzinguaji fulani Mzee Wenger alikuwa nao kuwa kwake yeye Ile art ya football ilikuwa muhimu kuliko Mataji na alipenda apate Mataji Kwa sexy football. Sasa hivi inaelekea tutataka sexy football, na ndiyo maana watu wanasema 'identity' ya arsenal imerudi, lakini Mikel anataka Mataji pia.

Hopefully huu msimu mpya nitakuwa na nafasi ya kuangalia mechi. Huu uliopita sijaweza kuangalia zaidi ya mechi 4 live, zaidi ya highlights baadae
 
De gea anaondoka magwaya anabaki
Na nyumbu wote mmelifumbia macho hili swala, kana kwamba it's okey

Casimiro, ericksen bruno, Fred
Hiyo ndio midfielders mnayoenda kuanza nayo kwenye ligi.
Alafu nyumbuz mnaseme ligi ianze tu.
Kamati ya roho mbaya.
 
Astonvilla ana timu strong na kocha mzuri mwenye mbinu kuliko manjesta

Huu Ni ukweli mchungu ambao anatakiwa mtu awaambie

Astonvilla ana CBs Bora kuliko manjesta

Ana viungo wazuri kuliko manjesta


Ana attacking line Kali kuliko manjesta


Emi Martinez , Pau Tores ,Diego Carlos , Moreno , Douglas Luiz, Tielemans, Watkins, Bailey , Ramsey


Hao jamaa wanauwezo mkubwa kuliko wachezaji wa manjesta kina Fred vunjabei, magwaya , Bisaka,mount , Anthony masebene,Sancho kibonge, n.k

Unai Emery ana mbinu kuliko 7hag
IMG_20230709_201349.jpg
 
Ushawahi kuwaona mapolisi wenye miili na vitambi mpaka unajiuliza 'huyu ataweza kumkimbiza mhalifu kweli?'. Sasa ndiyo huyu bonge eti naye ni winger
Ukimwambia shabiki wa manjesta,niwekee lineup yako yakwenda kutamba EPL msimu huu

Anamuweka Sancho kibonge na Anthony masebene
 
Huyu jamaa Ni utapeli mkubwa hawezi kuvuka goal 5 msimu huu


Anazidiwa takwimu na Kiungo mkabaji aliyecheza timu inayozuia
View attachment 2684558
Tungelinganisha pia stats za Rashford pia msimu wa 2021/22 tungesema hamna kitu ila shighuli yake nyie wenyewe mmeiona msimu huu. White na Ramsdale walilambishwa nyasi kama watoto wadogo.

Stats zimeharibu watu siku hizi. Overall game Antony kajitahidi msimu huu bila kuwa na RB wa uhakika, hii nahisi pia ni tatizo kwa Sancho (alipokuwa BVB alicheza na Hakimi).

Usajili wa Mount naona ukienda kumnufaisha Antony.
 
Tungelinganisha pia stats za Rashford pia msimu wa 2021/22 tungesema hamna kitu ila shighuli yake nyie wenyewe mmeiona msimu huu. White na Ramsdale walilambishwa nyasi kama watoto wadogo.

Stats zimeharibu watu siku hizi. Overall game Antony kajitahidi msimu huu bila kuwa na RB wa uhakika, hii nahisi pia ni tatizo kwa Sancho (alipokuwa BVB alicheza na Hakimi).

Usajili wa Mount naona ukienda kumnufaisha Antony.
Kwakutetea ujinga

Yule Anthony masebene kajitahidi Nini ?

Winger kwa €100m ,goals 4 sawa na DM , na mabeki unasema kajitahidi kipi?
 
Nitajie Kocha aliyekuja na mikwara kama Ten Hag kwenye EPL?View attachment 2684578
Wala siyo mikwara. Tatizo la hiyo quote kuna maneno muhimu yametolewa. Media huwa zinapenda kuandika vitu tofauti na kile kilichosemwa.

EtH alisema "You'll always see that an era can come to an end."

CAN: used to express ability or opportunity, and to show possibility or impossibility.

Sasa hapo EtH alitumia neno "can" kuonyesha uwezekano wa era ya Pep na Klopp kuisha na siyo kwamba ni lazima itatokea.

Media wao walichofanya ni kuandika maneno tofauti na kile kilichosemwa.

Context ni muhimu kwenye quote yoyote utakayosoma mtandaoni.
 
Kwakutetea ujinga

Yule Anthony masebene kajitahidi Nini ?

Winger kwa €100m ,goals 4 sawa na DM , na mabeki unasema kajitahidi kipi?
Mimi naangalia mechi siyo stats. Ili timu ifanye vizuri lazima wawepo wachezaji 11 uwanjani. Kila mchezaji ana mchango wake.

Lengo kuu la timu ni kushinda na kama hilo lengo limefanikiwa siyo kila mchezaji atafunga.

Hata Weghorst pamoja na kiwango chake kibovu kuna mechi aliisaidia timu kupata matokeo. Sasa kama hufatilii mechi za United utajuaje ubora wa Antony kwa kusoma namba tu!?
 
Mimi naangalia mechi siyo stats. Ili timu ifanye vizuri lazima wawepo wachezaji 11 uwanjani. Kila mchezaji ana mchango wake.

Lengo kuu la timu ni kushinda na kama hilo lengo limefanikiwa siyo kila mchezaji atafunga.

Hata Weghorst pamoja na kiwango chake kibovu kuna mechi aliisaidia timu kupata matokeo. Sasa kama hufatilii mechi za United utajuaje ubora wa Antony kwa kusoma namba tu!?
Naangalia mechi zenu vzr ,Nina DStv geto , hata mech ya kesho vs Leeds nitaicheki , ninachoongea nakijua ,pale hakuna mchezaji
 
Sasa mifumo wa chelkenge unafikiri nini kitatokea?


Tunazungumzia Kai wa liverkusen sio huyu wakutokea chelkenge
Sasa mbona Harvertz wa Leverkusen kamzidi Antony wa Ajax kwenye G/A msimu mmoja tu baada ya hapo kilichotokea kinajulikana.

Tatizo lenu huwa hamna facts kutetea points zenu. Mnapiga kelele tu, msimu ukianza ndiyo kila mtu atajua timu ipi inasindikiza wengine.
 
Back
Top Bottom