



Arsenyau suala la kutandaza mpira sio la jana wala juzi tumelizoea kitambo sana tokea kipindi cha mzee Wenger.
Kipindi kile nakumbuka mashabiki wa Arsenyau tukiwatania baada ya kuwafunga walikua wanajitetea kua "kutufunga mmetufunga lakini chenga twawala"
Tunataka tuone impact ya kutandaza kandanda na kunyanyua makombe.
Sasa nyie mnatandaza kandanda siku 258 halafu zinabaki siku 20 mnatanua mapaja mliMancity wanabeba kombe si uzwazwa huo?
Arsenyani nawakumbusha tena msimu ulioisha ilikua ni one season wonder, hii ilishawatokea hata Leicester City ila wao wakafanya kweli.
Msimu huu mtacheza kweli mpira mzuri ila suala la kujiokotea points3 kama msimu ulioisha msahau.