Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi usajili umesimama au maana kimyaa wiki inakata, Timu yangu hii jamaa anaenda pre season na sajili Moja tu.
Juzi niliandika hapa kuwa tunaenda pre season hatuna GK, hatuna striker, hatuna RB wala LB, katikati tuna Casemiro pekee, kuna Mwendawazimu mmoja alikuja juu sana kwamba tayari tumesha msajili Onana, kiko wapi?????? Leo tuna Leeds
 
Asenyo Kondoo
Lile jukwaa lenu ni kama kijiwe cha kawaha tu, uongo uongo mwingi mixer kujitoa akili.
Jukwaa lenu mimi hua nalichukulia kama jukwaa la comedy(jokes) hua nakuja kule kupunguza stress tu.
Shida ya ushabiki huwezi kukubali kitu ila kimoyo moyo unajua mpira unaotandazwa na Arsenal NDOO

Kwani mmesahau msako tuliokufanyia dakika ya 90 nketiah anaingia kambani
Kuanzia dakika ya 65 nyumbu mlipaki bus

De gea alikua man of the match japo mlikufa
Tumefurahia Sana ujio wa Onana
 
Juzi niliandika hapa kuwa tunaenda pre season hatuna GK, hatuna striker, hatuna RB wala LB, katikati tuna Casemiro pekee, kuna Mwendawazimu mmoja alikuja juu sana kwamba tayari tumesha msajili Onana, kiko wapi?????? Leo tuna Leeds
Jamaa walikubishia Sana ,hata huyo onana watakuja kumkataa
 
Juzi niliandika hapa kuwa tunaenda pre season hatuna GK, hatuna striker, hatuna RB wala LB, katikati tuna Casemiro pekee, kuna Mwendawazimu mmoja alikuja juu sana kwamba tayari tumesha msajili Onana, kiko wapi?????? Leo tuna Leeds
Hilo jukwaa lenu wandawazimu wapo wengi mkuu
Wanefikia stage wanakuambia ligi ianze tu, Sasa unajiuliza hawa nyumbu kwa lipi hasa!!
 
Shida ya ushabiki huwezi kukubali kitu ila kimoyo moyo unajua mpira unaotandazwa na Arsenal NDOO

Kwani mmesahau msako tuliokufanyia dakika ya 90 nketiah anaingia kambani
Kuanzia dakika ya 65 nyumbu mlipaki bus

De gea alikua man of the match japo mlikufa
Tumefurahia Sana ujio wa Onana
Hawa usiwasanue , leo wanamuona DEGEA sawa na Erik johora ,wanasahau Kuna a lot of matches wanadakwa ,DEGEA anawaweka mchezoni
 
Shida ya ushabiki huwezi kukubali kitu ila kimoyo moyo unajua mpira unaotandazwa na Arsenal NDOO

Kwani mmesahau msako tuliokufanyia dakika ya 90 nketiah anaingia kambani
Kuanzia dakika ya 65 nyumbu mlipaki bus

De gea alikua man of the match japo mlikufa
Tumefurahia Sana ujio wa Onana
Arsenyau suala la kutandaza mpira sio la jana wala juzi tumelizoea kitambo sana tokea kipindi cha mzee Wenger.
Kipindi kile nakumbuka mashabiki wa Arsenyau tukiwatania baada ya kuwafunga walikua wanajitetea kua "kutufunga mmetufunga lakini chenga twawala"
Tunataka tuone impact ya kutandaza kandanda na kunyanyua makombe.
Sasa nyie mnatandaza kandanda siku 258 halafu zinabaki siku 20 mnatanua mapaja mliMancity wanabeba kombe si uzwazwa huo?
Arsenyani nawakumbusha tena msimu ulioisha ilikua ni one season wonder, hii ilishawatokea hata Leicester City ila wao wakafanya kweli.
Msimu huu mtacheza kweli mpira mzuri ila suala la kujiokotea points3 kama msimu ulioisha msahau.
 
Arsenyau suala la kutandaza mpira sio la jana wala juzi tumelizoea kitambo sana tokea kipindi cha mzee Wenger.
Kipindi kile nakumbuka mashabiki wa Arsenyau tukiwatania baada ya kuwafunga walikua wanajitetea kua "kutufunga mmetufunga lakini chenga twawala"
Tunataka tuone impact ya kutandaza kandanda na kunyanyua makombe.
Sasa nyie mnatandaza kandanda siku 258 halafu zinabaki siku 20 mnatanua mapaja mliMancity wanabeba kombe si uzwazwa huo?
Arsenyani nawakumbusha tena msimu ulioisha ilikua ni one season wonder, hii ilishawatokea hata Leicester City ila wao wakafanya kweli.
Msimu huu mtacheza kweli mpira mzuri ila suala la kujiokotea points3 kama msimu ulioisha msahau.
Wewe piga kelele ,vipigo vinaanza leo

Kule USA tunawasubiri tuwakaange
 
Wazee wa ngwasuma tunaanza kampeni yetu Leo ya kugawa burudani Kwaiyo mna karibishwa kwa wingi hates wote.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester United 4 vs Leeds United 0

Time

12:00 jioni
1689153500149.jpg
 
Arsenyau suala la kutandaza mpira sio la jana wala juzi tumelizoea kitambo sana tokea kipindi cha mzee Wenger.
Kipindi kile nakumbuka mashabiki wa Arsenyau tukiwatania baada ya kuwafunga walikua wanajitetea kua "kutufunga mmetufunga lakini chenga twawala"
Tunataka tuone impact ya kutandaza kandanda na kunyanyua makombe.
Sasa nyie mnatandaza kandanda siku 258 halafu zinabaki siku 20 mnatanua mapaja mliMancity wanabeba kombe si uzwazwa huo?
Arsenyani nawakumbusha tena msimu ulioisha ilikua ni one season wonder, hii ilishawatokea hata Leicester City ila wao wakafanya kweli.
Msimu huu mtacheza kweli mpira mzuri ila suala la kujiokotea points3 kama msimu ulioisha msahau.
Arteta ball anakusambazia mpira na vikombe pia
Kabatini ana FA na ngao

Epl domination for 10 consecutive seasons
UEFA is loading
Kelele mtaacha tu
 
Nyumbu wakipigwa watakua wamesanuka

Sasa wasanuke au ashinde tuwape sifa za kijinga?
Viva nyumbu viva
 
Arteta ball anakusambazia mpira na vikombe pia
Kabatini ana FA na ngao

Epl domination for 10 consecutive seasons
UEFA is loading
Kelele mtaacha tu
Epl domination for 10 consecutive seasons
UEFA is loading
Hivi mnafikiri UEFA ni kama kilimo cha matikiti?
One season wonder anajidanganya atadominate Epl for 10 consecutive seasons
Ila mashabiki wa Arsenyo siwalaumu sana, wakulaumiwa ni hamis77 anaewaaminisha ubingwa kwa huo mchanganuo wa kilimo cha matikiti.
 
Kikosi cha mauaji hiki hapa.
Mainoo tunakukumbusha mechi ya leo ni ya kirafiki tu, zile sifasifa zako za kupiga hatrick kila game leo tunakuomba uachane nazo, kwanza hakuna point yoyote leo tunapata.
1689173019338.jpg
 
Epl domination for 10 consecutive seasons
UEFA is loading
Hivi mnafikiri UEFA ni kama kilimo cha matikiti?
One season wonder anajidanganya atadominate Epl for 10 consecutive seasons
Ila mashabiki wa Arsenyo siwalaumu sana, wakulaumiwa ni hamis77 anaewaaminisha ubingwa kwa huo mchanganuo wa kilimo cha matikiti.
Mimi ni mchambuzi nguli, mwaka Jana nilitabiri had wanaoshuka daraja

Nimekataa kazi hapo wasafi maana wengi mpira hawajui
 
Back
Top Bottom