Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
7+3hag akifika December akaroge
Hii timu hata top 6 haiwezi kuingia dhaifu kuanzia nyuma had mbeleTukienda na ukweli hivi hapo Arsenyani ni nani anamuweka Bruno bench, usiseme ØdegaardHavertz hawezi hata kumuweka Eriksen bench, Casemiro kazi yake inajulikana, hiyo defence yenu yote kwa United wanasubiri (ushahidi upo, last season nyie ndiyo mmeruhusu magoli mengi kuzidi United
) Martinelli hakai hata bench maana ni Rashford na Garnacho anachukua nafasi yake.
Hapo Arsenyani wachezaji ambao wanaweza kuingia kwenye hiki kikosi cha United ni Rice na Saka ila Ødegaard, Rice na Timber pia wanaweza kujumuika, hao wengine jifarijini tu. United mfumo ukikaa sawa Arsenyani mnasubiri sana na hapa bado kuna watu kama Sancho, Lindelof, Bissaka, Malacia Eriksen, Amad, Greenwood.
Halafu Timber mnamuweka bench kwa mabeki gani ambao mnao Arsenyani?
View attachment 2683468
Unamzungumzia odegaard goals 15, assist 10+ ,unamfananisha na Nan hapo kwenu ?Tukienda na ukweli hivi hapo Arsenyani ni nani anamuweka Bruno bench, usiseme ØdegaardHavertz hawezi hata kumuweka Eriksen bench, Casemiro kazi yake inajulikana, hiyo defence yenu yote kwa United wanasubiri (ushahidi upo, last season nyie ndiyo mmeruhusu magoli mengi kuzidi United
) Martinelli hakai hata bench maana ni Rashford na Garnacho anachukua nafasi yake.
Hapo Arsenyani wachezaji ambao wanaweza kuingia kwenye hiki kikosi cha United ni Saka na Rice ila Ødegaard, Rice na Timber pia wanaweza kujumuika, hao wengine jifarijini tu. United mfumo ukikaa sawa Arsenyani mnasubiri sana na hapa bado kuna watu kama Sancho, Lindelof, Bissaka, Malacia, Eriksen, Amad, Greenwood.
Halafu Timber mnamuweka bench kwa mabeki gani ambao mnao Arsenyani?
View attachment 2683468
Exclusive:
Harry Maguire anafanya mazoezi mara tatu kwa siku akiwa nchini Ureno kwa takribani wiki tatu sasa. Anafanya mazoezi na beki wa zamani wa Ureno Ricardo Carvalho. Maguire bado anataka kupigania nafasi yake Manchester United, hataki kukataa tamaa.View attachment 2683469
Kumbe Garnacho alisajiliwa na Ten Hag ?Onana ataipata habari kwa hary magwaya
Magwaya hajawai kutuangusha
Ipo hivi, Onana ni mzuri kuanzisha mashambulizi.
Kwaio lazima mabeki wawe comfortable kwenye kupokea mipira na kuanza mashambulizi. Swali la kujiuliza aina hiyo ya mabeki mnao? Jibu baki nalo
Kwenye saving, de gea anaeondoka na Onana anaekuja Nani ni mzuri? Jibu baki nalo
Tatizo kubwa la nyumbu ni kipa au kiungo na mabeki? Jibu baki nalo
Hadi dakika hii mnajua 7hag anacheza mtumo gani na msimu unaokuja anaingia na mfumo gani kwa wachezaji gani? Hapa hamna majibu, coz ata 7hag yeye mwenyewe hajui yupo na mfumo gani
Usajiri uliofanywa na 7hag tangu aingie
Anthony
Ganacho
Martinez
Eliksen
Casimiro
Totatl spending was €250m+
Swali, ata wewe ungekua mdhamini wa timu alafu unaambiwa uachie timu ungekubali? Jibu baki nalo
Antony mmepigwa au hamjapigwa?. Hapa jibu nawapa MMEPIGWA
Msimnunue onana
Mtanikumbuka

Oya kwanini unawasanua SasaMsimnunue onana
Mtanikumbuka


Humu kuna mashabiki tu hakuna mnunuzi!Msimnunue onana
Mtanikumbuka
Unakua kama kipande cha tako sasa mkuuHumu kuna mashabiki tu hakuna mnunuzi!
Kuna dalili za kuondoshwa kabisa maana yule bwana ni kama kasahau mpira
Hata timu lenu bovu tu kumaliza nafasi ya 2 msimu uliopita mshajikuta Barcelona kumbe wakati ni wa mchangani tu mngekuwa na kombe la UCL tungewaona wakubwa.Shida kuu ni kucheza Manyumbu FC


Hata timu lenu bovu tu kumaliza nafasi ya 2 msimu uliopita mshajikuta Barcelona kumbe wakati ni wa mchangani tu mngekuwa na kombe la UCL tungewaona wakubwa.
Hiyo ni masikini akipata![]()