Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tukienda na ukweli hivi hapo Arsenyani ni nani anamuweka Bruno bench, usiseme Ødegaard Havertz hawezi hata kumuweka Eriksen bench, Casemiro kazi yake inajulikana, hiyo defence yenu yote kwa United wanasubiri (ushahidi upo, last season nyie ndiyo mmeruhusu magoli mengi kuzidi United ) Martinelli hakai hata bench maana ni Rashford na Garnacho anachukua nafasi yake.

Hapo Arsenyani wachezaji ambao wanaweza kuingia kwenye hiki kikosi cha United ni Rice na Saka ila Ødegaard, Rice na Timber pia wanaweza kujumuika, hao wengine jifarijini tu. United mfumo ukikaa sawa Arsenyani mnasubiri sana na hapa bado kuna watu kama Sancho, Lindelof, Bissaka, Malacia Eriksen, Amad, Greenwood.

Halafu Timber mnamuweka bench kwa mabeki gani ambao mnao Arsenyani?
View attachment 2683468
Hii timu hata top 6 haiwezi kuingia dhaifu kuanzia nyuma had mbele
 
Tukienda na ukweli hivi hapo Arsenyani ni nani anamuweka Bruno bench, usiseme Ødegaard Havertz hawezi hata kumuweka Eriksen bench, Casemiro kazi yake inajulikana, hiyo defence yenu yote kwa United wanasubiri (ushahidi upo, last season nyie ndiyo mmeruhusu magoli mengi kuzidi United ) Martinelli hakai hata bench maana ni Rashford na Garnacho anachukua nafasi yake.

Hapo Arsenyani wachezaji ambao wanaweza kuingia kwenye hiki kikosi cha United ni Saka na Rice ila Ødegaard, Rice na Timber pia wanaweza kujumuika, hao wengine jifarijini tu. United mfumo ukikaa sawa Arsenyani mnasubiri sana na hapa bado kuna watu kama Sancho, Lindelof, Bissaka, Malacia, Eriksen, Amad, Greenwood.

Halafu Timber mnamuweka bench kwa mabeki gani ambao mnao Arsenyani?
View attachment 2683468
Unamzungumzia odegaard goals 15, assist 10+ ,unamfananisha na Nan hapo kwenu ?

Casemiro pale Arsenal hachez kabisa maana hawez kuhusika kwenye buildup

Eriksen huyu ambaye dk 45 huwa anaomba sub?kuwa serious Basi

Unamzungumzia martinell 15 goals

Oya hebu acha utani Basi

Msimu Jana mlisema nyie title contender nilikukatalia bado huna timu iliyo balance ,huko mbele ndio utopolo mkubwa ,unategemea form ya Rashford tu,

Hiyo timu yako iliingia Mara 13 tu kwenye box la Arsenal wakati saka pekee aliingia box la manjesta Mara 50
 
Exclusive:

Harry Maguire anafanya mazoezi mara tatu kwa siku akiwa nchini Ureno kwa takribani wiki tatu sasa. Anafanya mazoezi na beki wa zamani wa Ureno Ricardo Carvalho. Maguire bado anataka kupigania nafasi yake Manchester United, hataki kukataa tamaa. View attachment 2683469

No body cares, kiwango kibovu ni liability kwa team. Maybe kama ataweza kuwa prove watu wrong
 
Onana ataipata habari kwa hary magwaya
Magwaya hajawai kutuangusha

Ipo hivi, Onana ni mzuri kuanzisha mashambulizi.
Kwaio lazima mabeki wawe comfortable kwenye kupokea mipira na kuanza mashambulizi. Swali la kujiuliza aina hiyo ya mabeki mnao? Jibu baki nalo

Kwenye saving, de gea anaeondoka na Onana anaekuja Nani ni mzuri? Jibu baki nalo

Tatizo kubwa la nyumbu ni kipa au kiungo na mabeki? Jibu baki nalo

Hadi dakika hii mnajua 7hag anacheza mtumo gani na msimu unaokuja anaingia na mfumo gani kwa wachezaji gani? Hapa hamna majibu, coz ata 7hag yeye mwenyewe hajui yupo na mfumo gani

Usajiri uliofanywa na 7hag tangu aingie
Anthony
Ganacho
Martinez
Eliksen
Casimiro
Totatl spending was €250m+
Swali, ata wewe ungekua mdhamini wa timu alafu unaambiwa uachie timu ungekubali? Jibu baki nalo

Antony mmepigwa au hamjapigwa?. Hapa jibu nawapa MMEPIGWA
Kumbe Garnacho alisajiliwa na Ten Hag ?
 
Mnadai kuwa mchezaji akisajiriwa unyumbuni tunasema mmepigwa.
ila akiondoka tunageuka kuwa bonge la mchezaji mmemuachia

Sasa niwaulize, mnazani mount hamjapigwa?
Mount ata timu ya taifa hawezi kuwa starting 11
Mount ni viwango vya mchezaji wa timu ndogo, type ya akina willock
 
Hatuwezi kumkumbuka mtu nyie wamama pambaneni ya kwenu mmezidiwa UCL hadi na Nottingham Forest
Screenshot_20230709-160054.jpg
 
Hata timu lenu bovu tu kumaliza nafasi ya 2 msimu uliopita mshajikuta Barcelona kumbe wakati ni wa mchangani tu mngekuwa na kombe la UCL tungewaona wakubwa.

Hiyo ni masikini akipata

😆😆😆 Si ndiyo hivyo man. Sisi ni kama wasanii wakubwa wa bongo hapa waliosota mtaani halafu wakapanda chati. Mtu hata kiwanja hanunui na kujengwa hata kibanda cha udongo, anapanga sinza na kutoka na kila slay queen anayejilengesha.

Tofauti ya Arsenal ni sisi tuna historia ya kuvutia ambayo tuliivuruga hivi karibuni ila Sasa inaanzo kuonekana kama Inarudi. Zile enzi za Kila mchezaji kusema ni 'dream' yake kuichezea arsenal zitarudi upya tukiendelea kuperform hivi
 
Back
Top Bottom